Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Wakazieni tu. Wanaume tulio wengi huwa tunajitafakari sana hadi kufikia hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye anaheshimu na kujiheahimu, huwa tuna kajiuoga fulani kaasili kale lakini kama unajirahisi rahisi mtatandikwa mizinga na vitumbua mnaliwa hadi mtashangaa. Tabia hii naona inaanza kushika kasi hasa sehemu za miji. Naanzaje kuomba hela kwa mwanamke na kengele zangu nimezining'iniza! seeeeeeeh!
Hahahaaa. Etiii. Unaanzaje rafiki.

Vile vijanaume sababu mie naviitaga vijanaume ndio zao hizo na wala havinaga haya na soni kama ulivyojisemea rafiki.
 
Kweli kabisa rafiki na hasa wale wanaojua hawapindui kwao yaani anajua akiomba kwa kile kiasi anachopendewa basi hawezi nyimwa.
Na wanajua kbs pa kuwashika, utanyonywa Hajar hadi upararaizi, kama una mshono atahakikisha anakufumua ili tu akuahike hahahaaaa, kina mama mna kazi
 
Wakazieni tu. Wanaume tulio wengi huwa tunajitafakari sana hadi kufikia hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye anaheshimu na kujiheahimu, huwa tuna kajiuoga fulani kaasili kale lakini kama unajirahisi rahisi mtatandikwa mizinga na vitumbua mnaliwa hadi mtashangaa. Tabia hii naona inaanza kushika kasi hasa sehemu za miji. Naanzaje kuomba hela kwa mwanamke na kengele zangu nimezining'iniza! seeeeeeeh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wanajua kbs pa kuwashika, utanyonywa Hajar hadi upararaizi, kama una mshono atahakikisha anakufumua ili tu akuahike hahahaaaa, kina mama mna kazi
Hahahaaaa. Ila Mbalizi wewe Mungu anakuona aiseee.

Umesema kweli lakini na ndio inabidi wachakarike ili kesho akitaka pesa apate kupewa pasi pingamizi.
 
Niache hata kubeba zege huko eti nimekaa nakusubiri babe umeenda kunihangaikia nyoookoooooooh!
Hahahaaa. Ndio hapo sasa rafiki. Lol.

Wanaume wasiojitambua wananisikitisha sana aisee rafiki. Mie nimewashangaa sana hao wanaosema mkuki kwa nguruwe yaani janaume zina linakaa eti lipige kizinga kwa mwanamke. Lol.

Rafiki uwe unawapa darasa maridhawa wapate kujitambua siku zote mwanaume anatakiwa achakarike bana.
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
hivi mahusiano yapo kwaajili ya kugegedana tu na kushare furaha tu???
kama hutaki akuombe ww humsaidie unataka akamshirikishe nan tatzo lake???
ok sawa ameanza mapema mnoo kukuomba hivi shida ina hodi kwamba ichelewe au iwahi,,,,sasa imewahi akiwa nawewe so kakushirikisha sasa ....
nyie mabinti mpo tooo selfish in nature mnapenda kupokea kuliko kutoa,,,,hayo ni mapenzi ,,,,,,saidianeni kama u don care about his problem usimpotezee muda tel him the truth
 
Daaah,.yaani hakuna MTU anayenikosesha amani moyoni kama mwanaume mpiga vizinga aisee afadhali ya mchawi kuliko viumbe dizaini hii...MTU anajitegemea,ana kazi nzuri tuu pengine,. lakini ana hulka za ombaomba aisee mwanaume wa hivi anipitie kushoto mm nivuje jasho jua linichomeeee mpaka kwenye utumbo mpana halafu ww huyoooo eti niazime laki maamaeee njoo kwanza nikupe kipande cha shamba ulime ndio nikupe hiyo laki shenzyy taipp...halafu wanaume wa hivi sijui walikosewaa maana hizi tabia hata sisi wengine hatuna...mxxieeeeww[emoji57][emoji57]
ila kupokea vya wanaume unapenda??
 
Maamaee zao,.wala sirogwi halafu uzuri hawajifichagi yaani mwanzoni tuu unamjua huyu hamna kitu ni tapeli tuu
Ukishamjua mapema tu unampa makavu unatembea zako. Sema tatizo lenu mkishakuwa mlionjeshwa ndio tatizo- kama mleta mada nahisi atakuwa alishaonjeshwa utamu wa mshedede ndio maana anaugulia moyoni anakuja kulalamika huku. Kila ukisema unamwacha siku ukibanwa na nyegge unajikuta unakumbuka jinsi anavokukunja-ga unaenea kifuani pake unaona aaaah yanini kujitesa bas unaamua ngoja nimpigie aje anikune leo tu kisha nammwaga, ohooo na keshokutwa na mtondogoo na jumamosi hadi unakuwa addicted
 
Wangeweza kuzaa walahh ningewaoa mm...
Hahahhahahaaaaaaaaaaaaa mumu baana ! eti ungewaoa hahahaaaa.

Hii naifananisha na ile ya wamama wenye hela zao wanawalipa vijana tena mitaani kbs ili wawapigie nyeto wakiwa wanawatizama
 
hivi mahusiano yapo kwaajili ya kugegedana tu na kushare furaha tu???
kama hutaki akuombe ww humsaidie unataka akamshirikishe nan tatzo lake???
ok sawa ameanza mapema mnoo kukuomba hivi shida ina hodi kwamba ichelewe au iwahi,,,,sasa imewahi akiwa nawewe so kakushirikisha sasa ....
nyie mabinti mpo tooo selfish in nature mnapenda kupokea kuliko kutoa,,,,hayo ni mapenzi ,,,,,,saidianeni kama u don care about his problem usimpotezee muda tel him the truth
Mmh. Angekuwa mwanamke ndio kafanya hivyo Mkuu sidhani kama ungeandika ulichoandika cha zaidi angeonekana mwanamke ni mdangaji na mngempa kila aina ya hila na wala haya maneno mazuri kiasi hiki yasingekuwepo.

Hivyo unataka kusema mwanaume akikopa au kuomba ndio mapenzi hayo ama?
 
Back
Top Bottom