KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,174
- Thread starter
- #141
Akili itakurudi tu kama ni ukichaa ulioupata ukiwa mkubwa. Dawa zipo, na moja wapo ni hii ninayokunywesha wakati huu.Mdogo wangu kaa mbali wewe huna uwezo wa kunitisha Wala kujifanya chochote,humu jamvini Kuna hundreds of comments a day,Kama unaakili kwa nini usome na kuqoute upupu,why usiupite tu Kama hujauona? Hili jamvi ni Mali yako? Kama si Mali yako huu ujasiri wa kuniandikia huu upuuzi unautoa wapi? Stupid