Taharuki yaibuka Bunda mkoani Mara, wananchi waambiwa wapishe upanuzi wa eneo la hifadhi, uvuvi wasitishwa, risasi zafyatuliwa

Taharuki yaibuka Bunda mkoani Mara, wananchi waambiwa wapishe upanuzi wa eneo la hifadhi, uvuvi wasitishwa, risasi zafyatuliwa

Serikali inatakiwa iwajali sana Raia wake na kukaa nao sawa kabla ya kutumia nguvu kubwa..
 
wakati tunasubiri majibu ya mkuu wa wilaya

inabidi tujiulize je tuna watu wenye uwezo wa kutafakari humo maofisini? hasa katika hizi ofisi ngazi ya kati na chini plus mashirika na taaisisi za serikali? --- yani tuna watu waku-predict tatizo, kuliandalia mazingira ya kukabiliana nalo na suluhisho lenye manufaa?
 
Nimeangalia Kumbe walishalipwa? Mgomo huu ulitakiwa uwepo wakati wa Malipo kwa sasa kuendelea kukaa hilo eneo ni Uhalifu kama uhalifu mwingine.
 
Nimeangalia Kumbe walishalipwa? Mgomo huu ulitakiwa uwepo wakati wa Malipo kwa sasa kuendelea kukaa hilo eneo ni Uhalifu kama uhalifu mwingine.
Una uhakika pesa zimewafikia ?

walikubali kwa pamoja kuondoka kwa kulipwa ?

Haya mambo ya kuhamishwa sehemu walizokaa watu muda mrefu msiyachukulie kirahisi rahisi
 
wakati tunasubiri majibu ya mkuu wa wilaya

inabidi tujiulize je tuna watu wenye uwezo wa kutafakari humo maofisini? hasa katika hizi ofisi ngazi ya kati na chini plus mashirika na taaisisi za serikali? --- yani tuna watu waku-predict tatizo, kuliandalia mazingira ya kukabiliana nalo na suluhisho lenye manufaa?

Kwani ngazi za juu wapo?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Si mnasema Tanzania kubwa? acha tukazane kuigawa hadi iishe 😅 wananchi wasilete taharuki wakatafute pori waishi!
 
Una uhakika pesa zimewafikia ?

walikubali kwa pamoja kuondoka kwa kulipwa ?

Haya mambo ya kuhamishwa sehemu walizokaa watu muda mrefu msiyachukulie kirahisi rahisi
Kuna mama hapo anasema wamelipwa lakini wamelipwa kidogo rudi tazama tena hiyo video ana negotiate compensation baada ya kula na kumaliza body language inaonesha hakutumia hiyo fidia kama ilivyokusudiwa.
 
Kwani ngazi za juu wapo?
ngazi ya juu nimeshindwa kuishambulia nikiwa na sababu maalumu.

ni muda muafaka wa kubadili njia --- ni heri tukaanza mabadiliko hizi ngazi za chini, kwa maana kwamba kiongozi wa ngazi ya chini inabidi aone mawazo bora ya waliochini yake na ayaunge mkono na kuyaboresha

hivyoo na yeye wa juu yake atafanya hivyo mwisho wa siku tutakuja kufika hadi ngazi za juu kabisa

tukiendelea kusubiri mabadiliko kutokea ngazi ya juu kuja chini safari inaweza kuwa ngumu zaidi
 
Kabla ya kufikia huko,kulikuwa na juhudi zozote kutatua changamoto hiyo?
 
Kuna mama hapo anasema wamelipwa lakini wamelipwa kidogo rudi tazama tena hiyo video ana negotiate compensation baada ya kula na kumaliza body language inaonesha hakutumia hiyo fidia kama ilivyokusudiwa.

Ngwathra kwa muktadha wa hoja ile niliyoilenga incase kama hii hoja ya fidia ni kweli ilifanyika ,

waliotoa fidia walitakiwa kua na mpango kabambe kwamba fidia itatoka muda gani na mazingira maalumu ya kuilinda ili wasije wakaitumbua na baadae tatizo linazidi kua kubwa kama hivi
 
Ngwathra kwa muktadha wa hoja ile niliyoilenga incase kama hii hoja ya fidia ni kweli ilifanyika ,

waliotoa fidia walitakiwa kua na mpango kabambe kwamba fidia itatoka muda gani na mazingira maalumu ya kuilinda ili wasije wakaitumbua na baadae tatizo linazidi kua kubwa kama hivi
Hii si kazi ya serikali mkuu you’re the boss of your own money. If aliyelipwa ana miaka 18 na kuendelea
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Hii si kazi ya serikali mkuu you’re the boss of your own money. If aliyelipwa ana miaka 18 na kuendelea
hoja yangu nimeanza kuijenga toka post #6 + #13

ukizisoma hizo naimani utanielewa, unahosema wewe unaweza kua sahihi ila on the long run kinaleta matatizo yepi? si umeona shaba zimelia , full defender na mitutu ya moto? kama hao wananchi wameshindwa kujiongoza mzigo si bado unabaki kwa serikali
 
hoja yangu nimeanza kuijenga toka post #6 + #13

ukizisoma hizo naimani utanielewa, unahosema wewe unaweza kua sahihi ila on the long run kinaleta matatizo yepi? si umeona shaba zimelia , full defender na mitutu ya moto? kama hao wananchi wameshindwa kujiongoza mzigo si bado unabaki kwa serikali
Hapo ni kutoa notice ya siku tatu then Grader inapita sijaona hata nyumba ni mbavu za mbwa zote.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Back
Top Bottom