Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

kwahiyo nyie mkituomba ss wanaume hela, it means nyie wanawake ni matapeli...kama story anayoleta mtoaa mada ni kweli basi ameshajua how we men feel, nyie wanawake mkitupiga vizinga agata edward
Sasa mpaka umemfuata na kumtongoza si ulishajipanga? Unamtongaza mtu hapo hapo unaanza kupiga mizinga mmmmm hapana
 
Hahaaa how does it feel..huh, kama story yako ni kweli, basi umeelewa sisi wanaume tunajisikiaje nyie wanawake mkitupiga vizinga Chokochoko
Sasa unikurupue wakati sikuwa na mpango kisha uanze kunipiga vizinga kwani uliitwa kumtongoza?
 
Upumbavu wenu wa kuangalia wanaume wapaka poda na watunisha vifua ndo wanaume sahihi ndo inayowapelekea kupigwa mizinga,
Vumilia toa tu,si mnapenda ujinga
[emoji2] [emoji2] [emoji2] duu
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
kwani huyo mpenzi wako yupo humu?
 
Mimi na mwanamke wangu tunaazimana sana hela ila sharti urudishe pindi unapokopa.
maana ya kuwa wapenzi ni kushirikishana kwenye mambo ya msingi.

swala la wanaume kumuomba hela mwanamke siyo la ajabu sana ila african mind ndo imemfanya mtoa uzi amwage pozi
au anatoka na kiben10.

kuna sababu za msingi kuazima hela kwa mpenzi wako,kama maradhi, msiba wa ghafla na sio kwenda kununua jeans au kuenda disco.
#50/50 vyuma vimekaza
 
hahaha mwanamke akiomba mwanaume hela basi itakuwa shida,mwanaume akikwama kdg akakuomba wewe umsaidie unamuona kituko,hivi hizi roho mbaya mnazaliwa nazo kijinsia au mnakuwa mpewa na wazazi wenu,yaani ishu ni kumsaidia tu lakini unamuona dhaifu kbs lakini ingekuwa vice versa ungeona sawa!hivi tunajua hata maana ya kujenga mahusiano kweli?
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Dah Na nyinyi wanawake mnapotongozw tu mnaanza kueleza shida zenu tunawavumilia tu au Ndii mkuki kwa nguruwe?
 
sioni kama kuna shida hapo,,,ulipaswa kukomaa tuu....ili ajiongeze,,,ushampa tayari...vipi network mlikonect?? au bando mpaka utoe wewe?
 
sioni kama kuna shida hapo,,,ulipaswa kukomaa tuu....ili ajiongeze,,,ushampa tayari...vipi network mlikonect?? au bando mpaka utoe wewe?
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Duuh pole sana mama ukuje huku sasa tufukie mashimo hahaaaa
 
Back
Top Bottom