Tabata

Tabata

Hii hadithi nishawahi kuisoma hapa jamvini...
Mentor hebu sogea kipande hii utoe muongozo
 
Last edited by a moderator:
Mentor hapa sasa umenifungua baada ya kupitia thread yako vizuri so kinachofanyika ni kwamba mtu kaiibia story kama ilivyo ila kaifanyia mabadiliko tu hili iwe ya kwake,ila Jerrymsigwa yeye alichofanya ni kutuletea habari hii tena amekua muwazi maana kasema kataja source simply alikua anatuelimisha ivi wenzie inawezekana na yeye ni muhanga labda katumiwa au kuisoma kwenye social networks ila alisema yeye sio mhusika.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ushafika kutoa muongozo, hii makitu nimeisoma mara mbili mbili ila nikakumbuka nishawahi kuisoma hapa na haraka nikahisi kama mwandishi si wewe basi atakuwa ni Mtambuzi...

Naona ameshindwa kubadilisha hata font type....salaleeeeh!!!

charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe africa MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa


Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html

Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.

Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...



**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***



Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)


Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)


Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga
 
Last edited by a moderator:
charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe africa MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa


Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html

Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.

Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...



**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***



Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)


Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)


Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga

Pole sana ... Huu wizi wa kimajicho majicho!!
 
Kumbe ushafika kutoa muongozo, hii makitu nimeisoma mara mbili mbili ila nikakumbuka nishawahi kuisoma hapa na haraka nikahisi kama mwandishi si wewe basi atakuwa ni Mtambuzi...

Naona ameshindwa kubadilisha hata font type....salaleeeeh!!!

Ha ha haa Dokta nawe bana, kwani kuna shida gani? Jf kila siku kuna wapya wanaingia, hata hivyo mm sukuwah iona/soma. Kuhusu font si kweli, hii nimechenji toka TNR mpk Century Gothic..anyway bado inabamba tu matukio kama haya huenda yanaendelea ni vzr kukumbushana
 
Last edited by a moderator:
Wabongo kwa kupenda sifa za kijinga bana sasa kumbe mtu umeiba kazi/hadithi ya mtu kwa nini usiacknowlegde art ya mtu kwa style hii hatufiki wala nini mambo haya ni ya kuyafanya katika miaka mitano nyuma sio sasa,thanx Watu 8 na Mentor kwa kunifahamisha kwamba hii ni kazi ya wizi mi nilisoma juu juu tu na kupata main theme basi nikasepa
 
Last edited by a moderator:
Ilitakiwa iwepo na toleo la pili

Kwahiyo ndo kusema inawezekana na wewe ukawa umeambukizwa? Sababu ulisahau kabisa matumizi ya kinga!
 
Nikaenda zangu graduation November na kurudi. Nikawa nimempotezea kabisa Yule binti kama ilivyo kawaida yetu wanaume baada ya kupata tunda (baada ya kumchezesha ngololo)...

Ananiambia: “Si pale Tabata sikuoni ukija tena kuchukua ARVs au umebadili kituo?”
Kumbe benchi nililokuwa nimeenda kukalia ile siku lilikuwa la wagonjwa wa UKIMWI nayeye alikuwa akisubiri kuchukua dawa.
Mimi nikamwambia “acha kunidanganya mbona wewe unaishi hostel Kigamboni na ninajua hivyo..yani huko kote hakuna dispensary?”
Akaniambia “wagonjwa wengi hawaendi kuchukulia dawa karibu na kwao kwa kuhofia kunyanyapaliwa hivyo alijua na mimi nipo kwenye foleni ya kuchukua dawa ndiyo maana hakuona umuhimu wa kunilazimisha kutumia kinga cku ile tulivyo----”

Kwenye red alijiona kapataaaaaaa......

Kwenye Blue .... Kumbe kapatikana!!!

Wanaume acheni dharau basi!!!!!!!

mkuu sio tu dharau si kila king'acho ni dhahabu
 
Mentor hapa sasa umenifungua baada ya kupitia thread yako vizuri so kinachofanyika ni kwamba mtu kaiibia story kama ilivyo ila kaifanyia mabadiliko tu hili iwe ya kwake,ila Jerrymsigwa yeye alichofanya ni kutuletea habari hii tena amekua muwazi maana kasema kataja source simply alikua anatuelimisha ivi wenzie inawezekana na yeye ni muhanga labda katumiwa au kuisoma kwenye social networks ila alisema yeye sio mhusika.

Kumbe ushafika kutoa muongozo, hii makitu nimeisoma mara mbili mbili ila nikakumbuka nishawahi kuisoma hapa na haraka nikahisi kama mwandishi si wewe basi atakuwa ni Mtambuzi...

Naona ameshindwa kubadilisha hata font type....salaleeeeh!!!

Pole sana ... Huu wizi wa kimajicho majicho!!

not me..siibi stori za watu kuzifanya zangu bila ku acknowledge mwenye nayo

Mtu wa kwanza kunifumbua macho alikuwa mdogo wangu alitumiwa message hii kwenye whatsapp group yao ya waliomaliza JKT 2013 (mujibu). Then ikatumwa kwenye group la wafanyakazi wenzangu kisha mtu mmoja mmoja akawa ananifowadia bila kumjua mwandishi.

Part of me ikataka kuwaambia ukweli part of me ilitaka ku-conceal ID yangu ja JF..nikabaki kimya.

Leo nimeiona hapa...duh! Ningefurahi sana kama ingekuwa inasambaa in its original form (maybe na ka-acknowledgement) ila hii remix ambayo hata siko featured duh!

Eniwei naendelea na uchunguzi so far nina watuhumiwa wawili wote wanafunzi wa Mzumbe mmoja wa kike mmoja wa kiume sijajua bado ilianzia kwa nani kati yao exactly.
 
pole sana Mentor hayo ndio mambo ya copyright kaka yangu.
Ulinzi wa vitu hivi una changamoto nyingi, hivyo ni vyema ukifanya kitu chako kama kina thamani ukisajili COSOTA.

hii ni hadith but watu wanacopy dili kubwa na za maana.. mfano Dili la Malaria sugu (kama kuna ukweli ktk sakata lile)
 
Last edited by a moderator:
Mtu wa kwanza kunifumbua macho alikuwa mdogo wangu alitumiwa message hii kwenye whatsapp group yao ya waliomaliza JKT 2013 (mujibu). Then ikatumwa kwenye group la wafanyakazi wenzangu kisha mtu mmoja mmoja akawa ananifowadia bila kumjua mwandishi.

Part of me ikataka kuwaambia ukweli part of me ilitaka ku-conceal ID yangu ja JF..nikabaki kimya.

Leo nimeiona hapa...duh! Ningefurahi sana kama ingekuwa inasambaa in its original form (maybe na ka-acknowledgement) ila hii remix ambayo hata siko featured duh!

Eniwei naendelea na uchunguzi so far nina watuhumiwa wawili wote wanafunzi wa Mzumbe mmoja wa kike mmoja wa kiume sijajua bado ilianzia kwa nani kati yao exactly.

kaka kipaji hicho.. ongeza ubunifu uanze kunufaika sasa. Niliko bold.. hahaaaa, kweli mtunzi wetu ilibidi wakupe heshima yako bana.
 
Mentor samahani kwa hili swali langu,nataka kujua upande wako ni story ya kweli ambayo wewe ni mhusika au ilikua ni nadharia ya kutaka kuelimisha,bado sintokua na tatizo kama hauko katika utayari wa kujibu ni sahihi pia.
 
Last edited by a moderator:
TRUE STORY. Nimemaliza zangu chuo Mzumbe pale, kozi ya BAF (bachellor of accountance and finance) na kufanikiwa kupata GPA nzuri tu ya 4.2. Nilikuwa na matumain...i na ndoto nyingi za mbeleni juu ya maisha yangu.
Nilipenda sana elimu na nilitegemea kupata nafasi ya TA (tutorial assistant) chuoni hapo.
Wakati nangojea graduation ambayo huwa mwezi November, nilienda Dar es salaam kumtembelea dada yangu ambaye alikuwa akiishi huko, maeneo ya Tabata! Naye ndo kwanza alikuwa na mwaka mmoja kazini ila kwa bahati (nzuri?mbaya?…sijui) alipata ujauzito na mshkaji mmoja hivi walisoma naye chuo.
Basi nikawa nakaa naye pale huku nikingojea siku zisonge.
January 06, 2013 siku ya Jumanne:
Siku hii alitakiwa kwenda clinic na kwa vile alikuwa karibu sana na kujifungua hakuweza kuendesha gari ikabidi nimsindikize kwenye zahanati moja pale Tabata nimeisahau jina.

Basi wakati namngojea nikaenda kukaa kwenye mabenchi Fulani pembeni pale kuangalia TV.
Karibu yangu alikuwa amekaa binti mmoja mrembo sana kwa kweli. Sikufahamu yupo pale kufanya nini. Nilidhani na yeye kaja kumsindikiza ndugu yake labda.
Mimi bila hiyana nikaacha kuangalia TV nikaanza kupiga stori za hapa na pale. Tukakonekt vizuri na kuchangia changia mada iliyokuwa inaonyeshwa kwenye TV. Baada ya kama nusu saa dada naye akatoka ndani akaja tuondoke. Nikamwambia dada kama hutojali unipatie namba yako tuzidi kuwasiliana.
Baada ya siku ile tuliendelea kuwasiliana sana tu. Tulikuwa tuna chat mpaka ma saa sita ya usiku na ukizingatia sikuwa na kazi. Aliniambia yupo chuo mwaka wa tatu anasoma Sheria.
KAA NA MIMI…..
Moyoni nilihisi hapa nimepata mtu lakini kama nilivyofundishwa sikuwa na papara ya kumtamkia hayo. Bado ninakumbuka maonyo niliyopewa juu ya jiji la Daslam!

Baada ya wiki mbili hivi tulikutana for lunch posta..enzi hizo break point bado mpya kabisa. Tuliongea mengi about life.
Wiki moja kabla ya graduation nilimwambia naenda zangu Morogoro wiki ijayo hivyo ningependa tuonane. Alikubali na kuja mpaka Tabata jioni. Tulikaa tukala na kupiga stori mpaka mida
kama saa sita hivi ucku. Nikatumia mbinu za kimafia kumshawishi kwamba kwenda hostel kwao mida hiyo ingekuwa ngumu ilhali tungeweza kuchukua tu chumba hapo asubuhi arudi chuoni. Of course, strawberry whisky na contessa gin vilichangia kunisaidia kumfanya akumbali. Ila alikuwa amekataa sana mwanzoni.

Tulienda guest moja inaitwa MUNGU ANAKUONA GUEST HOUSE & RESTAURANT. Nikalipa pale tukaingia ndani.
Kazi ikaanza kuomba game ila haikuwa ngumu saaaaana……..

Basi purukushani za hapa na pale za kujiandaa na game na mimi kwa kuwa nilichanganya Contessa gin, zansi na White horse nikasahau kabisaaa matumizi ya kinga. Poor me..!!
Nikaenda zangu graduation November na kurudi. Nikawa nimempotezea kabisa Yule binti kama ilivyo kawaida yetu wanaume baada ya kupata tunda (baada ya kumchezesha ngololo)...
April 15 / 2014 Jumanne:
SMS iliingia : “Ndugu yangu, kama umenichunia sawa ila mbona hata sikuoni tena hospitali?”

Nikashtuka hospitali? Si ikabidi nimpigie!
Ananiambia: “Si pale Tabata sikuoni ukija tena kuchukua ARVs au umebadili kituo?”

Kumbe benchi nililokuwa nimeenda kukalia ile siku lilikuwa la wagonjwa wa UKIMWI nayeye alikuwa akisubiri kuchukua dawa.
Mimi nikamwambia “acha kunidanganya mbona wewe unaishi hostel Kigamboni na ninajua hivyo..yani huko kote hakuna dispensary?”

Akaniambia “wagonjwa wengi hawaendi kuchukulia dawa karibu na kwao kwa kuhofia kunyanyapaliwa hivyo alijua na mimi nipo kwenye foleni ya kuchukua dawa ndiyo maana hakuona umuhimu wa kunilazimisha kutumia kinga cku ile tulivyo----”

***** Mwisho ******** (Maligana, P. 2014)

Mhhh 2013 break point mpyaaa huu uwongo wa wazi
 
Back
Top Bottom