Tabia za Vipanga wa darasa na vimbwanga vyao

Tabia za Vipanga wa darasa na vimbwanga vyao

Daaa, nakumbuka nilikuwa nafanya mtihani ndani ya muda mfupi sana na Mwalimu wa somo anasahihisha naindoka na karatasi yangu. Nilikuwa napiga msuli balaa.

Nikaitwa majina Kama doctor, engineer na genius. Lakini sasa hivi napiga msuli wa maisha. The world is not fair😎😎
 
"kufaulu sometimes ni tabia " hii statement ungeielezea vizuri mkuu utufungue wengi .

Yaani ukishafika level fulani unakuta mtu anaelewa halafu anaweza kukabiliana na pressure za mtihani, yaani inakuwa, kwa kiwango kile cha wastani alichosoma anaweza ku recall vitu kwenye paper, anaweza kuusoma mwenendo na kujua wapi kuna high probabilty ya kuwa kwenye paper.....


Alexander The Great
 
Yaani ukishafika level fulani unakuta mtu anaelewa halafu anaweza kukabiliana na pressure za mtihani, yaani inakuwa, kwa kiwango kile cha wastani alichosoma anaweza ku recall vitu kwenye paper, anaweza kuusoma mwenendo na kujua wapi kuna high probabilty ya kuwa kwenye paper.....


Alexander The Great
Point noted
 
Umenikumbusha dah kuna genius mmoja anajua vitu sana ata akikupigia pindi unaelewa ata kama klaza.

Tatizo ana roho mbaya kama nn, mpaka akufundishe basi umemlamba miguu hadi basi
Basi mara akwambie sina ratiba ya physics, mara leo ni siku ya solving tu, mara sina mood ,mara njoo baada ya dakika 45
 
Mimi nilisoma katika hizi tution centers, O level na Advance miaka 3 jumla.. Nilikua sipendi kusoma notes, me nasoma vitabu tu tena nikikua nasoma topic kama masoma novel, Haya ma HGL simple sana. Basi wana wakanitabilia nitafel na nini. Wao wanakula msuli usiku kucha me nina book la Walter Rodney "How Europe underdeveloped Africa" basi me nasoma kidogo nalala
Sikua kipanga ila nilikua nafurahia kusoma na Mungu ni mwema nikapiga div 2 kali Advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]nakubali mkuu .. mimi kila utakapo chorwa mstari yani watakapo kata kibangala cha waliofaulu yani nimo ndani hiyo from primary to university. Ila nimewahi kukimbiza form one wakati huo nasoma shule moja ivi ya kata nilisumbua sana kidato cha kwanza baadae nilihamishwa shule huko nikaenda kukutana na wanyabi waliochafuka nyongo
Mimi akili nilikuwa sina ila kufaulu ni tabia asikudanganye mtu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]nakubali mkuu .. mimi kila utakapo chorwa mstari yani watakapo kata kibangala cha waliofaulu yani nimo ndani hiyo from primary to university. Ila nimewahi kukimbiza form one wakati huo nasoma shule moja ivi ya kata nilisumbua sana kidato cha kwanza baadae nilihamishwa shule huko nikaenda kukutana na wanyabi waliochafuka nyongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu waliokuwa wanasomea bara la Africa 😂😂😂😂😂😂
 
Yaani ukishafika level fulani unakuta mtu anaelewa halafu anaweza kukabiliana na pressure za mtihani, yaani inakuwa, kwa kiwango kile cha wastani alichosoma anaweza ku recall vitu kwenye paper, anaweza kuusoma mwenendo na kujua wapi kuna high probabilty ya kuwa kwenye paper.....


Alexander The Great
Certified comment☑️
 
Back
Top Bottom