Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Kuna vijana wanajifanya watanashati lkn kichwani na mfukoni hamna kitu. ..huyo ni tapeli achana naye na hapo amejiona mjanja sana na hapo ana wanawake wengi wote anawatumia kuwapiga vizinga
 
hao ndo marioo maneno meeengi vitendo zero. halafu sasa bora wawe umri mdogo hivi mi naanzaje kulea jitu zima midevu imekukomaa. lingine oooh nkopeshe kiasi flani niongezee kwenye kodi utadhani hiyo kodi imekuja kama chafya...pambaneni na vyuma vyenu mwanaume matonya hata uwe mtamu vipi haunogi
 
Daaah,.yaani hakuna MTU anayenikosesha amani moyoni kama mwanaume mpiga vizinga aisee afadhali ya mchawi kuliko viumbe dizaini hii...MTU anajitegemea,ana kazi nzuri tuu pengine,. lakini ana hulka za ombaomba aisee mwanaume wa hivi anipitie kushoto mm nivuje jasho jua linichomeeee mpaka kwenye utumbo mpana halafu ww huyoooo eti niazime laki maamaeee njoo kwanza nikupe kipande cha shamba ulime ndio nikupe hiyo laki shenzyy taipp...halafu wanaume wa hivi sijui walikosewaa maana hizi tabia hata sisi wengine hatuna...mxxieeeeww
 
hao ndo marioo maneno meeengi vitendo zero. halafu sasa bora wawe umri mdogo hivi mi naanzaje kulea jitu zima midevu imekukomaa. lingine oooh nkopeshe kiasi flani niongezee kwenye kodi utadhani hiyo kodi imekuja kama chafya...pambaneni na vyuma vyenu mwanaume matonya hata uwe mtamu vipi haunogi
Kwanza mwanaume wa hivi hata akuweke staili gani hukojoi nahisi...utakuwa unawaza hela yako tuu ilivyopotea
 
Daaah,.yaani hakuna MTU anayenikosesha amani moyoni kama mwanaume mpiga vizinga aisee afadhali ya mchawi kuliko viumbe dizaini hii...MTU anajitegemea,ana kazi nzuri tuu pengine,. lakini ana hulka za ombaomba aisee mwanaume wa hivi anipitie kushoto mm nivuje jasho jua linichomeeee mpaka kwenye utumbo mpana halafu ww huyoooo eti niazime laki maamaeee njoo kwanza nikupe kipande cha shamba ulime ndio nikupe hiyo laki shenzyy taipp...halafu wanaume wa hivi sijui walikosewaa maana hizi tabia hata sisi wengine hatuna...mxxieeeeww


Mkuki kwa nguruwe, now nadhani ww na mtoa mada mmeelewa wanaume tunajisikiaje nyie mnapotupiga vizinga mumu
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!


Hahaaa how does it feel..huh, kama story yako ni kweli, basi umeelewa sisi wanaume tunajisikiaje nyie wanawake mkitupiga vizinga Chokochoko
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!

HIVI NYINYI FORM TWO "C" HAMJAFUNGUA SHULE TU BADO?
 
We upige kizinga akikupiga mwenzio inakua kelo wewe unapenda yake na yeye anaipenda pia
 
Ila wadada wanaomba sana,,, hako ka dume ni mmoja kati ya elfu wasiopiga vizinga.
 
Nikuulize swali mkuu wewe unampiga vizinga mwanamke???


Personally it never crosses my mind kumpiga mzinga mwanamke, labda niwe na shida saana, na huyo mwanamke awe mtu mzima ambae ni ndugu yangu ndo hela hapo nitakopa, kuliko kumkopa mdada wa rika langu, ntamfuata mwanaume mwenzangu anikope hela

1)I think wanawake wengi wanapiga mzinga ili kumkomoa mwanaume/kumuumiza mwanaume/ au kwasababu wana roho mbaya/ au kujichukulia kwamba jamii inamuona yeye ni mwanamke lazma apewe hela bila kufanya kazi (entitlement), na sio kwamba mtu ana genuine financial problem, hiyo ndo sisi wanaume hatutaki

2) Wengine wanapiga mizinga kwasababu ya njaa na uvivu a.k.a wanakuuzia k**a indirectly

2)Naona baadhi ya wanaume nao wameanza kupiga mizinga wanawake ili iwe 50/50...sasa mimi sipo huko mumu
 
Back
Top Bottom