TABlA YA WANA JAMII FORUMS

TABlA YA WANA JAMII FORUMS

Composition ya wana JF I gesi iko hivi -watumishi wa serikali na mashirika ya umma (si dhani kama kuna wanajeshi na walimu wa shule za msingi hapa kama wapo wachache)---ni watu wa daraja la kati na la juu wachache....kuna wana siasa , wabunge, ma dc. madiwani nk, mainjinia wachache pia...manesi nadhani hakuna kabisa, wauza mitumba pia na mashaka hawapo.....pia umri wao ni kati miaka 24yrs-75yrs
kuna wastaafu wachache.....kuna mawakala wa mafisadi.....waandishi wa habari wengi zaidi bila kusahau wanafunzi walio nje ya nchi. KWA UPANDE WA JINSIA NADHANI WANAUME NI WENGI ZAIDI
-
....kitabia
1) Wengi ni vipanga sana (very intelijenti pipo)
1) ni watu wamanung'uniko kila jambo linalofanywa na wasiowakubali hata kama ni la heri basi ni threat kwao
2) Ni watu wenye huruma na huguswa na matukio yanayoamsha hisia sana ila kama linahusu dini huruma zao huenda kando
3) Ni wa dini kwa haiba
4) Si waoga kutetea wanachoamini
5) Ni wasomi na mahiri
6) Ni wacheshi, wapenda amani
7) Ni wachunguzi wa mambo ngumu kuwadanganya
8) Wengi ni wazalendo wenye mwamko unaoleta matumaini ya kesho
9) Sina hakika kama wanapenda au wanachukia 'MUUNGANO"
10) Wakiondoa imani kwa mtu ngumu kuirudisha

Angalau kidogo umeleta mwangaza maana wengine waliachwa mbali sana washindwa cha kuandika hivyo ni vizuri wachangiaji tuanzie hapo Thnx. Ndg.

Back 2topic ni jukwaa ambalo mtu ukiingia kanakua kama kaulevi fulani hivi nahutaki kutoka utatamani usome kila kitu kilichomo.
 
huwezi kuibua haiba ya wana JF koz kuna watu wa aina tofauti mno, wapo vichwa ngumu kama kina MALARIA SUGU na wenzake hawa wanapaswa kutengwa na jamii ya wapenda maendeleo
 
Wachache sana wanakubali kutokubaliana kwa hoja. Na matokeo yake Kuna wengine wanaweka ushabiki( Kidini, Kikabil, kihisia, kijinsia) mbele katika hoja .badala ya kutazama mazigira halisi. na maadili.

Kuna baadhi pia wanajiona wao kazi yao ni kuelimisha wenzao tu na kuna wengine wako hapa kuelimisha na na kuelimika.

Pia kuna wale taofauti ya mawazo/ nadharia./ suluisho la tatizo kwenye kitu kimoja na mwingine kinamfanya amchukie hata kwenye mambo mengine. They take it personal.

Wana JF Wengi tuko rective badala ya kuwa proactive.

Hapa JF ni kama mtaani au kujijini kuna watu wa kila aina kila mtu ana strengths na weakness zake.Tatizo ni wachache sana wako tayari kujitazama weakness zetu.

Sijui mimi niko kundi gani? Teh teh teh teh
 
Malaria Sugu ndio anatabia za kipekee kabisa ambazo memba wengine wamezikosa
 
Wanajukwaa la siasa ni wanafiki. wengi hutoa hoja zao tofauti na wayatendayo,na wayaminiyo mioyoni mwao wanapenda kusifiwa tuu, kukosolewa hawataki. si wanafamilia wengi longolongo tu. nawapongeza sana jukwaa la mapenzi, wana upendo wadhati na ni familia moja, wa kweli na wengi wanafahamiana kwa sura husaidiana kwenye matatizo.
 
Tabia ni vigumu kuzitabiri..maana wengi ni double faced! Tunazoziona hapa siyo tabia zao. Wengi huamua kujiachia kwa vile hakuna wa kuwashangaa. Wapo wenye kujifanya wastaarabu kumbe ni nyoka wenye sumu kali kupita ya black mamba au kifutu.Jihadharini.
 
Jukwaa la SIASA-Opportunist (some)
Jukwaa la Mapenzi-wanafamilia
Jukwaa la DINI-WATATA WALE(Iko siku watatoana macho)
Jukwaa la science na technolojia-wazee wa 10%
Jukwaa la itelijensia-no comment kwa hawa watu

etc
hahahahaaa! hapo umemaliza mkuu!
 
What you see and what you read ndivyo alivyo Mchungaji Masa!
 
Tabia za wana jf ni vuta nikuvute kati ya makundi mawili

La kwanza ni wale manazi wa chadema ambao ni kama asilimia 80.

Kundi la pili ni wakereketwa wa ccm wapo kama asilimia 10 hivi.

Wengineo 10%

Kundi la cdm chini ya mchungaji masa nikundi linalodhani kuwa wanachoamini wao ndio hicho pekee sahihi, kuwa tofauti na wao basi wewe ni msaliti na umetumwa na mafisadi,wamefikia hatua hata wapinzani wenzao wanawaona vibaraka. kundi hili ambalo ukihoji mapungufu ya cdm basi ugreat thinker wote unaisha,badala yake ni matusi kejeli na majibu ya kitoto.kuthibitisha angalia wanavyoongoza kula ban.
Ila wao kuhoji na kukashfu ccm na vyama vingine ndio sahihi, imefikia mahala mtu anaanzisha tu post ya kipumbavu ili mradi inaponda ccm au ina sifia cdm basi itapata sapoti ya nguvu sababu ya wingi wao.kundi hili hupinga karibu kila kitu kuanzia wasanii wetu na kazi zao iwe bss, maisha plus, serebuka,michuzi blog & nyingine,clouds,udsm,udom...........yaani kilakitu kwao kibaya, lakini sio cdm wala bilkanazi wala tz daima

Kundi la pili la wana ccm ambalo cdm wamelazimisha wapinzani wengine wawe humo, ni kundi la wastaarabu kihoja ukilinganisha na la cdm, ni nadra sana kukuta wanajibu kwa jazba, sikuzote wao hoja mbele.
Kwabahati mbaya sana kundi hili limevamiwa na memba wasio na busara wakiongozwa na ms mwenye id kama 10 hivi, huyu anaonekana kama kinara wa kundi la ccm ni mtu wa kukurupuka na hoja zenye udini hoja dhaifu sana kiasi kwamba hata wana ccm wengine zinawakera na kubakia wasomaji.

Hawa 10% wengineo ni watu wa sayansi na teknolojia, malav dav, nk hawa hawana impact kubwa

sasa tukija katika tabia ya ujumla ya wanajf utaona kuwa kundi la pili kwa wingi wao ndio wanabeba tabia ya ujumla ya wajf, kwa kawaida njia nzuri ya kujua tabia yako utaipata kwa wengine wanaokuona, hebu angalia site nyingine zinasema nini kuhusu jf, wengi wao wanasema hayo niliyoyataja ktk kundi la masa.
Sitaki kusema jf inatabia ya u cdm, ila 'in jenero' wanajf wanatabia ya kujiona 'machi no' hawapo tayari kuhojiwa, kukosolewa, they're right all the time
(samahani mchungaji masa kukutaja pengine inatokana na mimi kuwa shabiki wako, i like u posts but i dont like ur points of view)
 
Tabia za wana jf ni vuta nikuvute kati ya makundi mawili

La kwanza ni wale manazi wa chadema ambao ni kama asilimia 80.

Kundi la pili ni wakereketwa wa ccm wapo kama asilimia 10 hivi.

Wengineo 10%

Kundi la cdm chini ya mchungaji masa nikundi linalodhani kuwa wanachoamini wao ndio hicho pekee sahihi, kuwa tofauti na wao basi wewe ni msaliti na umetumwa na mafisadi,wamefikia hatua hata wapinzani wenzao wanawaona vibaraka. kundi hili ambalo ukihoji mapungufu ya cdm basi ugreat thinker wote unaisha,badala yake ni matusi kejeli na majibu ya kitoto.kuthibitisha angalia wanavyoongoza kula ban.
Ila wao kuhoji na kukashfu ccm na vyama vingine ndio sahihi, imefikia mahala mtu anaanzisha tu post ya kipumbavu ili mradi inaponda ccm au ina sifia cdm basi itapata sapoti ya nguvu sababu ya wingi wao.kundi hili hupinga karibu kila kitu kuanzia wasanii wetu na kazi zao iwe bss, maisha plus, serebuka,michuzi blog & nyingine,clouds,udsm,udom...........yaani kilakitu kwao kibaya, lakini sio cdm wala bilkanazi wala tz daima

Kundi la pili la wana ccm ambalo cdm wamelazimisha wapinzani wengine wawe humo, ni kundi la wastaarabu kihoja ukilinganisha na la cdm, ni nadra sana kukuta wanajibu kwa jazba, sikuzote wao hoja mbele.
Kwabahati mbaya sana kundi hili limevamiwa na memba wasio na busara wakiongozwa na ms mwenye id kama 10 hivi, huyu anaonekana kama kinara wa kundi la ccm ni mtu wa kukurupuka na hoja zenye udini hoja dhaifu sana kiasi kwamba hata wana ccm wengine zinawakera na kubakia wasomaji.

Hawa 10% wengineo ni watu wa sayansi na teknolojia, malav dav, nk hawa hawana impact kubwa

sasa tukija katika tabia ya ujumla ya wanajf utaona kuwa kundi la pili kwa wingi wao ndio wanabeba tabia ya ujumla ya wajf, kwa kawaida njia nzuri ya kujua tabia yako utaipata kwa wengine wanaokuona, hebu angalia site nyingine zinasema nini kuhusu jf, wengi wao wanasema hayo niliyoyataja ktk kundi la masa.
Sitaki kusema jf inatabia ya u cdm, ila 'in jenero' wanajf wanatabia ya kujiona 'machi no' hawapo tayari kuhojiwa, kukosolewa, they're right all the time
(samahani mchungaji masa kukutaja pengine inatokana na mimi kuwa shabiki wako, i like u posts but i dont like ur points of view)
kaaazi kweli kweli
 
Malaki 2:15,16. Ni moja ya vipengele ambavyo vinatoa sura halisi ya watu tuliomo humu ndani, yaani kuna wanaume na wanawake ambao kila mmoja anayo/zo tabia/ze (haiba/ze). Kuna waloo/a/zwa na waloole/wa/shwa, walo katika useja na waloach/ika/wa/achana. Walo wajane na wengi walio katika makandokando hayo. Kuna Vijana wachanga na wamakamo hali kadhalika wazee na busara zao zimo. Hivyo tumejazana na tunaumana vilivyo ili kutetea jamii tuliomo na jamii iliyomo. Nia na madhumuni kwa ujumla au mtu mmoja mmoja ni vigumu kutambua japo ninaweza kuthubutu kusema kuwa; ''nafikiri ni ya kijamii zaidi''
Hivyo ndivyo ninavyoelekea kuamini'
AMANI IWE KWENU


Malaki 2:15,16 Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! kuna mtu mmoja atafutae mzao mwenye kumcha Mungu?

Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu wa aina yoyote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israel; naye afunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
 
Tungekuwa na tabia ya kujadili mada bila kuwa na hitimisho.Yaani tungekuwa kama kundi la watu ambao kila mmoja wetu anajifanya mjuaji!ingekuwa balaa kweli kweli!!
 
Acha masihara hayo, hakuna utata wowote kule: Ni kuelimishana, kuonyana, kukemea maovu, kusema ukweli bila kumwogopa mtu yeyote, transparency, nk! And life goes on, just like that! Hayo mambo ya "kutoana macho" wakati hatuonani yatatokeaje?
You just proved his/her point mkuu. Maana hii uliyoandika ni pure utata.
 
Kumbe nawe mmoja wao. Ukweli umefika japo unauma.

Btw, acheni basi na kamtindo ka kudandia mada na kupotezea mtiririko kwa kuingiza habari zenu za baa na mahaba.
Hapo kwenye red kwa kweli sometimes inakera sana maana unakuta mtu kauliza swali lake asaidiwe badala yake anakutana na stori za baa sijui nani aaargh
 
Hivi tabia ya dar es salaam na mwenzie malaria sugu tuzigroup kwenye category ipi hapa JF?
 
Jukwaa la SIASA-Opportunist (some)
Jukwaa la Mapenzi-wanafamilia
Jukwaa la DINI-WATATA WALE(Iko siku watatoana macho)
Jukwaa la science na technolojia-wazee wa 10%
Jukwaa la itelijensia-no comment kwa hawa watu

etc


Very well said....
 
Back
Top Bottom