Wewe mwenyewe ndio umehitimu ujinga. Tangu lini mwarabu akawa mtu mwema.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama Boko haram au?Wanaoujuwa ni wale wenye akili tu.
Siyo daesh?Kama anti balaka.
Ndio mtu mwema, tena sana kuliko hata wabantu, isipokua wachache ni wema.Wewe mwenyewe ndio umehitimu ujinga. Tangu lini mwarabu akawa mtu mwema.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama anti balaka.
Ulichosema kinaweza kuwa kweli.Hapa unaongopa. Uislam una wenyewe nao ni Waarab kwa Sunni au Wairan kwa Shi'a.
Uislam hautenganishwi na Kiarab na Waarab. Ondoa Kiarab....hakuna Uislam
Ni nadra tena nasenma ni nadra sana asie Mwarab kuwa hata Imam msikiti wa Madina au Makkah. Hii inaonesha wazi Uislam= Uarab
Tunawatambuwa Maprofesa kama Profesa Assad.Unamaanisha nini kwa kuandika "Hawa maprofesa kwa "kidini"? Au unamaanisha 'maprofesa" wa Kiislam?
Uislam sio dini?Unamaanisha nini kwa kuandika "Hawa maprofesa kwa "kidini"? Au unamaanisha 'maprofesa" wa Kiislam?
Asalamaleko AJUZANenda mwana kwenda. Hiyo hodi uliipiga saa ngapi hata sasa uipige "kwaheri".
Inshaallah ntakaribia AjuzaNi Asalaam Alaikum, tuwache kejeli kijana. Kuwa na heshima na jamii inayokusoma.
Ma shaa Allah hilo la "Ajuza" nimelipenda, njoo vizuri ajuzae apate kukujuza.
Wacha ujinga.
kwahiyo dini inaweza kukuokoa na jehanum?Naam, ndiyo dini pekee duniani kwa Mwenyeezi Mungu.
Unafahamu maana ya neno "dini"?
Naona swali limekuwa dini kwako umeshindwa kulijibu.Uislam sio dini?
Kabisa tena, kwa sababu dini ndiyo itakufundisha uishi vipi hapa duniani kuepuka Jahanam. Na dini pekee ni Uislam.kwahiyo dini inaweza kukuokoa na jehanum?
dini inapokuokoa mungu wako anakuwa amelala, au huwa hamuongei na mungu wenu na kumwambia awaokoe ili mumtegemee yeye badala ya kutegemea dini.Naona swali limekuwa dini kwako umeshindwa kulijibu.
Wewre bado hujawa Muislam? Unangoja nini kujisalimisha kwa Muumba wako?
Kabisa tena, kwa sababu dini ndiyo itakufundisha uishi vipi hapa duniani kuepuka Jahanam. Na dini pekee ni Uislam.