Tahadhari ukitaka kufanya mapenzi kwenye gari

Tahadhari ukitaka kufanya mapenzi kwenye gari

Hivi kwanza huwa nawashangaa wanawake wanaokubali kufanyiwa hivyo kwenye gari. Yaani mi huwa naona huyo mwanaume amekuoana too low kiasi kwamba hawezi kukodi hata room ya 10,000. Wanaume acheni ubahili bwana..

Rahisi kufumaniwa kwenye room.
 
Njoo nikukunje kwenye hicho kipaso chako uone kama utatamani kitanda weweeee

Unaona unavyodhihirisha ulivyo mbahili you think of Passo, halafu hiyo Passo yenyewe iwe yangu nasio yako! Aisee!
 
Wengine ni ubahili tu hawafurahii chochote. Eti kuna raha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom