Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

juhudi zake binafsi kutugeuzia wizara kuwa sehemu ya kufanyia udalali wa rasiliamali zetu watanganyika,aende kwenda mwana wa kwenda hatutaki mawaziri wanaogeuza wizara zetu muhimu kuwa kijiwe cha udalali.
 
Duh, hivi bado kuna watu wanagugumia maumivu ya kuondolewa uwaziri ndugu Sospiter!?

na wewe unagugumia kuliona jina MUHONGO vip bado hamuamini kuwa kidogo mnapumua saivi, maana kila ukiona thread yake tu unapagawa! anyway nakushauri wewe na mafisadi wenzako anzeni kuandaa fomu za kuhamia Sudan mana saiv hatacheka na kima tena!
 
umesema kisiasa??????? hahahhaha jipe moyo JEMBE hili linarudi, kivingine na lazima umpigie saluti we pimbi
Huh!!!
Muhongo jembe?
Pengine kama maana ya jembe imebadilika.
Ameitwa Profesa Muhongo- muongo pale bungeni na ameshambuliwa kisawasawa na wanasiasa wenzake akaishia kulalama.
He miserably failed to defend his turf.
Mwajiri wake amemuita kiporo!!
He is politically dead meat!!
 
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;

na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.

Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.

Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).

(Source AL-HUDA)

Hee kumbe bado kuna watu hawaamini kuwa Muhongo ameshatolewa kwenye uwaziri bado wanamfanyia kampeni ili asitoke ofisini,hahahahaaaa amka wewe muhongo tumesha mfukuza wizarani amebaki kuwa mbunge w kawaida tu.
 
Zimamoto

Alhuda ni gazeti: majukwaa yametajwa katika thread: hajakuharibia kitu we pimbi: hajapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, ni juhudi zake binafsi, acha kujidharau mwafrika wewe.

Brother, inawezekana prof akawa mzuri sana kama unavyosema, lakini madudu yamefanyika ndani ya wizara yake yeye akiwepo na hakuchukua hatua ya kuzuia madudu hayo yasitokee. Kwa suala kama hili hata huko Marekani na Ulaya unakosema huwa wanawajibika tu. Hata hivyo, sidhani kama ni dhambi kumtumia prof katika nafasi nyingine, sio lazima awe waziri kuchangia katika maendeleo ya nchi yake.
 
hiyo ndiyo figure ya maskini na wanyonge wa nchi hiii! anyway usisahau kuweka TIKI kwenye picha ya MUHONGO.

Ondoa shaka kuhusu hilo Chakutaka. Kura za NDIYO zitafurika. Watanzania wana ufahamu mkubwa kuliko unavyodhani na wanajua Muhongo ndiye JEMBE lao.
 
wacha akafanye tafti lkn si kupewa wizara na kuifisidi. ubaya ni kuwepo wizarani na kushiriki wizi na ma ccm. angepata taasisi makini nje ya ccm anakubalika
 
Kilichomponza ni lugha chafu na kudharau waafrika wenzake kumbe kwa vile anajiona ni sehemu ya wazungu, basi apake krimu awe mzungu kabisa
 
Brother, inawezekana prof akawa mzuri sana kama unavyosema, lakini madudu yamefanyika ndani ya wizara yake yeye akiwepo na hakuchukua hatua ya kuzuia madudu hayo yasitokee. Kwa suala kama hili hata huko Marekani na Ulaya unakosema huwa wanawajibika tu. Hata hivyo, sidhani kama ni dhambi kumtumia prof katika nafasi nyingine, sio lazima awe waziri kuchangia katika maendeleo ya nchi yake.

Nakubaliana new K-Boko. Nafasi ya uwaziri kwa jembe kama Muhongo haifai. UKUU WA NCHI ndo unamfaa huyu jamaa ili awanyooshe mafisadi walioshindikana, wanaokwiba mali za wananchi kasha kujifanya wanatoa vijimisaada ili kuwapumbaza.
 
Back
Top Bottom