A
Anonymous
Guest
Kwa Takrabani mwaka sasa wakazi wa Tabata Tumekua katika Mgao wa Maji kwa siku Tatu ndani ya wiki Jumanne, Jumatano na Alhamisi.
Lakini kwa muda mrefu ratiba zimekua hazifuatwi na mara Nyingi maji yakitolewa kuanzia saa 6 Usiku na kukatika baadha ya masaa machache. hii uladhimu kina mama na watoto kukaa macho usiku wakisubiria maji ambapo muda mwingine yanaweza yasitoke Kabisa.
Tunaomba Msaada kutoka kwa waziri kufuatilia Jambo hili kwani Mwanzo tulitaarifwa upungufu ukisha tatizo litapotea lakini Imekua sugu sasa kwa muda Mrefu.
Lakini kwa muda mrefu ratiba zimekua hazifuatwi na mara Nyingi maji yakitolewa kuanzia saa 6 Usiku na kukatika baadha ya masaa machache. hii uladhimu kina mama na watoto kukaa macho usiku wakisubiria maji ambapo muda mwingine yanaweza yasitoke Kabisa.
Tunaomba Msaada kutoka kwa waziri kufuatilia Jambo hili kwani Mwanzo tulitaarifwa upungufu ukisha tatizo litapotea lakini Imekua sugu sasa kwa muda Mrefu.