Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,985
- 12,312
Wameyasema hayo wakati wakidai Sheria inaelekeza baada ya tathimini malipo yafanyike ndani ya Miezi 6 lakini wanadai hawajalipwa, hivyo wanashindwa kuendeleza makazi yao.
Majibu ya Serikali soma hapa
~ Mkuu wa Wilaya: Wananchi wa Uyui wanaodai malipo ya kupisha Mradi wa SGR wafike ofisini
~ Mbunge ahoji ukimya wa Serikali kuhusu fidia ya waliopisha Reli ya SGR Tabora