mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
Gesti yenyewe jina tu ungepaswa kurudi home
Wabongo kwa kupenda sifa za kijinga bana sasa kumbe mtu umeiba kazi/hadithi ya mtu kwa nini usiacknowlegde art ya mtu kwa style hii hatufiki wala nini mambo haya ni ya kuyafanya katika miaka mitano nyuma sio sasa,thanx Watu 8 na Mentor kwa kunifahamisha kwamba hii ni kazi ya wizi mi nilisoma juu juu tu na kupata main theme basi nikasepa
Mtu wa kwanza kunifumbua macho alikuwa mdogo wangu alitumiwa message hii kwenye whatsapp group yao ya waliomaliza JKT 2013 (mujibu). Then ikatumwa kwenye group la wafanyakazi wenzangu kisha mtu mmoja mmoja akawa ananifowadia bila kumjua mwandishi.
Part of me ikataka kuwaambia ukweli part of me ilitaka ku-conceal ID yangu ja JF..nikabaki kimya.
Leo nimeiona hapa...duh! Ningefurahi sana kama ingekuwa inasambaa in its original form (maybe na ka-acknowledgement) ila hii remix ambayo hata siko featured duh!
Eniwei naendelea na uchunguzi so far nina watuhumiwa wawili wote wanafunzi wa Mzumbe mmoja wa kike mmoja wa kiume sijajua bado ilianzia kwa nani kati yao exactly.
charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe afrika MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa Moderator neggirl badiebey Asprin Heaven on Earth Evelyn Salt Kaunga Kongosho King'asti
Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.
Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...
**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***
Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)
Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)
Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga
Nikaenda zangu graduation November na kurudi. Nikawa nimempotezea kabisa Yule binti kama ilivyo kawaida yetu wanaume baada ya kupata tunda (baada ya kumchezesha ngololo)...
Ananiambia: Si pale Tabata sikuoni ukija tena kuchukua ARVs au umebadili kituo?
Kumbe benchi nililokuwa nimeenda kukalia ile siku lilikuwa la wagonjwa wa UKIMWI nayeye alikuwa akisubiri kuchukua dawa.
Mimi nikamwambia acha kunidanganya mbona wewe unaishi hostel Kigamboni na ninajua hivyo..yani huko kote hakuna dispensary?
Akaniambia wagonjwa wengi hawaendi kuchukulia dawa karibu na kwao kwa kuhofia kunyanyapaliwa hivyo alijua na mimi nipo kwenye foleni ya kuchukua dawa ndiyo maana hakuona umuhimu wa kunilazimisha kutumia kinga cku ile tulivyo----
Kwenye red alijiona kapataaaaaaa......
Kwenye Blue .... Kumbe kapatikana!!!
Wanaume acheni dharau basi!!!!!!!
break point posta? Au zipo mbili?
charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe afrika MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa Moderator neggirl badiebey Asprin Heaven on Earth Evelyn Salt Kaunga Kongosho King'asti
Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.
Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...
**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***
Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)
Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)
Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga
charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe afrika MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa Moderator neggirl badiebey Asprin Heaven on Earth Evelyn Salt Kaunga Kongosho King'asti
Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.
Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...
**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***
Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)
Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)
Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga
halafu wakaongezea true story!
waswahili huwa hawa-acknowledge source hata siku moja. kwa hiyo hata ukiona msg huwezi kujua origin yake. kuna wengi tu kazi zao zimefika mbali lakini kwa sababu hakukuwa na acknowledgement basi tena.
na wewe Mentor mdogo wangu umezidi. hebu nenda library ya taifa kachukue ISBN number na uweke kazi zako rasmi. mambo ya kukusoma tukidokoa dokoa na mie nimeshachoka sasa!:der::der::der:
haswaaa!! nakumbuka vizuri hii stori uliwahi kutupatia sijui huyo source ndo alicopy na kupaste kwako au wewe ndo ulicopy kwake??
everlenk msome huyu Kichwa Ndio Mtu hapo juu ndipo ujue aliyekopi kwa mwenzio. Amin Amin Amin Walahi nakuapia...hii ni kazi ya mikono yangu.Hii story mpangilio wake haueleweki,alipata gpa 4.2,(2012),january 6,2013 alimpeleka dada ake clinic(baada ya kua ameishi kwake kwa muda akisubiri siku ziende) ndio akakutana na mrembo hapo clinic,kisha graduation 2013,,ina maana alifanya graduation na waliokua nyuma yake darasa moja. Mzumbe ndio wanafanya hivi?
Mtu wa kwanza kunifumbua macho alikuwa mdogo wangu alitumiwa message hii kwenye whatsapp group yao ya waliomaliza JKT 2013 (mujibu). Then ikatumwa kwenye group la wafanyakazi wenzangu kisha mtu mmoja mmoja akawa ananifowadia bila kumjua mwandishi.
Part of me ikataka kuwaambia ukweli part of me ilitaka ku-conceal ID yangu ja JF..nikabaki kimya.
Leo nimeiona hapa...duh! Ningefurahi sana kama ingekuwa inasambaa in its original form (maybe na ka-acknowledgement) ila hii remix ambayo hata siko featured duh!
Eniwei naendelea na uchunguzi so far nina watuhumiwa wawili wote wanafunzi wa Mzumbe mmoja wa kike mmoja wa kiume sijajua bado ilianzia kwa nani kati yao exactly.