masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,395
- 19,354
Ndio maana yanapata ajali
upo totoo
Ndio maana yanapata ajali
This is sheer nonsense
Ifike mahala tuanzishe mada za kujenga na sio kuendekeza ufuska.
We are supposed to leave this world a better place than we found it.
Not worse.
Hilo nalo somo?
Aisee mi ni mrefu sn sina tofauti na yule Tolu wa kwenye magazeti ya zamani sikumbuki lile gazeti lilikuwa linaitwaje
upo totoo
Dada Karuccee, Mapenzi hayana udescent wala mahali maalumu, popote pale penye faragha unaweza fanya mambo yako. Ndo maana bongo watu wanachokana haraka maana ubunifu zero. Ila ieleweke ni salama na ikiwa uko na mhalali wako.
Ila kuzuia mtikisiko ni ngumu mkuu...watu waliopo nje watagundua tu
kama hivi yani, nawe uta practice hii kitu?
Nina miguu mirefu mpaka nijipindepinde kwenye vitz yangu ni ngumu itakuwa km adhabu. Ko hii mada hainihusu
Ungeonja huu mchezo hutakaaa uache. Nakumbuka juzi kati ile foleni ya mvua ila na kile kigiza na gari iko full tinted na kiyoyozi......nimefika home mwepesi kabisaaaaaaaaa
Hakuna njia nzuri ya mapenzi kam kwenye gari. Haielezeki aiseee.
Yamkini ajali hazitaisha, maana magari yote yatakuwa najisi sasa...Mungu tuepushie hili pepo!
Ha ha ha ha ha