Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

Kwa bahati nzuri watu wa type yako historia inaonesha huwa hawapigi kura. Maneno meeeeengi, maandamano, vurugu na kulalamika ndiyo kazi yenu. Sisi wapiga kura tutampigia kura za ndiyo na tutakualika siku anaapishwa ujionee kwa macho.

Project Muhongo is a good but a fail project. Piga au usipige kura project Muhongo is a fail project. Labda kama mnachagua kiongozi wa ukoo wenu
 
Kwa taarifa yako mimi sikopi. Hujaelewa maana ya kukopa wewe! Kama unakopa beyond what you expecting to gain maana yake ni nini basi una akili kama za Mulugo, wewe kapime tuu miamba na matope kazi ya fedha waachie wengine.

Achen bla blah muhongo is good, zitto mwenyewe najuta kwa majungu alopika
 
Hapa nasikia harufu ya mtu aliyevimbiwa kwa ulafi wa rushwa

rushwa anukie wapi huyu.wehu tu na uwendawazimu unamsumbua.me namfananisha na Zumbukuku flan ivi.eti kula za ndio kwa mhungo.!only dead man cn dream of it!!!
 
hana masilahi na tanzania ana masilahi na hizo tasisi, haiwezikani musom mzima tena PROFF watu wachache tena wenye degree za gentlemen yaani GPA ya 1.8 wakachota mabilioni bila yeye kujua na kuchukua hatua, ni kweli muhongo ni mchapa kazi na siyo mwizi lakini ni mutetezi wa Genge la wezi WA CCM kwa hiyo naona ile Adhabu inamufaa arudi kufundisha UDSM tunahitaji taaruma yake kwa masilahi ya nchi na uchimbaji wa Gas
 
Jembe + Ufisadi wa Escrow utapata ni sawa na beleshi ya kuzolea mbolea ya mbuzi.
Utaalamu bila ya Uaminifu na uaminifu kazini ni zero.
 
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;

na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.

Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.

Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).


(Source AL-HUDA)

Huko ndio kuna mfaaa kwa wajinga wajinga wenzake.... Analeta dharau hapo na shule yake ya mawe
 
mungu akupee Afya njema .prf muhongo.hicho ni kipaji kutoka kwa mungu.siyo hiki chakuchaguliwa hata na walevi.ambao wakipewa pilau kidogo tuuu haoooooo
 
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;

na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.

Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.

Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).


(Source AL-HUDA)

Siasa ni ya watu wasio na elimu kama Komba, Lusinde, Ngonyani, Jah People, Kikwete, n.k. na si Muhongo. Nawapongeza wabunge kumfukuza Muhongo bungeni ili akafanye sayansi, vitu vya akili.
 
Bado; mtaweweseka sana. Kura za NDIYO atapata maana Watanzania tunamhitaji.
Nani aweweseke mbele ya yule mtu asiye na self confidence kama Muhongo, aliyeingizwa siasa kwa mgongo wa aliye mteua!
Kapigwa zengwe bungeni na kuitwa Muhongo -muongo, akashindwa kujitetea mbele ya vijana wadogo kabisa machachari, itakuwa siasa za bongo?
Unampenda, kanywe naye chai!!!
 
Back
Top Bottom