Tabia ya mtu haibadiliki

Tabia ya mtu haibadiliki

Ukinipa mifano mibovu yote, halafu uniambie nichague moja nafuu, nakuona huna umakini wowote.

Huo mfano wa kituo cha petroli nao umeutoa kwenye 'context' iliyotumiwa. Kukfanya mambo kwa kukiuka taratibu zilizopo, hata kama haina lazima.
Wewe hujui huyo aliyevuniwa mali zake pasipo kufuata taratibu alifidiwa?
Mifano yako yote uliyoitoa ni kama inafanana. Mpaka leo wakazi wa kimara jibu ni hilo hilo. Kigamboni sijajua unalalamikia nini? Nauli ya 200? Kwa hiyo huo mfano sio nafuu.
 
Ukweli mchungu mafanikio yanahitaji mtu ajitume na atoke machozi, jasho na damu!

Mafanikio hayaji hivihivi! 😝
Uzembe tu unao wasumbua hasa kizazi hiki cha Chips mayai, na Magufuli hataki huo Ujinga na ndiyo maana wao wanauita ni mikwaruzano kwenye Miradi yake,

Uzembe wa miradi iliyokuwa inapaswa iishe ndani miezi mitatu inachukua miaka tatu,?

Kati ya ya kandarasi anayeshindwa kumaliza kandarasi yake na anayekuja kumuuliza Kwa nini uko nje ya mkataba, hivi ni Nani mkorofi Kati Yao kama sio mkandarasi
 
Raisi Magufuli pammoja na mazuri yake mengi tu,lakini pia ana few weakness zinazoziba mazuri yake.Every point counts na hili la Covid-19 ndio final examination kwa miaka yake 5 kuona kama atapata sifa ya kuomba kura kutuongoza miaka mingine 5 ya lala salama au la.
 
Raisi Magufuli pammoja na mazuri yake mengi tu,lakini pia ana few weakness zinazoziba mazuri yake.Every point counts na hili la Covid-19 ndio final examination kwa miaka yake 5 kuona kama atapata sifa ya kuomba kura kutuongoza miaka mingine 5 ya lala salama au la.
Kwa mtizamo huu, karibu maraisi wote duniani hawafai kuomba Kura tena, Kwa sabb kila pembe Corona ipo na haioneshi kama itaondoka leo Wala Kesho!!!
 
Huku kwenye ujenzi kaja na force account ambayo imefeli vibaya sana,

Kanunua ndege cash kwa mbwembwe lakini anashinndwa kuwanulia wanyonge barakoa na sanitizer
Una uhakika Force Accounts zimefeli au wapigaji ndio wamefeli kupiga kwenye force accounts? Njoo Mwanza nikuoneshe miradi kibao iliyofanyika na kuganikiwa kwa kiwango kikubwa kupitia force accounts.

Tuachane na hill, vipi kuhusu malipo ya serikali kufanyika benki kwa kutumia government control numbers. Na kwenyewe amefeli? Au unaogopa kusifia kwenye ukweli?
 
Raisi wa Korea Kusini amefanya vizuri kudhibiti maambukizi ya Covid-19. Chama tawala cha Korea kimeipata kura nyingi anaendelea kutawala.
Na Tanzania itakuwa hivyo hivyo. CCM chini Rais Magufuli inatarajiwa kupata kura nyingi sana kutokana na namna Jiwe anavyoidhibiti Corona bila kuathiri maisha ya kila siku ya Watanzania.
 
Ni Unafiki na Upumbavu uliovuka mpaka kusema Rais huyu ni Failure na kwamba hakuna Mema aliyoyafanya kwa Tanzania hii.
 
Mifano yako yote uliyoitoa ni kama inafanana. Mpaka leo wakazi wa kimara jibu ni hilo hilo. Kigamboni sijajua unalalamikia nini? Nauli ya 200? Kwa hiyo huo mfano sio nafuu.
Inaonekana huna uwezo wa kuelewa mada inazungumzia nini.
Jaribu kutulia na isome tena, vinginevyo ni kama nilivyokwishakujibu huko nyuma; ni u'Malunde" tu unaokusumbua.
 
Ni Unafiki na Upumbavu uliovuka mpaka kusema Rais huyu ni Failure na kwamba hakuna Mema aliyoyafanya kwa Tanzania hii.
Unafiki na upumbavu ni kudhani kutajwa makosa yake maana yake ni kuwa hakuna mazuri. In fact kuwaza hivyo tu ni zaidi ya ujuha.
 
Acheni Raisi wetu achape kazi huyu ndie mzalendo ,amefanya mambo mengi na yamefanikiwa kwa miaka tu mitano mfano,elimu bure, reli ya kasikazini , kutoa watumishi hewa na veti feki, , huyaoni hata haya

Sent using Jamii Forums mobile app
Nayaona sana, tena na zaidi ya hapo, lakini unatoka nje ya mada kabisa.
Kufuata taratibu hakuzuii kuyafanya hayo mazuri.
 
Kumbeza au kutombeza JK haina maana huyu asibezwe. Hapo ndipo akili zinapogotea.

Lakini hii mipasho ya kila mara, kama "Mkataa pema..." sijui huwa mnaitumia kwa maana gani hasa!
Ni misemo tuu ya Kiswahili, mkataa pema, pabaya panamwita, tulimbeza sana JK kuwa ni rais dhaifu, sasa ameingia jabali, watu wanamkumbuka JK
P
 
Ni misemo tuu ya Kiswahili, mkataa pema, pabaya panamwita, tulimbeza sana JK kuwa ni rais dhaifu, sasa ameingia jabali, watu wanamkumbuka JK
P
Kwa nini unapaita 'pema' ?
Kwani haiwezekani wote wawili wakawa ni wabovu, hata kama ubovu wao unatofautiana?
 
Back
Top Bottom