Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,681
You just proved his/her point mkuu. Maana hii uliyoandika ni pure utata.
You just proved his/her point mkuu. Maana hii uliyoandika ni pure utata.
Great thinkers,critical etc.
Hawa kutwa kutukanana.....!Jukwaa la dini je?
Tuunde Tume ya kuchunguza hili..
Vp wale wa jukwaa la wakubwa teh teh :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
You just proved his/her point mkuu. Maana hii uliyoandika ni pure utata.
nadhani mtu kama MALARIA SUGU HATUWEZI MWEKA KATIKA GROUP LA MA GREAT THINKER.
Hapana, mimi sio Muhaya.....JF wote ni wabishi na ni wajuaji, hata mi niko hivyo.
First expresion yetu sisi wote ni WAHAYA
Kila jamii ina tabia zake.
Ukienda kwa maaskari wanakuwa na tabia yao ya ujumla ambayo huitwa haiba.
Ukienda kwa waalimu hali kadhalika wana haiba au tabia yao.
Ukienda kwa wanafunzi ni hivyo hivyo.
Hapa kwetu. J. F. Kuna watu kutoka makundi mbalimbali,
je tukikaa kwa pamoja tutaibua tabia gani?
wewe ndio utakuwa mwenyekiti