ChinaScience: Vyuo na taasisi za China zinaongoza duniani kwa tafiti bora zaidi za kisayansi

Xi Jinping

JF-Expert Member
Jun 14, 2023
2,984
10,058
Science is built upon facts and research. Science needs logic and facts.

Kigezo kikuu kilichotumika ni mchango wa research bora zaidi duniani zilizofanywa na vyuo na taasisi za kisayansi kwenye natural science na health science.

Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of Sciences-CAS). Taasisi kubwa zaidi ya kisayansi ulimwenguni imeipita chuo cha Harvard cha Marekani na kuwa ya kwanza kwa tafiti bora na mchango wa kisayansi katika natural science na health science.

China imetoa vyuo 7 bora kati ya 10
20240623_224924.jpg

Vyuo bora vya Marekani kama Stanford na MIT vimetolewa kwenye 10 bora, nafasi zao zikichukukiwa na vya China. Wakati huohuo katika top 100 China ina vyuo 38 na Marekani vyuo 35.


Ukiangalia by discipline (a branch of knowledge, taught and researched as part of higher education):
Vyuo na taasisi za China zinaongoza 'discipline' 8 kati ya 14 muhimu ukilinganisha na Marekani na nchi za Ulaya.
20240623_213210.png




Katika Physics kwenye 5 bora ya high quality research ni vyuo vya China. Na kwenye 10 bora ya Chemistry vyuo vyote bora ni vya China:

Physics
20240623_215127.jpg


Chemistry
20240623_215132.jpg




Kwa nini vyuo vya China vinafanikiwa sana?

1. China inatumia fedha za kutosha kugharamia scientific research na R&D
20240623_230609.png




2. Kwa sasa wanasayansi wengi wa Kichina waliokuwa nje ya China wamekuwa wakirudi kwa kasi China. Kati ya mwaka 2000-2019 zaidi ya wanasayansi milioni 6 walirudi China kulipambania taifa lao.
20240623_230632.png


Screenshot_20240624-114318_Chrome.jpg




3. China inazalisha wanasayansi wengi zaidi kuliko taifa lolote duniani
20240623_230844.png

STEM-Graphic-1-HD-700x528.png




Jarida la The Economist la Uingereza liliandika:
China has become a scientific superpower.



Je, unafikiri nini kifanyike ili na sisi vyuo vyetu vifanye vizuri kwenye nyanja ya tafiti?


CREDIT: Nature Index 2024 Research Leaders: Chinese institutions dominate the top spots
 
Ulaya na marekani kama wanandoto ya kuizuia china isiwazidi kiuchumi Kwa kuiwekea vikwazo basi wamechelewa, Kwa mwendo huu baada ya miongo miwili tuu china itakuwa juu kiuchumi.
Wamechelewa sana

Kwa sababu kwa sasa China inaongoza kwenye critical technologies na high quality scientific research

Ukija kwenye manufacturing wako njema kwenye industrial output

Hebu fikiria Marekani mpaka inatafuta mataifa ya kumuunga mkono kama The Nerthelands na Japan ili kuzuia makampuni ya nchi hizo yasifanye kazi na China ili kuzuia progress ya China kwenye utengenezaji wa chips za AI.

Wiki iliyopita Marekani alituma mwakilishi wao kwenda kutembelea Japan na The Nerthelands ili wawashawishi makampuni yao yasishirikiane na China

Lakini wamechelewa tayari makampuni ya China kama HUAWEI yamefanya progress kubwa sana kwenye kuunda AI chips

Hii ni dalili ya Marekani kushindwa katika ushindani wa kiteknolojia

20240621_205927.png


 
Mkuu ni vyema ukawa muwazi ili tupate mwanga zaidi wa kuchangia mada zako zinazohusu China.

Mara nyingi tunaona unaikuza sana China ktk uringo wa kuipambanisha na US.

Je, umeajiriwa China, unaishi China, kuna favour yoyote umeipokea kutoka China, ni mapenzi yako kwa nchi ya China au ni nini hasa ambacho kinakufanya uwe hivi?
 
Science is built upon facts and research. Science needs logic and facts.

Kigezo kikuu kilichotumika ni mchango wa research bora zaidi duniani zilizofanywa na vyuo na taasisi za kisayansi kwenye natural science na health science.

Taasisi ya Kisayansi ya China (The Chinese Academy of Sciences-CAS). Taasisi kubwa zaidi ya kisayansi ulimwenguni imeipita chuo cha Harvard cha Marekani na kuwa ya kwanza kwa tafiti bora na mchango wa kisayansi katika natural science na health science.

China imetoa vyuo 7 bora kati ya 10
View attachment 3024165
Vyuo bora vya Marekani kama Stanford na MIT vimetolewa kwenye 10 bora, nafasi zao zikichukukiwa na vya China. Wakati huohuo katika top 100 China ina vyuo 38 na Marekani vyuo 35.


Ukiangalia by discipline (a branch of knowledge, taught and researched as part of higher education):
Vyuo na taasisi za China zinaongoza 'discipline' 8 kati ya 14 muhimu ukilinganisha na Marekani na nchi za Ulaya.
View attachment 3024144



Katika Physics kwenye 5 bora ya high quality research ni vyuo vya China. Na kwenye 10 bora ya Chemistry vyuo vyote bora ni vya China:

Physics
View attachment 3024148

Chemistry
View attachment 3024149



Kwa nini vyuo vya China vinafanikiwa sana?
China inatumia fedha za kutosha kugharamia scientific research na R&D
View attachment 3024155


Kwa sasa wanasayansi wengi wa Kichina waliokuwa nje ya China wamekuwa wakirudi kwa kasi China. Kati ya mwaka 2000-2019 zaidi ya wanasayansi milioni 6 walirudi China kulipambania taifa lao.
View attachment 3024156


China inazalisha wanasayansi wengi zaidi kuliko taifa lolote duniani
View attachment 3024157


Jarida la The Economist la Uingereza liliandika:
China has become a scientific superpower.


Je, unafikiri nini kifanyike ili na sisi vyuo vyetu vifanye vizuri kwenye nyanja ya tafiti?


CREDIT: Nature Index 2024 Research Leaders: Chinese institutions dominate the top spots
Ukiingia darasani sasa kwenye hivyo vyuo utamkuta mwalimu ni mzungu kutoka US, nilishangaa sana nilivyoenda kufanya master yangu China
 
Chuo gani ulifanyia na kozi gani ?
Wewe elewa hivyo haina haja kutaja nilifanya masters ya nini, nilikuwa najaribu kujenga hoja tu ni kwanini China anaitegemea US kwa kila kitu, na kwa kuongezea tu ni kwamba US walitoa wataalamu wengi sana kwenda China kuboresha technologia na hadi sasa bado china ina wataalam wengi sana kutoka US ndio, US ndio walioinua uchumi wa china.

Ndio maana china inakosa kiburi inapoiangalia US.
 
Jamii za East Asia zina thamini sana elimu hasa masomo ya hisabati na sayansi.

Wachina, wajapan na wakorea wana akili sana na wapo serious na shule na kazi.
Umesema vyema ndio maana nchi kama China inaongoza duniani kwa kutoa graduates wengi sana kwenye nyanja za Science, Technology, Engineering na Maths (STEM)

STEM-Graphic-1-HD-700x528 (1).png


STEM-Graphic-2-HD-700x528.png
 
Wewe elewa hivyo haina haja kutaja nilifanya masters ya nini, nilikuwa najaribu kujenga hoja tu ni kwanini China anaitegemea US kwa kila kitu, na kwa kuongezea tu ni kwamba US walitoa wataalamu wengi sana kwenda China kuboresha technologia na hadi sasa bado china ina wataalam wengi sana kutoka US ndio, US ndio walioinua uchumi wa china.

Ndio maana china inakosa kiburi inapoiangalia US.
Kama umesoma China ungetaja chuo ulichosoma na ulichosomea

Kitakwimu ni Wazungu wachache sana wako China kama wakufunzi wa vyuo ukilinganisha na Wachina walio nchi za Ulaya na Marekani
 
Wewe elewa hivyo haina haja kutaja nilifanya masters ya nini, nilikuwa najaribu kujenga hoja tu ni kwanini China anaitegemea US kwa kila kitu, na kwa kuongezea tu ni kwamba US walitoa wataalamu wengi sana kwenda China kuboresha technologia na hadi sasa bado china ina wataalam wengi sana kutoka US ndio, US ndio walioinua uchumi wa china.

Ndio maana china inakosa kiburi inapoiangalia US.
Swali langu ni jepesi sana lakini limegeuka mwiba.

Kilichobaki ni wewe kushindwa kujibu nilicho kuuliza na kuanza kuandika matamanio yako kuhusu China iwe vipi na sio kwamba ipo vipi.

Nenda kasikilize interview ya tim cook boss wa Apple alipo ulizwa kwa nini hawatoi kiwanda chao China halafu rudi hapa soma ulicho andika
 
Kama umesoma China ungetaja chuo ulichosoma na ulichosomea

Kitakwimu ni Wazungu wachache sana wako China kama wakufunzi wa vyuo ukilinganisha na Wachina walio nchi za Ulaya na Marekani
Takwimu za wapi hizo mkuu? kama ulaya na marekani wameajiri wachina kuwa walimu vyuo vikuu kulikuwa na haja gani unapo apply chuo English Speaking country kuwekwa kigezo cha English Test? Ni mchina gani anayejua kiingereza fluently na akawa na ubavu wa kuingia darasani na kufundisha classes za ulaya na marekani vyuo vikuu?
 
Kwa nini Marekani ndiyo ambayo kila kukicha inapambana sana kutaka China isisogee mbele kiteknolojia?
Sasa kama US wametoa wataalam wao kwa technologia ya China ilivyofikia leo nani anapambana China isisonge mbele?

Ninachofahamu ni kwamba ikiwa China ataleta shobo zake kuikumbatia Russia na aila zao, US wanaweza ku-implement vikwazo kwa china na uchumi wa China sasa hapo ndio utaanza kuporomoka, China anaelewa hilo ndio mana anakuwa neutral linapokuja suala kwamba yeye anaiunga mkono Russia anakuwa hayuko wazi kwa sababu athari anazijua nini kitatokea. Sasa bosi wako aliyekuneemesha kiuchumi ukianza kumkoroga unategemea nini?
 
Back
Top Bottom