Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Hahahahaha mie nna zero tolerance na hiyo aisee. Nitamuambia kabisa kama hauna headphones zima hiyo makitu. Yaani aisee!
 
Huku mbagala ni kama ka-addiction flani. Yaani mie nikikwea daladala kupitia mlangoni naweza kuhoma kulipa nauli manake nahisi nimepewa lifti.
7. kugombania daladala hasa kupitia dirishani,
 

Dah! Pole sana kumbe wahanga ni wengi.
 
Kwani ukiwa mliberali ni lazima kila.mada uhusianishe na hobby yako???

Unachokoza watu halafu muandamane kuwa mnanyimwa haki zenuuu!!!!!!!

Ukweli utabaki kuwa ukweli mwanaume utanukiaje bana? wanawake na mashoga wanapaswa kunukia
 

Dah.... pole sana. Vipi aliona aibu au hata kukwambia asante ya uongo na kweli???
 
Tabia ya mtu kujidai anamfahamu flani kisa ni superstaa....

Utakuta mnaongelea jambo flani kuhus mtu huyo, mf. Juma Kaseja. Mtu anadakia yule nimesoma naye primary yule, mara Wema Sepetu mie alikuwa jirani yangu. Mara Ali Choki yule mshikaji wangu nilikuwa naye maskani wakati naishi Dar.

Wengine huwa wana tabia ya kuwaponda. Utasikia Juma Kaseja hana lolote yule, mie kipindi nasoma naye alikuwa mbulula kweli, Mara Wema Sepetu usimuone hapo hajui hata kupika.

Ilhali hajawahi hata kumuona. Anachotaka yeye ni kuwa ujue anafahamiana na mastaa au watu maarufu.
 


hapa najikutaga nazunguka na uchafu muda mrefu mjini kutafuta pa kuutupa , lol
 
Je mnaekaa siti moja kwenye daladala kisha anakuzungushia mkono kwenye siti uliyoegemea?
Au anasinzia halafu anakuegemea? Natamani nimtie konzi


halafu ukute kikwapa kinatema ,,,,,, huwa nawatolea uvivu , ikishindikana namkula bega la meno.
 


hii tabia ni maarufu sana kwa wale ndugu zetu waishio maeneo ya simiyu , shinyanga na mwanza...... usiombe ukae naye siti moja hasa yule primitive kutoka interior unaweza tembeza kichapo.
 
Misipendi tabia ya kunong'onezana hasa kipindi hiki cha mfungo
 
hii tabia ni maarufu sana kwa wale ndugu zetu waishio maeneo ya simiyu , shinyanga na mwanza...... usiombe ukae naye siti moja hasa yule primitive kutoka interior unaweza tembeza kichapo.

Umesahau wasafiri wa Dodoma - Iringa kupitia mtera........yaani hadi nyama mbichi na kuku wanatundikwa kwenye carrier na ukiuliza gari zima wanakutukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…