duh! Huwezi ukawa hujalewa.
kama wananipima IMANI basi wamepotea njia. Pia hakuna muda anayenidai
Kabda icho kitambaa cheupe na damu
ukiona vipi tafuta tu eneo lingine la biashara
haya mambo wakati mwingine yanaishia pabaya.
katika hali ya kawaida mteja wako akisikia mambo kama haya. Siku nyingne hataogopa kuja hapa saluni.
chukua mkojo wako mwagia kwenye hilo shimo, alafu piga sala kwa mungu. Mapepo yooooote yataondoka, uchawi na mkojo havipatani
asikutishe mimi ningemla huyo kuku kabisa! Na ningefurahi kupata kitoweo daily na biashara inaendelea