Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Nyumbu kuelewa ni kazi ngumu Sana mkuu yaani wavaa kobazi wakisikia mwarabu huja juu Kama wanavyo wahi kula daku
Kwahiyo mnataka tuwafuate ninyi kuwachukia waarabu!!! Mimi siwezi kuwa na ndugu asiekua muislamu upo hapo!!! Niache kuwa na ndugu muislamu niwe na ndugu kama wewe mkuu!!! Nianzie wapi kuwa na undugu na wewe usie muislamu!!! Pole sana