Pole sana, ila avator yako inavutia mbaya.Siku kadhaa zilizopita niliweka Uzi nauza simu S3 ,
Nikapata mteja akanitumia SMS ila Ile simu tayari nilishauza.
Nikaona nimtafutie simu kwa mtu mwingine.
Wakati anapelekewa simu akaione kumbe ameshaandaa wezi wake tayari, wakamkaba Yule aliyepeleka simu wakamuibia Ile simu .
Huyu mteja alidai yuko Sinza darajani baada ya tukio akadai yuko Kimara. Na akakana kutaja Sinza.
Mwizi wangu najua humo humu na namba yangu umeichukua humu na umefanya nasambazwa Whatsap Kama mwizi wa simu ila nitakupata tu. Halafu mbaya zaidi ni Mtandao wenye wanaume na wanawake.
Tahadhari ukipata mteja muite aje eneo ambalo ni salama.
Umekua adimu kweli humu,pole na majukumu MkuuYaani hizi biashara za mtandao kuweni makini sana jamani mtakuja kupata wateja majini ndio mtakaa sawa. Pole mpendwa
Nipo kiasi mpendwa si unajua tena hali ilivyoUmekua adimu kweli humu,pole na majukumu Mkuu
Hata kelvin Isaya ni mwizi ameiba pesa nyingi sana. Niliwapa watu taadhari mapema wakasema nina wivu na biashara yake.
Faiza Foxy akiwakoromea kuhusu matumizi sahihi ya lugha mnamwanzishia thread. Haya sasa tatizo sugu la kuchanganya irabu za Kiswahili na kikanushi (h-) limebadili kabisa maana ya ulichotaka kukisema (japo pengine watu wamekuelewa). Tunaporekebishwa na huyu mama mtaalamu wa lugha tukubali kujifunza na tubadilike. Binafsi, ukiachilia mbali lugha za kitoto kama xaxa, uxije..., hakuna kitu kinachonikera kama huu mkanganyiko wa h- na irabu za Kiswahili."Mwizi wangu najua humo humu"
Faiza Foxy akiwakoromea kuhusu matumizi sahihi ya lugha mnamwanzishia thread. Haya sasa tatizo sugu la kuchanganya irabu za Kiswahili na kikanushi (h-) limebadili kabisa maana ya ulichotaka kukisema (japo pengine watu wamekuelewa). Tunaporekebishwa na huyu mama mtaalamu wa lugha tukubali kujifunza na tubadilike. Binafsi, ukiachilia mbali lugha za kitoto kama xaxa, uxije..., hakuna kitu kinachonikera kama huu mkanganyiko wa h- na irabu za Kiswahili.
===> By the way - pole kwa kuibiwa. Ndiyo mambo ya mtandaoni haya. Wengine wamepoteza mpaka maisha. Wengine wamebakwa...Tuwe waangalifu sana na haya mambo!
Ahsante best.pole sana bestito maana mitandaoni vibaka wengi kuwa makini wakati mwingine
Point ya msingi utaionaje? Una macho?Maneno Mengi pointi ya msingi haionekani.
kwann usimtaje huyo tapeli naye ajitetee humu humuNaunga mkono hoja. Kweli humu JF kuna matapeli ingawa siyo wote. Mimi nimenunua sana kupitia JF na karibu mara zote nimeuziwa vitu genuine, kasoro mara moja. Nilinunua the so called universal solar charger for laptops and mobile phones. Muuzaji alimwaga sifa kibao mpaka nikaingia laini. Cha ajabu ni kwamba siyo charger hata kidogo bali ni kama universal battery ya laptops. Baada ya kumweleza matatizo yake muuzaji kakata mawasiliano, ingawa bado yumo JF.
Tujihadhari!!!
kama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee!