Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,879
- 155,846
Huu uzi unanikumbusha mbali sana.Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya biashara yoyote au mawasiliano yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF wala uongozi wake.
Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwachukulia hatua wahusika.
Nisisitize, KUWENI MAKINI NA MATAPELI!
Miongoni mwa miujiza yangu mikubwa michache ni, kukutana na wewe, kuongea na wewe kusafiri na wewe na kuwa na namba yako.
Mungu akupe haja ya moyo wako, ninakuombea sana, kwenye nyakati zako zote, za mapito yako yote.
Kwenye dhoruba, nakuombea Amani, kwenye Amani nakuombea ustawi, ustawi zaidi na zaidi, zaidi ya mtende ulioota kwenye Oasis