Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,769
Matanga?Pole matanga
Matanga?Pole matanga
Ukipigwa za uso!Matangaaaaa?
Za uso zipi mkuu? Za Magufuli kunyimwa pesa na WB za kujenga barabara ya ubungo chalinze kwa njia sita au Prof Assad kwa kuondolewa ofisini kwa kujifanya mhimili?Ukipigwa za uso!
We una hoja gani zaidi ya kulialia,mara mmevunjwa viuno,mara mmevunjwa pua.Sasa utalia mpaka lini?Kwamba wananchi hawawezi kuona mafanikio yake mpaka aseme yeye mwenyewe ?
Kwani pesa imekosekana? Kazi si inaendelea?Za uso zipi mkuu? Za Magufuli kunyimwa pesa na WB za kujenga barabara ya ubungo chalinze kwa njia sita au Prof Assad kwa kuondolewa ofisini kwa kujifanya mhimili?
Najaribu kufanya zile hesabu za form one za cross multiplications kwamba Kama kilometer 17 zinajengwa for 4 good year,je ingekuwa kilometer 100 ingejengwa for how long? Jibu nimeshindwa kuliandika maana namuonea aibu Mr Hapa kazi tuKwani pesa imekosekana? Kazi si inaendelea?
Vipi tena,mbona unajitukana mwenyewe?Phase 1 inaenda vizuri tu. Sema wewe mchawi wa taifa letu.
Wewe ndio mchawi wa taifa letu.Vipi tena,mbona unajitukana mwenyewe?
Umeanza habari za ufisdi wa tril 1.5,ukaleta habari za CAG kutumbuliwa sasa unaleta habari za hesabu za darasa la pili. Uko sawa mkichwa?Najaribu kufanya zile hesabu za form one za cross multiplications kwamba Kama kilometer 17 zinajengwa for 4 good year,je ingekuwa kilometer 100 ingejengwa for how long? Jibu nimeshindwa kuliandika maana namuonea aibu Mr Hapa kazi tu
Nimecheka sana jioni hii du si kwa kuchanganyikiwa hivyo.Mkuu mchawi wa taifa hili kwa sasa anajulikana,siku akili zikikurudia utanielewa just mark this postWewe ndio mchawi wa taifa letu.
Mkuu Kama ubongo wako ni mdogo na wenye uwezo mdogo sio kosa langu na hupaswi kunilaumu Mimi,i am so sorryUmeanza habari za ufisdi wa tril 1.5,ukaleta habari za CAG kutumbuliwa sasa unaleta habari za hesabu za darasa la pili. Uko sawa mkichwa?
Wewe akili yako imepinda hasa.Mkuu mazuri tumeshayataja kwa kumlipa mshahara,ana bahati kwa kuwa anaongoza mazuzu wengi Kama wewe otherwise hayo mabaya machache aliyoyafanya ambayo nahakika hayapo kwenye JD yake yangetosha kumungoa
Wewe mwenyewe hujijui alafu alafu useme mimi ubongo mdogo. Unavyotapatapa inaonekana ni mjinga ambae hujijui. Na labda ni chakula...Mkuu Kama ubongo wako ni mdogo na wenye uwezo mdogo sio kosa langu na hupaswi kunilaumu Mimi,i am so sorry
Bahati mbaya mie sijasoma shule za kukariri Kama wewe na kwa sababu hiyo mtu mwenye akili Kama isiyoweza kujaa hata kwenye kisoda kama wewe hawezi kunielewa.Wewe akili yako imepinda hasa.
Hii sio mara yako ya kwanza kuchanganya mambo na kukuonyesha ujuha ulionao, bado unarudia makosa yale yale.
Walimu wako walikuwa/wana taabu sana kukufundisha wewe hadi uelewe chochote.
Na huenda bado hutaelewa karipio hili nililokupa, kwa sababu akili yako ni rahisi sana kuchanganyikiwa. Unasoma maandiko, lakini huelewi unachosoma, na badala yake unabwatuka tu, na kujiandikia yasiyohusu kabisa na unachokijibu.
Kalamu1,
Alipokuwepo Jakaya Kikwete watu wakawa wanajipigia fedha,na wengine kubeba kwenye sandarusi mkawa mnasema rais gani huyu mpole anacheka cheka tu.
Amekuja huyu mzee wa kazi mnaanza maneno mengine. Rais lazima awe mkali na lazima aogopwe ili mambo yaende. Sasa ile Petrol station kama ilikuwa kwenye hifadhi ya barabara we ulitaka iachwe? I am not a politician but i have common sense.
Lishe siyo?Wewe mwenyewe hujijui alafu alafu useme mimi ubongo mdogo. Unavyotapatapa inaonekana ni mjinga ambae hujijui. Na labda ni chakula...
Hizo zilizopigwa soma report za CAG 5 yrs now vipi kulikoniHili kwa mbali lina mantiki! Ila jamaa nae anatoa pesa kwa mafungu usimlaumu mkandarasi. Maana pesa yote ipo hazina maana kipindi cha nyuma mlikuwa mnaiba sana.
Kwani sheria inasemaje ukijenga ndani ya hifadhi ya barabara? Ukivunjiwa unalipwa?
Sasa nimeelewa why ulijitukana mwenyewe, Kalamu1 na changu wa malunde ni mtu mmoja,so ulijisahau akajijibu mwenyeweKwani pesa imekosekana? Kazi si inaendelea?
Typing errors are common mistakes.Sasa nimeelewa why ulijitukana mwenyewe, Kalamu1 na changu wa malunde ni mtu mmoja,so ulijisahau akajijibu mwenyewe