Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,165
- 8,959
true😄Hii jamii anaweza pika ugali lakini hana mboga ukiiva anaweza gonga mlangoni kwako naomba mchuzi kidogo nimalizie ugali wangu.
true😄Hii jamii anaweza pika ugali lakini hana mboga ukiiva anaweza gonga mlangoni kwako naomba mchuzi kidogo nimalizie ugali wangu.
1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Ushamba
g. Hawajui kupika
h. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu
I. Majungu
2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.
h. Kusengenya ndugu wa mume
3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.
f. Ukatili - hawana huruma .
4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki
5. SIHA + WAMERU
a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.
c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina
g. Uchonganishi.
h. Visirani. - ni vigumu sana ndoa zao kuwa za amani . Msiha na Mmeru muda wote vichwa vya moto sana na hawana unyenyekevu , hata wakosee vipi wao ni sawa tu na hawajali na hawana neno samahani
6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Malezi mazuri kwa watoto- maadili
e. Haiba ya kike- wanawake wa kipare wana haiba ya asili ya mwanamke hata anapoongea inaonyesha kweli aliyeongea ni mwanamke . Pia wana aibu ambayo pia ni sifa ya Kike.
f. Romantic- ndilo kabila pekee Kilimanjaro linalojuwa kumshawishi mwanaume kuvutika kimapenzi
g. Ubahili
h. Uchoyo
i. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Siyajui haya makabila kiundani, lakini naona poiti zako simesimama, na watu wengi wanakubaliana na wewe. so bigup from me too.1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Ushamba
g. Hawajui kupika
h. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu
I. Majungu
2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.
h. Kusengenya ndugu wa mume
3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.
f. Ukatili - hawana huruma .
4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki
5. SIHA + WAMERU
a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.
c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina
g. Uchonganishi.
h. Visirani. - ni vigumu sana ndoa zao kuwa za amani . Msiha na Mmeru muda wote vichwa vya moto sana na hawana unyenyekevu , hata wakosee vipi wao ni sawa tu na hawajali na hawana neno samahani
6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Malezi mazuri kwa watoto- maadili
e. Haiba ya kike- wanawake wa kipare wana haiba ya asili ya mwanamke hata anapoongea inaonyesha kweli aliyeongea ni mwanamke . Pia wana aibu ambayo pia ni sifa ya Kike.
f. Romantic- ndilo kabila pekee Kilimanjaro linalojuwa kumshawishi mwanaume kuvutika kimapenzi
g. Ubahili
h. Uchoyo
i. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
hapo kwa wapare ongeza UCHAWI, ufupi, kisirani. kwa warombo ongeza KUKEKETA beans na kula kitimoto. ni hayo tu.1. ROMBO
a. Wachapa kazi - bulldozer
b. Wana upendo
c. Wabunifu sana kimaendeleo
d. Wana heshimu ndoa
e. Ulevi - hadi gongo na konyagi
f. Ushamba
g. Hawajui kupika
h. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu
I. Majungu
2. MARANGU
a. Wanapenda elimu sana
b. Ni wastaarabu sana
c. Wanapenda usafi
d. Wana upendo
e. Wanajali sana ndoa
f. Kujisikia
g. Wabaguzi -hawapendi kuchangamana na jamii zingine za kichaga hata wanapokuwa nje ya Kilimanjaro.
h. Kusengenya ndugu wa mume
3. MACHAME
a. Usafi
b. Elimu
c. Utawala katika famili
d. Jasiri
e. Ubepari - akishakuwa na uhakika kuwa anaweza kusimama peke yake na maisha yakaenda basi yupo radhi amuondoe mume wake ili abaki na watoto wake.
f. Ukatili - hawana huruma .
4. KIBOSHO
a. Hawatabiriki
5. SIHA + WAMERU
a. Baadhi ya tabia za kimachame
b. Wanapenda sherehe kama wazaramo. Yupo radhi asafiri kutoka Moshi hadi Mwanza kwenye Kipaimara cha mtoto wa binamu. Anaacha hata mgonjwa ndani ili afike harusini.
c. Kiburi
d. Ujuaji
e. Ubinafsi
f. Ushirikina
g. Uchonganishi.
h. Visirani. - ni vigumu sana ndoa zao kuwa za amani . Msiha na Mmeru muda wote vichwa vya moto sana na hawana unyenyekevu , hata wakosee vipi wao ni sawa tu na hawajali na hawana neno samahani
6. WAPARE
a. Upole - wataratibu sana
b. Wanapenda elimu
c. Usafi.
d. Malezi mazuri kwa watoto- maadili
e. Haiba ya kike- wanawake wa kipare wana haiba ya asili ya mwanamke hata anapoongea inaonyesha kweli aliyeongea ni mwanamke . Pia wana aibu ambayo pia ni sifa ya Kike.
f. Romantic- ndilo kabila pekee Kilimanjaro linalojuwa kumshawishi mwanaume kuvutika kimapenzi
g. Ubahili
h. Uchoyo
i. Ulalamishi.- ukioa mpare jiandae kupokea malalamiko kila siku
Lakini kabila gani wanapatikana wanawake wembambaaaaa ? Sijaona hiyo sifa hata kwenye kabila moja.hapo kwa wapare ongeza UCHAWI, ufupi, kisirani. kwa warombo ongeza KUKEKETA beans na kula kitimoto. ni hayo tu.
au wale wenye mwili kifua kipana, nyashi ndogo, wanatoka eneo lipi pale kilimanjaro?Lakini kabila gani wanapatikana wanawake wembambaaaaa ? Sijaona hiyo sifa hata kwenye kabila moja.
Ahsante kwa kuongeza, majibu yanasubiriwaau wale wenye mwili kifua kipana, nyashi ndogo, wanatoka eneo lipi pale kilimanjaro?
MAranguau wale wenye mwili kifua kipana, nyashi ndogo, wanatoka eneo lipi pale kilimanjaro?
Wotee mwaya hata wapareWale wanaowalisha sumu waume zao baada ya kufanikiwa ni kundi lipi
Inaitwa mkoa wa kilimanjaro ,wilaya ya mwanga hawa watu hata hawa wameru weka ushirikina ni wauaji hawana huruma wanatumia watu kwa maslahi yao hakuna haja yakuwaelezea mashetani kama haw
Sasa inaonekana Moshi na Arusha si mikoa ya kugusa ukitaka kuoa....hii inatisha...Inaitwa mkoa wa kilimanjaro ,wilaya ya mwanga hawa watu hata hawa wameru weka ushirikina ni wauaji hawana huruma wanatumia watu kwa maslahi yao hakuna haja yakuwaelezea mashetani kama hawa
KIlimanjaro hakuna wanaolewa tu kimadawa ,arusha kuna baadhi sio wabaya ,kuanzia kilimanjaro,arusha,makuyuni,mto wa mbu ,mbulu ,yote hadi karatu nakuendelea mkoa wote wa manyara nenda urangini. Hao wachawi balaaa.Sasa inaonekana Moshi na Arusha si mikoa ya kugusa ukitaka kuoa....hii inatisha...
Mama Mia, ahsante sister, sasa itanibidi niwatafute Wanyaturu au single for life.KIlimanjaro hakuna wanaolewa tu kimadawa ,arusha kuna baadhi sio wabaya ,kuanzia kilimanjaro,arusha,makuyuni,mto wa mbu ,mbulu ,yote hadi karatu nakuendelea mkoa wote wa manyara nenda urangini. Hao wachawi balaaa.
Ukilogwa na wambulu kwishaa hadi kufaa ndio warangi uwii,wakigoma nafuu kabisa
Hahaaa , ufupi na hasira hiyo remix ni hatari sana.hapo kwa wapare ongeza UCHAWI, ufupi, kisirani. kwa warombo ongeza KUKEKETA beans na kula kitimoto. ni hayo tu.
Ukitaka kuoa Mweke Mungu mbele sana utaoa kuwa single sio vizuriMama Mia, ahsante sister, sasa itanibidi niwatafute Wanyaturu au single for life.
Basi watakuwa blood group O wote...!5. SIHA + WAMERU
Wametoa wapiBasi watakuwa blood group O wote...!
Ha hahaaa! Tabia zilizoelezwa kwa siha+ meru Karibu zote ni za watu wa blood group O!!!Wametoa wapi