TABlA YA WANA JAMII FORUMS

TABlA YA WANA JAMII FORUMS

Jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki - hawa wana tabia ya kujaliana, kupendana na ni wanafamilia kwa ujumla, hawaogopani na wengi wao wanafahamiana kwa sura na hata familia zao zinafahamiana. Ni wacheshi hawana jazba japo kuna baadhi ya watu huwa wanajaribu kuwachafulia hali ya hewa kwenye jukwaa lao lakini wao huwa wapole na waelewa.

na'asi desi... ni jukwaa la watu buheri bila kwere
 
No wonder wana tabia za kusifiana sifiana hata kwenye pumba. Sasa utamcritisize vipi mtu aliyekukaribisha chai, akutoe roho baa!

No wonder kuna mauza uza ya JF kupoteza mvuto.

mkuu kuna kitu naona kama hukipendi; maana nimesoma kama posti mbili au tatu hivi.. it seems you want some people to behave like we are in a class room!!! Rest assured people do what they for very good reasons, and probably wewe una pumba na matatizo kuliko wao ila ni bahati mbaya sana tu hujijui kama na wewe ni pumbalizer!!

a true friends does not criticeze, he/she will rather advice you and help you to improve kuliko ku-criticise!!! kusifia ni hulka na kama huna huna tu!!! na nina imani hapo una tatizo na mara nyingi style kama yako huwa hata nyumbani wanashindwa kusifia hata mtoto akiweza kuhesabu moja mpaka kumi kwa kusema "mimi nahesabu hadi bilioni" disregarding all teh factors surrounding different people in their own surrounding

You might a genius and a wise person, but that may prove futile kama unaamua kuishi kwenye vacuum, kwani hata sound hupata taabu kufikia walengwa

pole sana kwa kuwa outlier!!

BTW, yale makaribisho ya Bar au chai, si kama unavyoelewa wewe, na hata kama ingekua hivyo... the ones who love you will always telly you the truth!!!... badili jukwaa kuna mengine ya wanaokwepana hata kutumiana PM, but you are just like any other person... its just sad that you think you are something different
 
wacha nikuite kwa kifupi......mnyama
Dada kumwita mtu jina hilo unalolitaka kuna wakati wakati anaweza kulifurahia lakini kuna wakati anaweza lianzisha na wewe. Sina uhakika Kama unajua kuzichapa. wapenziwa simba SC ukiwaita mnyama watafurahi. lakini jaribu kumwita mumeo mnyama.....No! Usijaribu. Usijaribu kuchanganya akili yangu tu, tia na ya kwako.

Ila sipendi uniite mnyama niite Mnyamahodzo na wala si "Mnyama- hodzo". Kidogo sana naweza kukusamehe ukiniita "M-nyamahodzo"
 
No wonder wana tabia za kusifiana sifiana hata kwenye pumba. Sasa utamcritisize vipi mtu aliyekukaribisha chai, akutoe roho baa!

No wonder kuna mauza uza ya JF kupoteza mvuto.

Ah umepotea step kidogo!
Nikiwa kama mpenzi wa jukwaa la mahusiano, Naomba kukupinga ifuatavyo kwa upendo!
Kama slogan ya JF ilivyo sisi tunapinga kwa upendo tena tunapingana kweli kweli mfano kaipitie sredi ya watokao nje ya ndoa! Haafu tukimaliza tunapongezana na kufurahi! Asa mambo ya kutoana roho hatuna na wala si utamaduni wa Watanzania; si kwa JF peke yake
 
Tabia ya wanajamii forum ni great thinkers mwenyewe si unaona maana kuna waliofyatuka, wasio na breki, wenye breki, wenye hekima na busara, wachangiaji na wasomaji tu lakini wote wanahesabika as great thinkers😛ainkiller:
 
You might a genius and a wise person, but that may prove futile kama unaamua kuishi kwenye vacuum, kwani hata sound hupata taabu kufikia walengwa
DN, hapa umeongea bonge la point sana
ila its true pale jukwaani i.e MM&U kuna watu wachache wanataka kupaharibu na kupaletea sifa mbaya, mfano watu wanaowazushia members wengine tuhuma zisizo na sababu hadi kuwaharibia mood ya kukaa pale wakati ni watu wenye hekima na busara kupitia michango mizuri. Nafikiri hao wachache nina uhakika wanajijua pamoja na wengine kuwa na post nyingi lakini ni waibuaji wa kashfa za kipuuzi sana za kuchafua status na heshima za wengine, wajirekebishe kwani wanaharibu ukumbi maridhawa sana hapa JF. Ila jukwaa la MM&U ni zuri na lenye kuisaidia jamii
 
Kila jamii ina tabia zake.
Ukienda kwa maaskari wanakuwa na tabia yao ya ujumla ambayo huitwa haiba.
Ukienda kwa waalimu hali kadhalika wana haiba au tabia yao.
Ukienda kwa wanafunzi ni hivyo hivyo.
Hapa kwetu. J. F. Kuna watu kutoka makundi mbalimbali,
je tukikaa kwa pamoja tutaibua tabia gani?
Tukikaa pamoja tabia zitakuwa tofauti na nadhani watu tutagawanyika kama majukwaa yalivyo, kuna watakaopendelea kuongelea siasa, mapenzi, n.k.
 
Malaki 2:15,16. Ni moja ya vipengele ambavyo vinatoa sura halisi ya watu tuliomo humu ndani, yaani kuna wanaume na wanawake ambao kila mmoja anayo/zo tabia/ze (haiba/ze). Kuna waloo/a/zwa na waloole/wa/shwa, walo katika useja na waloach/ika/wa/achana. Walo wajane na wengi walio katika makandokando hayo. Kuna Vijana wachanga na wamakamo hali kadhalika wazee na busara zao zimo. Hivyo tumejazana na tunaumana vilivyo ili kutetea jamii tuliomo na jamii iliyomo. Nia na madhumuni kwa ujumla au mtu mmoja mmoja ni vigumu kutambua japo ninaweza kuthubutu kusema kuwa; ''nafikiri ni ya kijamii zaidi''
Hivyo ndivyo ninavyoelekea kuamini'
AMANI IWE KWENU
 
No wonder wana tabia za kusifiana sifiana hata kwenye pumba. Sasa utamcritisize vipi mtu aliyekukaribisha chai, akutoe roho baa!

No wonder kuna mauza uza ya JF kupoteza mvuto.

inaelekea wewe ni mnafiki, ukihongwa kikombe cha chai u shut ur big mouth up!!

sisi ni watu tofauti sana, hatuogopikukeme mtu anapokosea

afta roo u are not from our feathers so its gonna be difficult to flock with us.............
 
inaelekea wewe ni mnafiki, ukihongwa kikombe cha chai u shut ur big mouth up!!

sisi ni watu tofauti sana, hatuogopikukeme mtu anapokosea

afta roo u are not from our feathers so its gonna be difficult to flock with us.............

Mamushka cool down beibe.Au una hisa na wasukuma mwenzangu?
 
mkuu kuna kitu naona kama hukipendi; maana nimesoma kama posti mbili au tatu hivi.. It seems you want some people to behave like we are in a class room!!! Rest assured people do what they for very good reasons, and probably wewe una pumba na matatizo kuliko wao ila ni bahati mbaya sana tu hujijui kama na wewe ni pumbalizer!!

A true friends does not criticeze, he/she will rather advice you and help you to improve kuliko ku-criticise!!! Kusifia ni hulka na kama huna huna tu!!! Na nina imani hapo una tatizo na mara nyingi style kama yako huwa hata nyumbani wanashindwa kusifia hata mtoto akiweza kuhesabu moja mpaka kumi kwa kusema "mimi nahesabu hadi bilioni" disregarding all teh factors surrounding different people in their own surrounding

you might a genius and a wise person, but that may prove futile kama unaamua kuishi kwenye vacuum, kwani hata sound hupata taabu kufikia walengwa

pole sana kwa kuwa outlier!!

Btw, yale makaribisho ya bar au chai, si kama unavyoelewa wewe, na hata kama ingekua hivyo... The ones who love you will always telly you the truth!!!... Badili jukwaa kuna mengine ya wanaokwepana hata kutumiana pm, but you are just like any other person... Its just sad that you think you are something different

Well said
 
No wonder wana tabia za kusifiana sifiana hata kwenye pumba. Sasa utamcritisize vipi mtu aliyekukaribisha chai, akutoe roho baa!

No wonder kuna mauza uza ya JF kupoteza mvuto.

Anaza gret sinka:yuck:
 
Mojawapo ni kuwa passive, hatuna moto tuko baridi tunachofanya ni kujadili kama kijiweni na kuyaacha pale pale
Lakini wapo ambao discussions za hapa zinawazalishia mawazo wanayoyapanua na kufanya mambo makubwa sana
 
....
sisi ni watu tofauti sana, hatuogopikukeme mtu anapokosea

afta roo u are not from our feathers so its gonna be difficult to flock with us.............

Kumbe nawe mmoja wao. Ukweli umefika japo unauma.

Btw, acheni basi na kamtindo ka kudandia mada na kupotezea mtiririko kwa kuingiza habari zenu za baa na mahaba.
 
Ah umepotea step kidogo!
Nikiwa kama mpenzi wa jukwaa la mahusiano, Naomba kukupinga ifuatavyo kwa upendo!
Kama slogan ya JF ilivyo sisi tunapinga kwa upendo tena tunapingana kweli kweli mfano kaipitie sredi ya watokao nje ya ndoa! Haafu tukimaliza tunapongezana na kufurahi! Asa mambo ya kutoana roho hatuna na wala si utamaduni wa Watanzania; si kwa JF peke yake

Sikujua kama wewe ni mpenzi wa jukwaa la mahusiano na pia sifa za watu wa jukwaa hilo ni pamoja na kukaribishana chai na vikaoni baa. Asante kwa upendo wako kunifumbua macho kuhusu jukwaa ulilolitaja.
 
No wonder wana tabia za kusifiana sifiana hata kwenye pumba. Sasa utamcritisize vipi mtu aliyekukaribisha chai, akutoe roho baa!

No wonder kuna mauza uza ya JF kupoteza mvuto.
Walialia hovyo kama wako msibani, walalamishi, wazandiki, waliojawa na wivu wa kijinga ambao kabla hawajatoa boriti kwenye macho yao ndio waone kibanzi kwenye macho ya wenzao wanapaswa kusoma hekima na busara zilizoandikwa na watu kama hawa wenye hekima zao........................

mkuu kuna kitu naona kama hukipendi; maana nimesoma kama posti mbili au tatu hivi.. it seems you want some people to behave like we are in a class room!!! Rest assured people do what they for very good reasons, and probably wewe una pumba na matatizo kuliko wao ila ni bahati mbaya sana tu hujijui kama na wewe ni pumbalizer!!

a true friends does not criticeze, he/she will rather advice you and help you to improve kuliko ku-criticise!!! kusifia ni hulka na kama huna huna tu!!! na nina imani hapo una tatizo na mara nyingi style kama yako huwa hata nyumbani wanashindwa kusifia hata mtoto akiweza kuhesabu moja mpaka kumi kwa kusema "mimi nahesabu hadi bilioni" disregarding all teh factors surrounding different people in their own surrounding

You might a genius and a wise person, but that may prove futile kama unaamua kuishi kwenye vacuum, kwani hata sound hupata taabu kufikia walengwa

pole sana kwa kuwa outlier!!

BTW, yale makaribisho ya Bar au chai, si kama unavyoelewa wewe, na hata kama ingekua hivyo... the ones who love you will always telly you the truth!!!... badili jukwaa kuna mengine ya wanaokwepana hata kutumiana PM, but you are just like any other person... its just sad that you think you are something different

Ah umepotea step kidogo!
Nikiwa kama mpenzi wa jukwaa la mahusiano, Naomba kukupinga ifuatavyo kwa upendo!
Kama slogan ya JF ilivyo sisi tunapinga kwa upendo tena tunapingana kweli kweli mfano kaipitie sredi ya watokao nje ya ndoa! Haafu tukimaliza tunapongezana na kufurahi! Asa mambo ya kutoana roho hatuna na wala si utamaduni wa Watanzania; si kwa JF peke yake

DN, hapa umeongea bonge la point sana
ila its true pale jukwaani i.e MM&U kuna watu wachache wanataka kupaharibu na kupaletea sifa mbaya, mfano watu wanaowazushia members wengine tuhuma zisizo na sababu hadi kuwaharibia mood ya kukaa pale wakati ni watu wenye hekima na busara kupitia michango mizuri. Nafikiri hao wachache nina uhakika wanajijua pamoja na wengine kuwa na post nyingi lakini ni waibuaji wa kashfa za kipuuzi sana za kuchafua status na heshima za wengine, wajirekebishe kwani wanaharibu ukumbi maridhawa sana hapa JF. Ila jukwaa la MM&U ni zuri na lenye kuisaidia jamii

inaelekea wewe ni mnafiki, ukihongwa kikombe cha chai u shut ur big mouth up!!

sisi ni watu tofauti sana, hatuogopikukeme mtu anapokosea

afta roo u are not from our feathers so its gonna be difficult to flock with us.............
Wote niwewazawadieni SENKSI, na samahani kwa wote niliowakwaza kihalali.
 
Back
Top Bottom