Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

1. Mrombo lazima akuibie ajenge kwao.
2. Mmarangu...ke ni kiherehere mjuaji na hawadumu kwenye ndoa kamwe. [Wanaume wezi kupindukia, anaweza kujiibia mwenyewe)
3. Mmachame...umemaliza
 
1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu

2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.

3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.

4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki

5. SIHA + WAMERU

a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.

c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina

6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Namba 6: Umalaya
 
1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu

2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.

3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.

4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki

5. SIHA + WAMERU

a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.

c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina

6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Kirua vunjo ?
 
WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Duh, Wapare wangu jamani! Dini ilinikosesha kipenzi changu Swalhina! Kalikuwa kasafi aiseee! Siku nikikaona mtaani lazima nikatafune tena whatever may!😁😁😂😂
 
1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu

2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.

3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.

4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki

5. SIHA + WAMERU

a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.

c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina

6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Ubahili
e. Uchoyo
f. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku

bila kuwataja wa Old Moshi Uzi haujakamilika mzee
 
Back
Top Bottom