hahhaa naona bado wakumbuka ile biashara yko ya korosho na zile ml.7 alizokimbia nazo yule jamaaVizinga vya wanawake vifupi vifupi ila vya wanaume wana vizinga vya Mwendokasi
Acha tu usinikumbushe msiba wa kujitakiahahhaa naona bado wakumbuka ile biashara yko ya korosho na zile ml.7 alizokimbia nazo yule jamaa
wanasema huwa hauna kilio sindio""!? pole sana aiseeAcha tu usinikumbushe msiba wa kujitakia
Hahaaa. Ila mwanaume kupiga kizinga mwanamke hata hainogi kwa kweli.Duh.. kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu... au inanikumbusha ule ule usemi unaosema kunya anye kuku akinya bata kaarisha... kumbe na nyie mnaumiaga.. nilikua sijui
Hahahaaa. Ndio hapo sasa. Lolhao ndo marioo maneno meeengi vitendo zero. halafu sasa bora wawe umri mdogo hivi mi naanzaje kulea jitu zima midevu imekukomaa. lingine oooh nkopeshe kiasi flani niongezee kwenye kodi utadhani hiyo kodi imekuja kama chafya...pambaneni na vyuma vyenu mwanaume matonya hata uwe mtamu vipi haunogi
Hahahahaha mbona laanaPamoja na hayo ila wanawake wa Leo wamezidi. Usioneshe dalili ya kumpenda tayari keshaomba hela bila kujali mmefahamiana Leo au lini, duuu. Hii laana kabisa
Mkuu vitu vingine hata usipofanyiwa unapata tuu experience ya matukio yalivyo,.mm hata nisipokuelewa tuu au nikipata mashaka naww sikojoi sio mpaka niombwe hela...namm mpenzi wa moyo wangu hawezi kunipiga kizinga wala mm simpigj vizinga bali TUNASAIDIANA.[emoji16][emoji16]Kusema kweli hata mimi hapo mumu kanifanya nicheke sana. Na hii kiukweli kbs ameonesha jinsi ambavyo ilimkera alivyofanyiwa hivyo na inavyowauma wengine pia. Kusema kweli ni tabia mbaya kabisa kwa mtu kumfanyia mpenzi wake vile.
Usicheze na vijana wa sasa Hajar, ukijirahisi kimwenendo huo wanakupiga tu mizinga hawana hata soniHahaaa. Ila mwanaume kupiga kizinga mwanamke hata hainogi kwa kweli.
Yaani. Wanikalie mbali kwa kweli sababu ndio mwanzo wa kutiana hasara eti kisa mapenzi. Akaaaa.Usicheze na vijana wa sasa Hajar, ukijirahisi kimwenendo huo wanakupiga tu mizinga hawana hata soni
Uzuri wake wanawaingia wanawake ambao wanaingilika kirahisi rahisi, ujue kuna wanawake ambao hamtongozeki kirahisi kwa jinsi mnaheshimu na kujiheshimuYaani. Wanikalie mbali kwa kweli sababu ndii mwanzo wa kutiana hasara eti kisa mapenzi. Akaaaa.
Yani umesema kweli,mpaka kuna siku nikawaza waniuzie uanaume wao halafu niwaoe wakae tuu wanizalie halafu mm nikawatafute maana ndio wanachokitaka kutafutiwa....hawana soni hawa vijana wa leo....dah!!!Usicheze na vijana wa sasa Hajar, ukijirahisi kimwenendo huo wanakupiga tu mizinga hawana hata soni
Wakazieni tu. Wanaume tulio wengi huwa tunajitafakari sana hadi kufikia hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye anaheshimu na kujiheahimu, huwa tuna kajiuoga fulani kaasili kale lakini kama unajirahisi rahisi mtatandikwa mizinga na vitumbua mnaliwa hadi mtashangaa. Tabia hii naona inaanza kushika kasi hasa sehemu za miji. Naanzaje kuomba hela kwa mwanamke na kengele zangu nimezining'iniza! seeeeeeeh!Yani umesema kweli,mpaka kuna siku nikawaza waniuzie uanaume wao halafu niwaoe wakae tuu wanizalie halafu mm nikawatafute maana ndio wanachokitaka kutafutiwa....hawana soni hawa vijana wa leo....dah!!!
Kweli kabisa rafiki na hasa wale wanaojua hawapindui kwao yaani anajua akiomba kwa kile kiasi anachopendewa basi hawezi nyimwa.Uzuri wake wanawaingia wanawake ambao wanaingilika kirahisi rahisi, ujue kuna wanawake ambao hamtongozeki kirahisi kwa jinsi mnaheshimu na kujiheshimu
Na ukikutana na wa hivo jipange nakwambia- atakulia vumbi la kongo kama una mshono anaufumua hakiyanani!!Yani umesema kweli,mpaka kuna siku nikawaza waniuzie uanaume wao halafu niwaoe wakae tuu wanizalie halafu mm nikawatafute maana ndio wanachokitaka kutafutiwa....hawana soni hawa vijana wa leo....dah!!!
Hahahaaaa. Wengine wanaolewaga mbona. Teh teh teh.Yani umesema kweli,mpaka kuna siku nikawaza waniuzie uanaume wao halafu niwaoe wakae tuu wanizalie halafu mm nikawatafute maana ndio wanachokitaka kutafutiwa....hawana soni hawa vijana wa leo....dah!!!