Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
JF ni ya Watu wote. Kila mtu anaruhusiwa kusoma au hata kujiunga na kutuma maoni.
JF ina faida kubwa sana. Mimi binafsi nimeshauliza maswali mengi na kujibiwa vizuri.
JF ni mwiba kwa mafisadi na wanasiasa uchwara. Wanasiasa dhaifu na wasiotaka kukosolewa na kwenda na wakati wanaichukia JF. Mfano wana magamba.
Couldn't agree more! Thanx