Hakika napenda jinsi unavyompenda na kumheshimu Mungu, ni mambo mazuri ya kuiga toka kwako. Langu moja tu ni kuwa katika upendo huo jaribu ku balance na wale wa imani tofauti ili pia wawezd kuvutika kwa pendo hilo badala ya kuwabagua lwa chukiNaam, ndiyo dini pekee duniani kwa Mwenyeezi Mungu.
Unafahamu maana ya neno "dini"?
Ahsaate nimekuelewa, sina chuki lakini binadam sikosi mapungufu yangu, labda nijirekebishe namna ya kuwasilisha maandiko yangu. Kuandika Kiswahili kumenipa shida sana kwani sisi Muingereza aitusomesha kwa Kingereza, Kiswahili lilikuwa somo moja tu.Hakika napenda jinsi unavyompenda na kumheshimu Mungu, ni mambo mazuri ya kuiga toka kwako. Langu moja tu ni kuwa katika upendo huo jaribu ku balance na wale wa imani tofauti ili pia wawezd kuvutika kwa pendo hilo badala ya kuwabagua lwa chuki
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Hapana sifahamu...tafadhali nielimisheNaam, ndiyo dini pekee duniani kwa Mwenyeezi Mungu.
Unafahamu maana ya neno "dini"?
Hapana sifahamu...tafadhali nielimishe
Sawa,asanteNeno "dini" kwa Kiswahili linatokana na neno "Din" la Kiarabu
Katika istilahi za Kiislam, neno hili hurejelea njia ya maisha ambayo Waislam wanapaswa kufuata ili kufuata sheria za Mwenyezi Mungu (Sharia). inayojumuisha imani, tabia na matendo. Neno hili linaonekana katika Qur'an mara 98 likiwa na maana tofauti, ikijumuisha katika maneno yawm al-din ( Kiarabu : يوم الدين ), ambayo kwa ujumla hutafsiriwa kuwa " Siku ya Hukumu " au aya maarufu "La ikraha fid din" ambayo hutafsiriwa. kwa "Kusiwe na kulazimishana katika dini." ( Tafsiri ya Abdullah Yusuf Ali ).
Din nineno la Kiarabu lenye maana tatu za jumla: hukumu, desturi, na njia.
Hayo ni kwa uchache ukioenda kuelewa zaidi Pitia:
. Chanzo: Din (Arabic) - Wikipedia.
Soma mada, ukiona huyawezi siyo lazima ujibu> Ukijibu inamaanisha unayapenda.We punguani kwanini huwa unaletaga mambo ya kiimani humu.
Baki na imani yako kama katiba inavyosema
Soma mada, ukiona huyawezi siyo lazima ujibu> Ukijibu inamaanisha unayapenda.
Usikasirike uliza chochote usichokielewa tutakujibu.
Unajuwa wewe kama u mkristo, tofauti yetu sisi na nyinyi kuhusu imani, ni nyinyi wenzetu mna imani kipofu (blind faith), Hamuhoji, hamuulizi, hamdadisi kuhusu imani yenu, mnaswagwa tu, ndiyo maana mmeitwa kondoo.
Waislam hatutakiwi kuwa na Imani kipofu, tunahimizwa kuhoji, kusoma, kudadisi ili tusiwe kondoo. Uislam unatufundisha kuwa Waislam ni wachungaji siyo kondoo.
Ukiondoa lugha ya kiarabu kiswahili hakunaUlichosema kinaweza kuwa kweli.
Hawa waliokuwa ktk haya maeneo ambayo hizi imani au dini zimeanza huwa wanajiona wao ndiyo wenye haki miliki za hizi imani. Hata kwa wakristo, Jews hujiona na wanaamini you can't pastor them. Ukristo umeanzia nyumbani kwao. The same to arabs.
View attachment 2226261
Sasa ujinga wangu mimi, wewe unaumia nini? Au ni mahaba yako kwangu?FaizaFox uliwahi tembelea Afghanstan japo kwa sekunde tu?? Wewe mwanamke mjinga sana kuwahi kutoka katika nchi hii
Ugonjwa wa akili. Ata wahindu wanadhani hivi, ata wakristo wanadhani hivo. Kila mtu ashinde mechi zake.Naam, ndiyo dini pekee duniani kwa Mwenyeezi Mungu.
Unafahamu maana ya neno "dini"?
Seriously unaamini video yako na huyo profesa wako ndo vitaubadili ukweli?Weka ushahidi, au walikubaka na wewe?
Umaitazama video iliyobeba mada?
Kwamba waarabu walishiriki kikamilifu kwenye biashara ya utumwa.Ukweli ni upi unaoujuwa wewe?
Hapo hauna point kabisa ni ujinga tu.Kwamba waarabu walishiriki kikamilifu kwenye biashara ya utumwa.
Unataka kutuaminisha kuwa huyo mzee wako ndo Profesa pekee mwenye hati miliki ya ukweli kuhusu biashara ya utumwa?Kwamba hapa Tanzania profesa mwenye akili na aliyefanya utafiti kuidhihirisha hiyo "kweli"ni yeye peke yake?
Nilichojifunza kwenye huu mjadala ni namna chuki na inferiority complexities zinavyokutafuna.
Mind you,Maprofesa na wasomi wa kweli wala hawatumii nguvu na hisia kutoa matokeo ya tafiti zao.
Ukiwaona wa upande wa pili wamenyamaza ni kwamba wamempuuza propesa wako