Ziko mbili, ile ya Makumbusho na ya posta, zamani unaitwa mtaa wa simuBreak point posta? Au zipo mbili?
Pole sana Mentor....watu wengine sijui wakoje..kuna haja hadithi ndefu kama hizi zako na Mtambuzi pia au MziziMkavu CHAI CHUNGU lara 1 zipigwe water mark kama inawezekana ili watu wasicopy copy hovyo
Ahaha mimi si ndo sterling lakini....au
Nshapoa mkuu.
Duh salama mbe! Umetutupa kabisa...nq mjeshi sijui umemuhamishia wapi walai
Ahaha mimi si ndo sterling lakini....au
Nshapoa mkuu.
Hahahaha....eti mjeshi...hahaha..acha hizo yuko poa kbs
Mentor unaoa lini? maana uliahidi mwaka jana hautaisha, umeisha na tumeanza mwaka mpya je utaoa lini? muda unazidi kwenda na umri pia unasogea au unataka watoto wako wakuite babu?
aya nataka siku moja movie linaanza unakufa kwenye maua