Tahadhari ukitaka kufanya mapenzi kwenye gari

Tahadhari ukitaka kufanya mapenzi kwenye gari

Hii mada ni yetu waumini na viongozi wetu. Naisoma kwa faida tu, kwa maelezo hayo hii barabara ya Kinondoni imeoza kabisa.
 
Mimi
Ninayemiliki boda boda hii mada hainihusu?

Saint
Hakuna kitam ka kile cha juu ya kiti cha boda boda. Jarib uone ka utaacha tena.
Back ti tipic;
Je wakikuwekea kigingi utatoka vip? Acheni kujiamini sana kwenye magari yenu hayo. Hivi ukichukua la rafiki yako, yale maramani ya uga.nda yanapojichora mle kwa seat, mnajiskiaje. Nendeni cheap guest houses, gari acha mbali ka km 2 mtembee
 
Kwa nini ufanyie masuala hayo kwenye gari? Mnatia magari najisi tu. Mimi ndio maana siwezi kamwe kununua gari lililowahi kumilikiwa na mbongo. Yaaani hoteli zooote kabisa watu hamzioni mpaka mfanye kwenye magari puuuh.

Kwa sababu huko yanakotoka wanayatumia kwa Ibada.

Halafu kwenye gari lako patamu kuliko hotel, hizo ndio full mikosi maana wanalalana hata wa jinsi moja.
 
Coco Beach, parking ya Mlimani City ndo mwisho wa maneno unapiga miti mpaka unatosheka la muhimu ni kuwa, gari iwe Tinted, usizime gari, washa AC, kaaa muelekeo wa kuondoka in case linatokea bazazi/polisi wa pikipiki. TECHNIQUE nyingine unaweza kufungua boneti ukajidai gari imeharibika kumbe wala mambo taratiiiibu
 
Coco Beach, parking ya Mlimani City ndo mwisho wa maneno unapiga miti mpaka unatosheka la muhimu ni kuwa, gari iwe Tinted, usizime gari, washa AC, kaaa muelekeo wa kuondoka in case linatokea bazazi/polisi wa pikipiki. TECHNIQUE nyingine unaweza kufungua boneti ukajidai gari imeharibika kumbe wala mambo taratiiiibu

Mzinzi wa coco sasa pale kila mtu anakwenda utadhani mkutano wa magari tena usiku unaona parking light tu zinawaka! Saa nzima
 
aahajahahaaa
umenikumbusha Mbali kiongozi.
Alikuwa anaitwa "ustake ncheke", gazeti SANIFU.

Yes. Nakumbuka ilikuwa burudani sana lile gazeti, vioja kibao full kuvunja mbavu
 
Mimi
Ninayemiliki boda boda hii mada hainihusu?

muda wetu ni giza likiingia unaweka stand kubwa ya pikipiki tena usivue helmet unamwambia ashike ule mguu wa brake la haula machine yote inakuja juu ole wako ukasimame sehemu yenye sisimizi itakuwa mguu pande mguu sawa...
 
Unamruhusu anakuja kukaa juu yako. Uta enjoy hadi ufumaniwe......

Ntajaribu alafu ntaleta mrejesho humu. Lkn nitafumaniwa vp wkt ni mke wangu? Au kuna kosa lolote kisheria kufanya mapenz kwenye gari/
 
This is sheer nonsense

Ifike mahala tuanzishe mada za kujenga na sio kuendekeza ufuska.

We are supposed to leave this world a better place than we found it.

Not worse.

Hi Ni thread ya mapenzi, mahusiano na marafiki ndio maana topic zikaletwa huku... Mada unazozitaka ziko education, siasa n.k honey
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom