Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

Wewe rudi ukajipumzishe kwanza ukirudi utauliza tena swali lako. Halieleweki!

chakutaka, mm sio mwanachama wa chama chochote,naona ww mtu akiwa na mtazamo tofauti inakuwa shida, kwa hiyo tusijadili hii issue ya muhongo kisiasa ila kihalisia. yawezekana ukaja na hoja nikakuelewa. panga vizuri huo utetezi wako
 
Wewe unaishi nchi gani? Sisi huku Bongo tumemshuhudia Muhongo akionyesha Kiburi cha Wazi na upendeleo wa hali ya juu katika ugawaji wa vitalu vya Gesi wakati nchi haina hata sera ya Gesi!!! Uongo wake uliendelea hadi ndani ya Bunge ambapo alionywa na kamati ya Maadili kuwa hatakiwi kusema uongo!! ... Pamoja na kuvumiliwa kote aliendelea kuongea uongo na kuwapakazia watanzania hawana mitaji as if Hiyo gas siyo Mtaji tosha!!! Siku zote alikuwa analamba visigineo vya wawekezaji wazungu na kuwadharau Watanzania... Mengi alimwambia Ukweli kuwa Utajiri wa nchi yoyote Ile Duniani hushikwa na Raia wa nchi husika na wakati Mwingine raia hao huingia ubia na wafanyabiashara wakubwa wa nje!!!! Yeye alikuwa anang'ang'ania TPDC akijua kuwa hakunakuwa na Ownership then waendelee kukwapua kama walivyoingia mkataba wa Songas ambapo gharama zote hulipwa na TPDC ... Ukimsakama Mengi wakati Watanzania wote walikuwa wanajua kuwa Sethi wa ESCROW aliletwa na huyo Muhongo utakuwa unaupungufu wa akili ...

Kijana ongea taratibu wewe utasutwa hebu tuambie alimnyima nani vitalu? taja majina ya h wazungu aliowaramba na sisi wengine tuwajue. Mengi ndio nani hapo nchini kwenu? Kwani ni yeye tu ndio mwekezaji pekee Tanzania? Zaidi ya Mengi aliwanyima wengine kina nani? halafu, hao wazawa walituma maombi wakakidhi vigezo halafu wakanyimwa? Sera ya Gesi umekwenda Maktaba ya Taifa au kwenye wizara ya madini ukaikosa unadai haipo? Wewe kijana!! Hata huyo mengi unayemtetea anazo Sera zote za Gesi . Nilimshuhudia kwa macho yangu anazisoma wakati anatafuta page inayoelezea wazawa!
 
chakutaka, mm sio mwanachama wa chama chochote,naona ww mtu akiwa na mtazamo tofauti inakuwa shida, kwa hiyo tusijadili hii issue ya muhongo kisiasa ila kihalisia. yawezekana ukaja na hoja nikakuelewa. panga vizuri huo utetezi wako

tatizo hujui kuwasilisha mawazo yako ndio nataka nikufundishe!
 
hata kama ni jizi basi kwa vile limetambulika ulaya na marekani tumkalie kimya atuibie,hivi hujui kuwa wanaoongoza kwa kuiba rasilimali za afrika pamoja na kuuwa waafrika kwa vita wanavyochochea ni hao wazungu?!!!al-huda,kipaza sauti cha mafisadi(infact walilenga kumtetea na kumlinda alhaji ustadh jakaya).
 
Ni kweli usemalo ndugu yangu, sasa wewe si unaishi naye lakini sisi kama taifa tumeshampiga chini. Wewe kwa kuwa unaishi huko ulaya hongereni kwani mmeshampa kazi, lakini mnakuja kujisifia kwetu sisi watanzania.

wewe ni taifa gani mwenzangu??? Maaana hilo Taifa la Tanzania wananchi wanamtaka kiongozi wao arudishwe !!! Au mwenzetu mhamiaji tu wa kibongo lakini sio mzaliwa? Maana wazawa halisi wanamtaka. Daily wanamsumbua Mr. Presidaa kwanini alimtoa??
 
hata kama ni jizi basi kwa vile limetambulika ulaya na marekani tumkalie kimya atuibie,hivi hujui kuwa wanaoongoza kwa kuiba rasilimali za afrika pamoja na kuuwa waafrika kwa vita wanavyochochea ni hao wazungu?!!!al-huda,kipaza sauti cha mafisadi(infact walilenga kumtetea na kumlinda alhaji ustadh jakaya).

Muone unavyokurupuka utafikiri ulizaliwa chooni! Mtu aliyezaliwa hospitali hawezi kuongea unachoongea!
 
Muone unavyokurupuka utafikiri ulizaliwa chooni! Mtu aliyezaliwa hospitali hawezi kuongea unachoongea!

karibu JF muhongo

Join Date : 6th February 2015

Posts : 55
Rep Power : 312
Likes Received4
Likes Given1
 
Wewe unaishi nchi gani? Sisi huku Bongo tumemshuhudia Muhongo akionyesha Kiburi cha Wazi na upendeleo wa hali ya juu katika ugawaji wa vitalu vya Gesi wakati nchi haina hata sera ya Gesi!!! Uongo wake uliendelea hadi ndani ya Bunge ambapo alionywa na kamati ya Maadili kuwa hatakiwi kusema uongo!! ... Pamoja na kuvumiliwa kote aliendelea kuongea uongo na kuwapakazia watanzania hawana mitaji as if Hiyo gas siyo Mtaji tosha!!! Siku zote alikuwa analamba visigineo vya wawekezaji wazungu na kuwadharau Watanzania... Mengi alimwambia Ukweli kuwa Utajiri wa nchi yoyote Ile Duniani hushikwa na Raia wa nchi husika na wakati Mwingine raia hao huingia ubia na wafanyabiashara wakubwa wa nje!!!! Yeye alikuwa anang'ang'ania TPDC akijua kuwa hakunakuwa na Ownership then waendelee kukwapua kama walivyoingia mkataba wa Songas ambapo gharama zote hulipwa na TPDC ... Ukimsakama Mengi wakati Watanzania wote walikuwa wanajua kuwa Sethi wa ESCROW aliletwa na huyo Muhongo utakuwa unaupungufu wa akili ...
So, hao RAIA according to you ni Mengi peke yake? Kama Mengi ni mzalendo kama unavyodai, alishindwa nini kuviendeleza vitalu vya madini alivyopewa kabla kwa manufaa ya Taifa ukiwemo wewe? Kwa sifa hiyo hata mimi ningemwunga mkono kuwa apewe vitalu vya gesi. Anajilimbikizia tu mali kwa manufaa ya tumbo lake binafsi, eti MZAWA!! Hana uchungu na nchi wala watanzania kama anavyojinadi. Wewe tukana kadri uwezavyo lakini ukweli utabaki palepale, Mengi ni fisadi la kutupa na tumeling'amua hilo. Tunashukuru Muhongo kwa kututoa tongotongo. Nina amani sana sababu najua hata ktk uongozi mpya wa wizara, hapati kitu. In short, amekwama!!
 
Kilicho mponza mhongo ni siasa; siasa ni mchezo mchafu; kamwe huwezi fananisha na taaluma zingine za kitaalamu; mtu kama prof. Mhongo haikuwa vema kumtumia katika siasa za nchi hii, na penginepo sehemu nyingi duniani, lazima mziki wa wanasiasa hasa ambao elimu ya shule ni ndogo ungemshinda.....si unajua kwenye siasa unaweza kuwa unajua kusoma na kuandika tu!!!!!!!!!! Ila kwakuwa mhongo anajitambua hawezi fedheheka sana, japo machoni pa watu wengi kwakweli alifedheheka..... Siasa waachiwe akina lukuvi na wengineo...
 
Hakuna ubishi kwamba Profesa Muhongo anatufaa sana kwenye sayansi ya miamba, lakini siyo uwaziri. Ni makosa na matumizi mabaya ya ujuzi wao, kama wasomi waliobobea wanateuliwa kuwa wanasiasa! Nafasi ya uwaziri ilimfanya awe muongo, wakati kimsingi mwanasayansi kama yeye hawezi kushindwa kuelewa kuwa account ya escrow ilikuwa na pesa za uma!

Sure, he was at a wrong place (ubunge/uwaziri) at a wrong time (TEGETA ESCROW ERA)........
 
Ondoa shaka kuhusu hilo Chakutaka. Kura za NDIYO zitafurika. Watanzania wana ufahamu mkubwa kuliko unavyodhani na wanajua Muhongo ndiye JEMBE lao.

Unavyo muita jembe inamana anatiwa mpini au.
 
Kilicho mponza mhongo ni siasa; siasa ni mchezo mchafu; kamwe huwezi fananisha na taaluma zingine za kitaalamu; mtu kama prof. Mhongo haikuwa vema kumtumia katika siasa za nchi hii, na penginepo sehemu nyingi duniani, lazima mziki wa wanasiasa hasa ambao elimu ya shule ni ndogo ungemshinda.....si unajua kwenye siasa unaweza kuwa unajua kusoma na kuandika tu!!!!!!!!!! Ila kwakuwa mhongo anajitambua hawezi fedheheka sana, japo machoni pa watu wengi kwakweli alifedheheka..... Siasa waachiwe akina lukuvi na wengineo...

Kwa nchi yetu siasa inalipa zaidi kuliko ajira nyingine, na huo ndio mtego lakini maprofesa na madokta wengine bado wako huko, nawaombea na wao wasinaswe katika mchezo mchafu.
 
karibu JF muhongo

Join Date : 6th February 2015

Posts : 55
Rep Power : 312
Likes Received4
Likes Given1

Umeshtuka eeh! Kaja kwa kasi ya ajabu kweli. Halafu mambo hayo yalishajadiliwa kipindi kirefu kabla hajajiunga na walikuja wenye hoja nzito kuliko ----- wake wakagonga mwamba. Akafie mbali.
 
So, hao RAIA according to you ni Mengi peke yake? Kama Mengi ni mzalendo kama unavyodai, alishindwa nini kuviendeleza vitalu vya madini alivyopewa kabla kwa manufaa ya Taifa ukiwemo wewe? Kwa sifa hiyo hata mimi ningemwunga mkono kuwa apewe vitalu vya gesi. Anajilimbikizia tu mali kwa manufaa ya tumbo lake binafsi, eti MZAWA!! Hana uchungu na nchi wala watanzania kama anavyojinadi. Wewe tukana kadri uwezavyo lakini ukweli utabaki palepale, Mengi ni fisadi la kutupa na tumeling'amua hilo. Tunashukuru Muhongo kwa kututoa tongotongo. Nina amani sana sababu najua hata ktk uongozi mpya wa wizara, hapati kitu. In short, amekwama!!

Bhupe nimekukubali. Unaonekana wewe ni mwanafunzi wa Muhongo atakua amekufundisha elimu ya miamba. Umeongea vitu vinavyopimika!
 
karibu JF muhongo

Join Date : 6th February 2015

Posts : 55
Rep Power : 312
Likes Received4
Likes Given1

Mtaendelea ku guess hivyo hivyo. Makamanda wanamkubali wala yeye haitaji kuingia JF, atafute nini kwanza! Tuseme sisi wachokaza mada!
 
Back
Top Bottom