TABlA YA WANA JAMII FORUMS

TABlA YA WANA JAMII FORUMS

JF ni ya Watu wote. Kila mtu anaruhusiwa kusoma au hata kujiunga na kutuma maoni.

JF ina faida kubwa sana. Mimi binafsi nimeshauliza maswali mengi na kujibiwa vizuri.

JF ni mwiba kwa mafisadi na wanasiasa uchwara. Wanasiasa dhaifu na wasiotaka kukosolewa na kwenda na wakati wanaichukia JF. Mfano wana magamba.

Couldn't agree more! Thanx
 
Mimi nataka tujadili pia tabia ya mods moderators kuondoa thread yetu na comments zetu haraka sana bila maelezo.
 
inaelekea wewe ni mnafiki, ukihongwa kikombe cha chai u shut ur big mouth up!!

sisi ni watu tofauti sana, hatuogopikukeme mtu anapokosea

afta roo u are not from our feathers so its gonna be difficult to flock with us.............

Binamu....am happy to see you...!
 
Jukwaa la SIASA-Opportunist (some)
Jukwaa la Mapenzi-wanafamilia
Jukwaa la DINI-WATATA WALE(Iko siku watatoana macho)
Jukwaa la science na technolojia-wazee wa 10%
Jukwaa la itelijensia-no comment kwa hawa watu

etc
mkuu umeadimika!
 
ni vigumu kwani jf ni mixture ya watu tofauti wenye mawazo tofauti,wenye malengo tofautitofauti ndani ya jamvi hili......i think we can say dat tabia yetu ni THINKING BIGGER THAN WAT OUR BRAINS CAN HOLD......:A S 103:
 
Wana JF,
Aliyeanzisha mada anataka kujua makundi haya yote kwa ujumla wake, combined together, yatatoa tabia ganiza ujumla? hajasema kila jukwaa tulinyambulishe tabia zake,... sababu ni obvious kuwa jukwaa la ampenzi lazima lina watu wanaopendana, dini wanaohiltilafiana kiimani, siasa n.k.! JF kama kundi moja tu la watu, say uwakusanye wote wakae wote kwa pamoja kwa mwezi mzima, wote au wengi wao, wamanifest tabia zipi?

ukiwakusanya sehem moja mwezi lazma maiti zitoke hapo!
 
Back
Top Bottom