SGR angepewa mchina ingeshamalizikaAmfukuze na Estim hawezi akajenga barabara ya 17 kms for 4 years na Kama shida ni pesa basi nae ajitadhimini Kama anatosha
SGR angepewa mchina ingeshamalizikaAmfukuze na Estim hawezi akajenga barabara ya 17 kms for 4 years na Kama shida ni pesa basi nae ajitadhimini Kama anatosha
Hivi mahakama ya mafisadi imesikiliza kesi ngapi in five years za Magufuli na ilianzishwa kwa sababu zipi? Je unaweza kutuambia why Prof Assad aliondolewa kwenye nafasi ya CAG Kama awamu hii hakuna upigaji?Kalamu1,
Alipokuwepo Jakaya Kikwete watu wakawa wanajipigia fedha,na wengine kubeba kwenye sandarusi mkawa mnasema rais gani huyu mpole anacheka cheka tu.
Amekuja huyu mzee wa kazi mnaanza maneno mengine. Rais lazima awe mkali na lazima aogopwe ili mambo yaende. Sasa ile Petrol station kama ilikuwa kwenye hifadhi ya barabara we ulitaka iachwe? I am not a politician but i have common sense.
Sheria zinabadirishwa kama unavyobadiri shati? Sheria huwa inaangalia mazingira yaliyopo na sera inayoendana na wakati uliopo. Sio ubadilishe sheria kisa usibomoe nyumba za watu waliojenga kwenye road reserve wakati mazingira ya sasa yanahitaji kupunguza foleni. Acha ushabiki.Mkuu unajua sheria zipo kwa ajiri ya watu au?unadhani why sheria huwa zinabadirishwa? Serikali ni Mali ya watanzania na IPO kwa ajiri ya kuwahudumia,ni bahati mbaya tuna rais ambaye anadhani serikali ni chombo cha kuwakomoa watanzania na pesa za serikali hazitokani na watanzania
Hili kwa mbali lina mantiki! Ila jamaa nae anatoa pesa kwa mafungu usimlaumu mkandarasi. Maana pesa yote ipo hazina maana kipindi cha nyuma mlikuwa mnaiba sana.SGR angepewa mchina ingeshamalizika
Huku kwenye ujenzi kaja na force account ambayo imefeli vibaya sana,
Kanunua ndege cash kwa mbwembwe lakini anashinndwa kuwanulia wanyonge barakoa na sanitizer
Both, pia ni bingwa wa Kemia.Mkuu you mean jabari kwa maana ya maguvu ya mwili au akili mingi?
Mkuu mazuri tumeshayataja kwa kumlipa mshahara,ana bahati kwa kuwa anaongoza mazuzu wengi Kama wewe otherwise hayo mabaya machache aliyoyafanya ambayo nahakika hayapo kwenye JD yake yangetosha kumungoaUnafiki na upumbavu ni kudhani kutajwa makosa yake maana yake ni kuwa hakuna mazuri. In fact kuwaza hivyo tu ni zaidi ya ujuha.
Mmmh sijui bana, Ila Ben wa saanane hakujulikani alipoBoth, pia ni bingwa wa Kemia.
P
Maswali mengine huwa mnauliza mmelewa? Takwimu za mahakama ya mafisadi si uingie kwenye tovuti ya mahakama upate jibu. Kuhusu CAG kwani katiba inasemaje? Ni lazima abakie mpaka astaafu au? Naomba usome katiba viuri.Hivi mahakama ya mafisadi imesikiliza kesi ngapi in five years za Magufuli na ilianzishwa kwa sababu zipi? Je unaweza kutuambia why Prof Assad aliondolewa kwenye nafasi ya CAG Kama awamu hii hakuna upigaji?
Mahakama ipo kwa nini msiende kuweka writ of Habeas Corpus? Ili aachiwe?Mmmh sijui bana, Ila Ben wa saanane hakujulikani alipo
Hizo porojo zote ulizozitaja mlengwa ni mtu fullstop na sheria zote ni kwa ajiri ya kuhakikisha usitawi wa watu na si kuwakomoa watu,I am sorry tunaongozwa na wasiojielewaSheria zinabadirishwa kama unavyobadiri shati? Sheria huwa inaangalia mazingira yaliyopo na sera inayoendana na wakati uliopo. Sio ubadilishe sheria kisa usibomoe nyumba za watu waliojenga kwenye road reserve wakati mazingira ya sasa yanahitaji kupunguza foleni. Acha ushabiki.
Mawazo yako binafsi sio ya watanzania wote. Sasa ustawi wa watu sio na kuwa na barabara bora ambazo hazina foleni!Hizo porojo zote ulizozitaja mlengwa ni mtu fullstop na sheria zote ni kwa ajiri ya kuhakikisha usitawi wa watu na si kuwakoa watu,I am sorry tunaongozwa na wasiojielewa
mkuu mwaga hapa hizo kesi ilizohukumu,kwani hayo mazuri ya rais unayatapika hapa kwa kuwa hayaandikwi kwenye tovuti ya serikali?Kwa mujibu wa katiba yetu Prof alipaswa kuendelea,Ila fisadi wetu katuambia anajifanya muhimili kutaja 1.5T alizokwapuaMaswali mengine huwa mnauliza mmelewa? Takwimu za mahakama ya mafisadi si uingie kwenye tovuti ya mahakama upate jibu. Kuhusu CAG kwani katiba inasemaje? Ni lazima abakie mpaka astaafu au? Naomba usome katiba viuri.
Acha kukariri na acha uzushi.mkuu mwaga hapa hizo kesi ilizohukumu,kwani hayo mazuri ya rais unayatapika hapa kwa kuwa hayaandikwi kwenye tovuti ya serikali?Kwa mujibu wa katiba yetu Prof alipaswa kuendelea,Ila fisadi wetu katuambia anajifanya muhimili kutaja 1.5T alizokwapua
Sasa WB wamemnyimaje pesa Kama alikuwavsahihi hadi kupelekea kujenga 17 kms for four quick years na kilometer zingine zilizobaki kuwa suspended indefinitelyMawazo yako binafsi sio ya watanzania wote. Sasa ustawi wa watu sio na kuwa na barabara bora ambazo hazina foleni!
Wewe mwenyewe hujijui ni nani. Mara unaleta ishu ya CAG mara WB. Nenda kalale.Sasa WB wamemnyimaje pesa Kama alikuwavsahihi hadi kupelekea kujenga 17 kms for four quick years na kilometer zingine zilizobaki kuwa suspended indefinitely
Sio inasemekana! Ni kweli wametoroka Mkuu wa Wilaya ya Ilala kathibitishaHili la covid 19 linaeza tuumbua huko mbele, unless tuwe na bahati sana ,ila pamoja na kufundishwa na wataalamu, tumeamua kuchukua njia za miujiza kupambana na covid19, badala ya Ile zinazopendekezwa na wataalam, na kibaya zaidi bado kuna watu wanaamini hilo.
Jana inasemekana wagonjwa wamevunja mlango huko Amana, hii si dalili nzuri, inaonekana ukweli ni kuwa huduma za afya zimekuwa exsausted, mwanzo kabisa wa mpambano, katika kipindi amabapo pengine tulikuwa tunazihitaji sana .
ĺ
Sent using Jamii Forums mobile app
Matangaaaaa?Acha kukariri na acha uzushi.
Pole matangaWewe mwenyewe hujijui ni nani. Mara unaleta ishu ya CAG mara WB. Nenda kalake.