Tabia za Vipanga wa darasa na vimbwanga vyao

Tabia za Vipanga wa darasa na vimbwanga vyao

hahaah....tulkuwaga wawil nyuma huko tlkuaa wakorofi kiasi wote tlifkuzwa somo la civis na mathe...wakim hao wakiingia cc tnatoka class,, burdaan kupiga boli walmu mpaka wakajua wakakausha tu...paper kuja jamaa yang mathe ana 100 mm nkawa wa pil nna 80 na kitu...civics nlkuw na 96 jamaa akawa wa pil cjui alpata ngap...kuanzia apo atjafkuzw tna.....nipo chuo now....ni mtaalam wa kutafsir vitini..nakulaga sana zawad za wadada inafkia kpind mpaka usk mageton cku nyngn cpiki naitiwa msos tu naend kula ....kila sku npo chuon bablai aijalish kuna nn baenda kutafsir vitini, alaf kna madog wanatng class nawakatiaga mapind kma lecturer ..kiufupi wananielewa ile mbaya mpka sasa jina langu lnaanza kusahaulika na jina jipya lnaanza kushamiri la mtaalam...wengine wakiniita captain.....hahahaaha...raha sana askwambie ktu..sema nna sir 1...huwa kabla semista haijaanza ntatafuta course outline ya masom yote nahakikish naptia topics zote online mpenzi wa google schorla.dhen naptia past papers huwa natsekag mwanz wa semista kuwa bize zile weeks 3 za mwanz nahakikish nmeuwa kila kitu partialy dhen naend sasa kutafsir vitini vimbwetan....cna ratib ya kusoma mm..huwa nasomag group discussion tu hata prepo huwa sisomag...nkirud geto mida ya saa 10 hiv jion...ni movie ,jamii forum na story...geto letu wote ni majembe yaan.tupo mtu 3 kila mtu anasoma koz yake no kuulizana maswal....hahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using [Samsung galaxy s10]

Kijana chuo gani!!
 
Kuna kipanga lofa mmoja tulikuwa tunawatuma mademu waende wakatuombee tirio zake na alikuwa anawapa bila shida, kwasababu masela alikuwa anatubania.

Advance nikafaulu nae shule moja, miaka yote miwili hakuna aliyejua kama mwana nimesoma nae olevel.

Alifeli vibaya mno pale advance, akatumia cheti chake cha olevel kwenda kusomea ualimu wa primary. Mwana huyooooo nikatua mdigriii.

Hadi leo nikikutana nae anageuza njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana walitaka kunipiga kwa sababu nilimpita genius wao wa darasa kipindi hicho nimeamia shule nikiwa mwanafunzi mgeni

Wakanitengenezea zengwe kuwa me ni mpiga chabo ndio maana nimepasua kumpita kipanga wao[emoji23][emoji23]

Kibaya zaidi ile pepa niliibahatisha tu walipokuja kujua mimi ni kama wao basi bifu likaisha
Wivu mbaya aisee[emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wana walitaka kunipiga kwa sababu nilimpita genius wao wa darasa kipindi hicho nimeamia shule nikiwa mwanafunzi mgeni

Wakanitengenezea zengwe kuwa me ni mpiga chabo ndio maana nimepasua kumpita kipanga wao[emoji23][emoji23]

Kibaya zaidi ile pepa niliibahatisha tu walipokuja kujua mimi ni kama wao basi bifu likaisha
Wivu mbaya aisee[emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umetishaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahofia usalama wangu ila ni product ya shule za kata kauli yangu ilikuwa moja tu wanafunzi we zangu mkisikia shule hii kafaulu mtu mmoja msihangaike kuangalia matokeo jueni ni mimi tu na wakati walikuwepo kama 20 wanaonipita uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
hii ndo ilikua kauli mbiu yangu...ingawa hata tano Bora skuwah kushika fm4...ila nlikua nasema ukiskia necta wametangaza matokeo na nchi nzima wamefaulu watatu...mi Niko..watu wa feza au Marian watajua wenyewe watakapokaa
 
Kuna kipanga mmoja same boys advance kombi za H kunani alikuaga anasoma kihuni..haeleweki..alihama pcb akaja hgk..suruali imetoboka mbupu na nywele za Siri nje..ila kwenye mtihani alikua hakamatiki....afu alivokuwa kichaa advance akafaulu badala ya kwenda chuo kikuu. Akatumia Cheti Cha o level akaenda kupiga diploma ya mambo yao ya udaktari..ad leo hii simuelewagi lengo lake lilikua Nini hasa
 
Kuna kipanga mmoja same boys advance kombi za H kunani alikuaga anasoma kihuni..haeleweki..alihama pcb akaja hgk..suruali imetoboka mbupu na nywele za Siri nje..ila kwenye mtihani alikua hakamatiki....afu alivokuwa kichaa advance akafaulu badala ya kwenda chuo kikuu. Akatumia Cheti Cha o level akaenda kupiga diploma ya mambo yao ya udaktari..ad leo hii simuelewagi lengo lake lilikua Nini hasa
Noma
 
Kuna kipanga mmoja same boys advance kombi za H kunani alikuaga anasoma kihuni..haeleweki..alihama pcb akaja hgk..suruali imetoboka mbupu na nywele za Siri nje..ila kwenye mtihani alikua hakamatiki....afu alivokuwa kichaa advance akafaulu badala ya kwenda chuo kikuu. Akatumia Cheti Cha o level akaenda kupiga diploma ya mambo yao ya udaktari..ad leo hii simuelewagi lengo lake lilikua Nini hasa
Nshamjua huyo kichaa saiv anapiga degree ya udaktar pale muhimbili yupo mwaka wa pili. Namfaham sana
 
Hahaa unanikumbusha mwaka 2017 wakat naingia chuo nimechelewa bhana dah jamaa wananizodoa ile tunapiga tests kwanz napiga dkka 25 hadi 40 nimemaliza afu matokeo yakitoka ni mabanda tu.

Hiyo semester one nilipiga banda 7 na B moja afu semester two banda zote...i assist people na ni wengi sana sina uchoyo na Mungu ananibariki sana i don't pray that much lakini watu wananiombea mwaka wa tatu semester one ambayo nimeimaliza march nina banda zote.

lakini vipanga wenzangu saidieni wengine na nilichojifunza wote walionidharau mwanzo wananiheshimu sana kumbe kwenye maisha unapata heshima unapokua na kitu..over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia nimefika drs la 4 mpk namaliza A- Level sikuwai this toka nje ya top4.. Siri yangu kubwa ilikuwa ni kusolve maswali mengi niwezavyo.

Hivyo nilikuwa sikatai swali tena sometimes nilikuwa nauliza kabisa nani mwenye swali gumu tulivunje hasahasa physics, na hii nimeiona kwa wengi wale top maringo ilikuwa noo.

Kwangu swali likinishinda basi nilikuwa naamini hakuna wakulisolve darasani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka unasoma certificate au diploma, ngazi ya degree bado hujafika.
hahaha.....may be bt sina hakika hata mimi...huenda niko foundation course kabisaaaaa mana kuna teknolojia ya kuona level ya mtu bila kumuuliza mhusika[emoji18].....
I love my country......tz sihami[emoji2089][emoji2089][emoji2089]

Sent using [Samsung galaxy s10]
 
Vipanga wengi asipo kuwa mwalimu lazima awe na psychiatric, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtani jamani.
 
MAGO,
Umenikumbusha O'level vijana walikuwaga wakishindwa swali hawataki kunicheck wanaenda kwa mwalimu.Kinachofuata mwalimu anawaambia walete kwanza kwangu.Nakata fresh tuu wanapeleka mrejesho jamaa leo mtoro hajaja.

Nikiwepo namaliza kila kitu.(Yaaani ule utabe sijui ulikuwa unatokeaga wapi_halafu ukija home unakuta nipo zamu za kuchunga tuu).KIU KWELI MITIHANI MINGI NIMEFANYA KWA OFFER ZA MATICHA TUU.
 
They used to call me "C.E.O wa msuli yatima"[emoji23][emoji23]nikisoma kwenye magroup sielewi naona kabisa napoteza muda basi najikunja mwenyewe tuu.

Kufika chuo naambiwa nasoma kama siji kuolewa, but it was a life lived. Siendi darasani discussion sizielewi but end of semester gpa inasoma.

All in all, jambo lililonitesa ni kunyimwa notice, mtu anaona anakupa notice afu uje kumpita haiwezekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Good woman 🤗
 
Back
Top Bottom