mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,582
- 45,190
aibu kubwa kwakweliHahahaaaa. Na kupenda vya kupewa pia.
Yaani anajua nikizitoa hizi naniliu basi kuhangaika NO kinachokuwa kimebakia ni kuhangaikiwa tu. Lol
aibu kubwa kwakweliHahahaaaa. Na kupenda vya kupewa pia.
Yaani anajua nikizitoa hizi naniliu basi kuhangaika NO kinachokuwa kimebakia ni kuhangaikiwa tu. Lol
mnaona nyie kuomba ni haki yenu tu,mkiombwa mnaanza kulialiaHeri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Mlikutana humu humu?Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Ndivyo inavyokuwaga tena wakiwa masingle mother ndiyo na huangukia kwenye udhalilishaji, nawenyewe hutafuta fulusa sasa akiangukia kwa mie Ulweso nitampa nini zaidi ya kumwambia enda nataka pumzika pekeyangu nenda huko katafute saizi yako[emoji114] [emoji114]Asilimia kubwa ya wanawake watafutaji huangukia kwenye mahusiano na wanaume wa dizaini hiyo
Hapo ndipo tunapo haribu, na hata baba kuna weekend na likizo wape watoto jumbe za kale si kufikiria outing na michepuko basi pesa si kila kitu, lazima uitawale sio uitawaleJukumu la malezi kisingi kbs kwa sisi wakati tunakua ilikuwa ni la baba na mama na muda mwingi tulikuwa na mama kwasababu baba anaondoka asubuhi anakwenda kutafuta anarudi jioni/ usiku yupo hoi. Siku hizi baba yupo kazini na mama yupo kazini, watoto wanabaki na mfanyakazi wa nyumbani ambaye maskini ya Mungu hata shule hakusoma hivyo ni kama wanajilea wenyewe
Mbaya zaidi wanapoanza shule wanapelekwa academy wanakaa bweni bado wadogo na kule shule kwakuwa wazazi hela mnazo nyingi ( mnalipa ada kuubwaa) basi mtoto anafanyiwa kila kitu hivyo anakua hajui kazi ya aina yyt ile yaani yupo yupo tu kama beberu lililotolewa mapimbu vile
Mtoto anahitimu elimu ya msingi hata kufua chuppi yake mwenyewe hajui! Kwa wa kiume akija kukua unategemea nini hapo na mama alishamzoesha kumpa hela kila wakati kwa kigezo cha "mwanangu" mpenzi mnavowaita watoto. Huyo wa kike ndio balaa sasa, haolewi ndoa yake ikadumu hata siku mbili nakwambia kwasababu hakuna mwanaume anayetaka kuishi na mwanamke mvivu hata ufanyeje haiwezekani
Matokeo yake ndio hayo sasa, mwanamke atalazimika amhonge mwanaume hela na vitu ili tu awe anamtimizia haja zake pale anapokuwa na matamanio sababu yy nae ni binadamu kama walivyo wengine na huo ndio mwanzo wa kuonekana anajirahisi kwa wanaume anakuwa anapigwa tumbua lake na hela anatoa huku nafsi inamuuma
Wewe na mumeo/ mkeo mtachagua njia sahihi ya kupita = kuwa na familia bora. Tunakufa kwa magonjwa ya moyo, mara sukari ,sijui figo zinafeli chanzo cha hayo yote ni sisi wenyewe. Tafakari chukua hatua hakiyamama
Naomba usinielewe na uzidi kua namashaka ili usikojoe hata ivo tusikojoleshane tu[emoji23][emoji23]Mkuu vitu vingine hata usipofanyiwa unapata tuu experience ya matukio yalivyo,.mm hata nisipokuelewa tuu au nikipata mashaka naww sikojoi sio mpaka niombwe hela...namm mpenzi wa moyo wangu hawezi kunipiga kizinga wala mm simpigj vizinga bali TUNASAIDIANA.[emoji16][emoji16]
Naomba unioe unitafutie damuuuuu apo vipi??? .Yani umesema kweli,mpaka kuna siku nikawaza waniuzie uanaume wao halafu niwaoe wakae tuu wanizalie halafu mm nikawatafute maana ndio wanachokitaka kutafutiwa....hawana soni hawa vijana wa leo....dah!!!
V money anaomba kurogwa na mapenz weee unasema hurogeki?? Ama kweli hujapata wakukuroga[emoji23][emoji23][emoji23].Maamaee zao,.wala sirogwi halafu uzuri hawajifichagi yaani mwanzoni tuu unamjua huyu hamna kitu ni tapeli tuu
Papa kasema jehanam hamna motoooooo , inmaana ,wahuni wanafaidi tuuu !!Yaani mijitu kama hii ni kupelekwa jehanam wakachochee moto,..wanampa Mungu tuu masikitiko..[emoji58][emoji58]
Hahahahahaa utamu niutamu tuuu , niliwah ambiwa chagua unataka nn baby?? .Huko kuendekeza genye tuu,..ila kuna wanawake nao wanapenda madushelele jamanii mpaka yanafungua wallet,. shenzyy taipp kwelii,.tamu utoe na hela juu...babekkiii
Kwakweli amenibore mno tena namkimbia kabisa
You have phrased it rightlyTapeli huyo