Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,769
Unatafunwa.Lishe siyo?
Unatafunwa.Lishe siyo?
😆😆😆😆😆Typing errors are common mistakes.
Basi inawezekana wewe ni mvuta bangi au kilevi cha aina inayoondoa akili timamu, maanake sio mara yangu ya kwanza kujaribu kukuweka sawa katika kuchanganyikiwa kwa unayosoma na unayojibu. Unalo tatizo hili hata usipokubali haliondoki.Bahati mbaya mie sijasoma shule za kukariri Kama wewe na kwa sababu hiyo mtu mwenye akili Kama isiyoweza kujaa hata kwenye kisoda kama wewe hawezi kunielewa.
Hii ni level ya matanga,am sorryUnatafunwa.
Ukija kistaraabu utaondoka kistaarabu na ukija kwa dharau utaondoka kwa dharau.Hii ni level ya matanga,am sorry
Ndio, na anaiporomosha. Ni haki yetu kusema/kuandika tunayoyaona.akiyafanya.
Kaa kando kabisa...'Sijjijui na 'chagu wa malunde', sitaki kuingilia ligi yenu. Endeleeni kwa wakati wenu.
Ndio, na anaiporomosha. Ni haki yetu kusema/kuandika tunayoyaona.akiyafanya.
JK hakuwa kiongozi smart na wa kupigiwa mfano ila huyu ni mbovu saana ndio maana JK anapata credit.Hala hala mkataa pema...
hata JK tulimbeza sana, alipoondoka akasema tutamkumbuka!, na kweli...
Hivyo na JPM hivyo hivyo huwezi jua...
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... - JamiiForums
P
Hayo ya Mbowe mimi siyajui, unayajua wewe; na hilo halinishangazi baada ya kukusoma kama hivi:"Sijaona inaporomoka Mzee".Sijaona inaporomoka Mzee,
Nikunong'oneze Mzee Baba yaani Mwaka huu Hadi mbowe ataipigia kura Ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kalipio umeshapewa nafikiri unatakiwa ulizingatie. Maana ni msomi usie na akili.Typing errors are common mistakes.
Mdogo wangu kaa mbali wewe huna uwezo wa kunitisha Wala kujifanya chochote,humu jamvini Kuna hundreds of comments a day,Kama unaakili kwa nini usome na kuqoute upupu,why usiupite tu Kama hujauona? Hili jamvi ni Mali yako? Kama si Mali yako huu ujasiri wa kuniandikia huu upuuzi unautoa wapi? StupidBasi inawezekana wewe ni mvuta bangi au kilevi cha aina inayoondoa akili timamu, maanake sio mara yangu ya kwanza kujaribu kukuweka sawa katika kuchanganyikiwa kwa unayosoma na unayojibu. Unalo tatizo hili hata usipokubali haliondoki.
Unapoandika hapa JF upupu, na kudhani kila anyekusoma anasahau upuuzi unaoandika, hilo peke yake linakufanya uwe umepungukiwa.
Kwa mfano, hili la kujigamba na elimu/shule//ufaulu, hii sio mara yako ya kwanza kuliweka mbele hapa JF kama kinga yako; lakini unayoandika yanaonyesha kinyume kabisa na majigambo hayo.
Kama baada ya hapa hutaelewa, hutaelewa kamwe!
Mkuu Kama umenisoma na hujanielewa Kama unaakili timamu unashindwaje kuiruka comment yangu na kuendelea na Mambo yako? Au inalipwa kwa kusoma,kuedit na kutranslate kila comment humu ndani ya jamvi? Kama si hivyo Basi probably you are out of your mindWewe akili yako imepinda hasa.
Hii sio mara yako ya kwanza kuchanganya mambo na kukuonyesha ujuha ulionao, bado unarudia makosa yale yale.
Walimu wako walikuwa/wana taabu sana kukufundisha wewe hadi uelewe chochote.
Na huenda bado hutaelewa karipio hili nililokupa, kwa sababu akili yako ni rahisi sana kuchanganyikiwa. Unasoma maandiko, lakini huelewi unachosoma, na badala yake unabwatuka tu, na kujiandikia yasiyohusu kabisa na unachokijibu.
lakini anashinndwa kuwanulia wanyonge barakoa na sanitizer
am sorry? Degree za kariakoo.Hii ni level ya matanga,am sorry
Mkuu kwa degree ya huko kwenu nilitakiwa kusemaje?am sorry? Degree za kariakoo.
I am sorry. Ndio maana kuna jamaa kakuchana live acha kujifanya umesoma sana.Mkuu kwa degree ya huko kwenu nilitakiwa kusemaje?