Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,182
- 18,168
Koma, ngenga ngengeNapenda mbege.
Koma, ngenga ngengeNapenda mbege.
Ni nini mkuu? 😂Koma, ngenga ngenge
Wenye mahusiano na Wapare tukutane hapa tujadiliane. Wa kwangu ana hivi vyote isipokuwa sio mchoyo.6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
min -me1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu
2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.
3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.
4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki
5. SIHA + WAMERU
a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.
c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina
6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Nilikua na rafiki yangu mparee kwa uchoyooWapare Muombewe
Tia neno cocaHapo kwa Wapare ni generally, sio Ke wala Me, ni hivyo.
Naunga mkono hoja.
Wapare shikamoo, wachoyo sisemei wote Ila nilio wafahamu alooh, ni wachoyo, haswaNilikua na rafiki yangu mparee kwa uchoyoo
S.I UNIT YA UCHOYOO IPO DAMUNI MWAO SIJAWAI KULA HATA SHILLING MIA MOJA YAKE ILA VICE VERSA YAKE MIMI NDIO NILIKUA NAMLISHA NA KUMSAIDIA SANA SANAAAAAA.
Nilikua na rafiki yangu mparee kwa uchoyoo
S.I UNIT YA UCHOYOO IPO DAMUNI MWAO SIJAWAI KULA HATA SHILLING MIA MOJA YAKE ILA VICE VERSA YAKE MIMI NDIO NILIKUA NAMLISHA NA KUMSAIDIA SANA SANAAAAAA.
Mbona hujaweka tabia za1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu
2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.
3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.
4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki
5. SIHA + WAMERU
a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.
c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina
6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Mimi na damu ya OLD_MOSHI natamani kujua chochote kuhusu Hawa watu.Mbona hujaweka tabia za
1. WaSangi
2. WaGweno
3. WaChome
4. WaKilema
5. WaMamba
6. WaKirua
7. WaOld Moshi
8. WaMbokomu
9. WaUru
10. WaMasama
11. WaKahe
12. WaSango
14. WaNganjoni
15. WaMasai
18. WaArusha
Nimekupata.pia humu ndani watu wengi wanawalalamikia wapareeeWanakaz hizo roho ni sugu ndani yao
Ila nilichojifunza
“When you give don’t expect returns “
Ila hata kwenye hii tread watu wengi wanawalalamikia wapareee.Wapare shikamoo, wachoyo sisemei wote Ila nilio wafahamu alooh, ni wachoyo, haswa
Aseeeeh hapana aseeh, hao watu ni hatare kama unataka urafiki naoIla hata kwenye hii tread watu wengi wanawalalamikia wapareee.
Hopefully itakua ivyoo
Mpare mtu wa ajabu sana kasoro Mshana jrHapo kwa Wapare ni generally, sio Ke wala Me, ni hivyo.
Naunga mkono hoja.
Kwa kweriiiAseeeeh hapana aseeh, hao watu ni hatare kama unataka urafiki nao