Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

Mimi ni mpare lakini simshauri mtu kuoa mwanamke wa kipare kabisa.......sio wote lakini wengi wao wana tabia za hovyo sana......

Hasa wakiolewa na kabila zingine wanafanya ndoa kama sehemu ya kuchuma mali........hawapendi ndugu wa mume watafanya kila njia kukutenganisha na ndugu zako......

Atatumia rasilimali za familia kujinufaisha yeye na familia yake.....utajikuta mshahara wako na miradi inafadhili shughuli na mipango ya ukweni....

Wanajifanya wana upendo na heshima fake wakiona kuwa wanaweza kupata chochote kitu kutoka kwako.......

Wakiwa zaidi ya wawili wanapenda kuwateta wasiokuwa wa kabila hilo hata kama mmekaa pamoja.......

Wanaendekeza sana mambo ya kishirikina na wanajifanya wajuaji na wenye mipango mikali ya kimaisha!!!

Hatari Sana.

Wanawake wa kipare wengi Wana mitazamo ya ki-feminist
 
Sasa wewe jifanye mjanja ubebe hizo sifa kama unaweza kukutana nazo kwa kizazi hiki cha amdala kiuno cha alfu 2 ndio utaanza kusaga meno
 
hao wote wachaga, wapare, wameru kitabia ndo walewale tu. hawana tofauti sana labda kuna vitu vichache sana wamezidiana.

hao wengi wao wanapenda pesa pesa pesa aka chapaa na wabinafsi sana hawana subra sijui ni ule ukaribu na 🇰🇪 unawaathiri au, wengi wao ubinadamu🚮
 
ROMBO
d. Wana heshimu ndoa
Rekebisha hii kidogo warombo Ongeza neno wanaheshimu ndoa lakini wanaongoza kuzaa nje ya ndoa.
Nenda kule mpakani Tarakea angalia sura za wale watoto kisha leta jibu.
Mama mmoja alijua mtoto aliyezaa sio wa mumewe alivyojua mumewe anakuja xmass akawa anamkanda mtoto wake pua kwa maji moto iwe ndogo maana alizaa na mtu wa Kenya mwenye lipua likubwa
 
ukiona mchaga mmeru au mpare anakushobokea apo ndugu jikague vizuri apo lazima una kitu kizuri kimemvutia anakitaka. na akikipata tu urafiki unakata apoapo chap. hawaendi kwa hasara ao watu.
hebu kaoe sasa mzaramo au m ngazija kisha lete majibu
 
Back
Top Bottom