Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Hiyo kweli anitake leo kesho kizinga nitamshangaa kweli [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Yaani kuna wanawake tunawatamani lakini kwa jinsi tu tunavoheahimiana na hasa wao heshima wanayotupa unaona kabisa pale naanzaje anzaje kumtongoza? Ila kuna hawa ambao mkionana baada ya mwezi mmoja tu umeshajua kuwa pale naenda na napewa jitumbua kiwepesi kbs na kweli inatokea
 
Kwa nilichokiona mimi Mkuu huyo mleta uzi na huyo mpenzi wake hata hiyo level ya kusema wanakaa wakazungumza nini cha kufanya baada ya mwanaume wake kukwama hawajafikia na ndio sababu mdada ameshangaa na huo mshangao ndio umemfanya kuja kuanzisha mpaka uzi.

Na ingekuwa hivyo kwamba walikaa na kuelewana sidhani kama angeleta uzi kama huu Mkuu sababu wangekuwa kila mmoja ameridhia alichokifanya.

Pia Twende mbele na nyuma Mkuu tabia zinaenda na kubadilika huenda ikawa huyo mwanaume kapata mdada anayejiweza basi kaona ndio pa kumaliza shida zake kwa mikopo isiyo na marejesho.
nae anamakosa yake huyo dada ,,,,not every problem need a money aisee smtmz si lazima yy ampe hela anaeza mpa ushaur utakaomsaidia kupata hela ili the othr day jamaa asibweteke kwamba akikosa hela akimbilie kwa mupenzi,,,,,wanawake mkiwa na hela mnajua kila kitu mmemaliza hlo nalo tatizo
 
Kwa nilichokiona mimi Mkuu huyo mleta uzi na huyo mpenzi wake hata hiyo level ya kusema wanakaa wakazungumza nini cha kufanya baada ya mwanaume wake kukwama hawajafikia na ndio sababu mdada ameshangaa na huo mshangao ndio umemfanya kuja kuanzisha mpaka uzi.

Na ingekuwa hivyo kwamba walikaa na kuelewana sidhani kama angeleta uzi kama huu Mkuu sababu wangekuwa kila mmoja ameridhia alichokifanya.

Pia Twende mbele na nyuma Mkuu tabia zinaenda na kubadilika huenda ikawa huyo mwanaume kapata mdada anayejiweza basi kaona ndio pa kumaliza shida zake kwa mikopo isiyo na marejesho.
Kifupi ni kwamba huyo me kamrahisi sana ke na sababu ni the way ke anajiweka mbele ya me( ambayo kwangu mimi nachukulia kama kamdharau vile) mwanaume mnayeheshimiana hawezi kukuomba omba hela kijinga jinga kiasi cha kukufanya ukwazike hadi kumuanzishia uzi social media amini nakwambia
 
nae anamakosa yake huyo dada ,,,,not every problem need a money aisee smtmz si lazima yy ampe hela anaeza mpa ushaur utakaomsaidia kupata hela ili the othr day jamaa asibweteke kwamba akikosa hela akimbilie kwa mupenzi,,,,,wanawake mkiwa na hela mnajua kila kitu mmemaliza hlo nalo tatizo
Hahahaaa. Makosa kusema anadai chake Mkuu?

Hilo la ushauri nadhani ndio bora zaidi kuliko kutoa pesa hovyo hovyo.
 
Kifupi ni kwamba huyo me kamrahisi sana ke na sababu ni the way ke anajiweka mbele ya me( ambayo kwangu mimi nachukulia kama kamdharau vile) mwanaume mnayeheshimiana hawezi kukuomba omba hela kijinga jinga kiasi cha kukufanya ukwazike hadi kumuanzishia uzi social media amini nakwambia
Sema wewe rafiki. Na ndio ukweli huo. Huyo Ke Yangemfaa wala asingekuja huku.
 
samaki mkunje angali mbichi
Kweli kbs, hawa watoto wenu wa siku hizi hawafundishwi hata stadi za maisha wapo wapo tu hawajielewi ,hawajui kuhangaika maisha sio lele mama. Mtoto anahitimu darasa la 7 hajui hata kufua nguo zake, hakuna kazi anayoiweza zaidi ya kukaa kuangalia bongo muvi ni janga kubwa sana
 
Hahahaaa. Makosa kusema anadai chake Mkuu?

Hilo la ushauri nadhani ndio bira zaidi kuliko kutia pesa hovyo hovyo.
hujanielewa dada,,,, what i mean ni kwamba binti huyo alikosea sanaa,,,mwanaume anapokuja kukuomba hela si lazima umpe hela ila mshauri ni nini afanye ili atatue tatzo lake ,,,,,,atoe jasho kwanza na aone kwel kwamba ushaur wake umefanya kazi,,,,,narudia tena hata si kila anapoenda kulia shida ya hela alitakiwa kumpatia hela ,,,sehem zingne unaeza kuta zilihitaj ushaur wake tu,,,sasa binti alijionyesha na hela kila muda jamaa akili shida anapewa hela why mazoea yashindwe kujenga tabia hapo???
 
Thubutuuuuuuuuuuu hahahahahaaaaaaa
Halafu siku hizi wanaume hawana aibu yaani mtu anakufuata na anajua unamme kabisa akisha kuzoea tu utasikia naomba uninulie kitu flani mie huchoka kabis, nimetoka na mambo yangu huko eti naomba hela kina baba fundisheni watoto jamani huku mtaani aibu
 
Hatari sana rafiki hasa huko tunakoelekea aisee.
Yaani ni hatari sana Hajar, nimetazama kile kipindi hadi nikawa natetemeka mambo ya ajabu sana yanafanyika duniani hapa. Yaani dume kbs linang'olewa kende zake linawekewa tupu linakuwa jike aseeeeeeeeee kuwa na hela napo kama kunapumbaza vile sijui!!?
 
Ilivyokuuma wewe hiyo pesa ndivyo nasi wanaume inavyotuuma kwa wanawake wenzako ambao nao hutugeuza ATM mashine kwa kutuuzia nyama ambayo hatuondokinayo buchani, nyama hiyohiyo tunauziwa watu tofautitofauti na kwa bei tofautitofauti.
Kisu kwa kuku kitamu ila kwa binadamu kichungue? Pesa haijawahi kumuacha mtu salama, Yuda Eskariot alimuuza Yesu kwa vipande thelathini.
 
Achana na hyo kibaka ,, pls nifuate pm
 
hujanielewa dada,,,, what i mean ni kwamba binti huyo alikosea sanaa,,,mwanaume anapokuja kukuomba hela si lazima umpe hela ila mshauri ni nini afanye ili atatue tatzo lake ,,,,,,atoe jasho kwanza na aone kwel kwamba ushaur wake umefanya kazi,,,,,narudia tena hata si kila anapoenda kulia shida ya hela alitakiwa kumpatia hela ,,,sehem zingne unaeza kuta zilihitaj ushaur wake tu,,,sasa binti alijionyesha na hela kila muda jamaa akili shida anapewa hela why mazoea yashindwe kujenga tabia hapo???
Ooh. Nimekuelewa sasa ndugu.

Kweli hapo mazowea yaligeuka kuwa tabia
 
Yaani ni hatari sana Hajar, nimetazama kile kipindi hadi nikawa natetemeka mambo ya ajabu sana yanafanyika duniani hapa. Yaani dume kbs linang'olewa kende zake linawekewa tupu linakuwa jike aseeeeeeeeee kuwa na hela napo kama kunapumbaza vile sijui!!?
Hahahaaaa. Na kupenda vya kupewa pia.

Yaani anajua nikizitoa hizi naniliu basi kuhangaika NO kinachokuwa kimebakia ni kuhangaikiwa tu. Lol
 
Halafu siku hizi wanaume hawana aibu yaani mtu anakufuata na anajua unamme kabisa akisha kuzoea tu utasikia naomba uninulie kitu flani mie huchoka kabis, nimetoka na mambo yangu huko eti naomba hela kina baba fundisheni watoto jamani huku mtaani aibu
Jukumu la malezi kisingi kbs kwa sisi wakati tunakua ilikuwa ni la baba na mama na muda mwingi tulikuwa na mama kwasababu baba anaondoka asubuhi anakwenda kutafuta anarudi jioni/ usiku yupo hoi. Siku hizi baba yupo kazini na mama yupo kazini, watoto wanabaki na mfanyakazi wa nyumbani ambaye maskini ya Mungu hata shule hakusoma hivyo ni kama wanajilea wenyewe

Mbaya zaidi wanapoanza shule wanapelekwa academy wanakaa bweni bado wadogo na kule shule kwakuwa wazazi hela mnazo nyingi ( mnalipa ada kuubwaa) basi mtoto anafanyiwa kila kitu hivyo anakua hajui kazi ya aina yyt ile yaani yupo yupo tu kama beberu lililotolewa mapimbu vile

Mtoto anahitimu elimu ya msingi hata kufua chuppi yake mwenyewe hajui! Kwa wa kiume akija kukua unategemea nini hapo na mama alishamzoesha kumpa hela kila wakati kwa kigezo cha "mwanangu" mpenzi mnavowaita watoto. Huyo wa kike ndio balaa sasa, haolewi ndoa yake ikadumu hata siku mbili nakwambia kwasababu hakuna mwanaume anayetaka kuishi na mwanamke mvivu hata ufanyeje haiwezekani

Matokeo yake ndio hayo sasa, mwanamke atalazimika amhonge mwanaume hela na vitu ili tu awe anamtimizia haja zake pale anapokuwa na matamanio sababu yy nae ni binadamu kama walivyo wengine na huo ndio mwanzo wa kuonekana anajirahisi kwa wanaume anakuwa anapigwa tumbua lake na hela anatoa huku nafsi inamuuma

Wewe na mumeo/ mkeo mtachagua njia sahihi ya kupita = kuwa na familia bora. Tunakufa kwa magonjwa ya moyo, mara sukari ,sijui figo zinafeli chanzo cha hayo yote ni sisi wenyewe. Tafakari chukua hatua hakiyamama
 
Back
Top Bottom