Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

chakutaka

Senior Member
Feb 6, 2015
150
14
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;

na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.

Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.

Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).


(Source AL-HUDA)
 
chakutaka

  1. AL-HUDA ni nini?
  2. Ni katika jukwaa lipi ametambulika?
  3. Hata wakimtambua, kama katuharibia tumkumbatie kwa kuwa wamemtambua?
  4. Je wako kwa maslahi yetu au yao?
Tujitambue na maslahi yetu kuliko kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Last edited by a moderator:
Zimamoto

Alhuda ni gazeti: majukwaa yametajwa katika thread: hajakuharibia kitu we pimbi: hajapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, ni juhudi zake binafsi, acha kujidharau mwafrika wewe.
 
Last edited by a moderator:
alhuda ni gazeti: majukwaa yametajwa katika thread: hajakuharibia kitu we pimbi: hajapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, ni juhudi zake binafsi, acha kujidharau mwafrika wewe

Samahani sikujua wewe ni mpambe wa ufisadi. Endelea kupamba, ila nafasi yenu haipo tena. Mbaya zaidi ukishapamba unaishia patupu.
 
Jembe hilo. Linakubalika duniani na mbinguni.

Msitupotezee muda, wapo wengi kama yeye ndani na nje ya nchi, hawatumii muda wao kupata watu kama wewe kupewa maelekezo yakutuletea humu. wacha watu wamuelewe prof Muhongo wanavyo mfahamu.

Sasa ni kama prof Muhongo anajidhalilisha au ana dhalilishwa na hao wanao fikiri wanamjenga. aendelee kutambuliwa duniani kwa utaalam wake, atabaki kutambuliwa ni Mtanzania tu, lakini kwa hapa nyumbani ameambiwa na prof mwenzake atupishe hatoshi.
 
Samahani sikujua wewe ni mpambe wa ufisadi. Endelea kupamba, ila nafasi yenu haipo tena. Mbaya zaidi ukishapamba unaishia patupu.

hahahahhahaahhaha eti nafasi yetu haipo tena, jiandae kupiga saluti wewe mnadi vitalu! fisadi huyo anayekupulia ili uje huku, ukisikia MUHONGO tu unaweweseka
 
tuliza boli; hivi karibuni mtaanza kukila hiko kiporo, tena wewe utakuwa wa kwanza kupanga foleni, ndo utajua kama kilichacha au kilitulizwa kwenye friza
You are wsting your time, Muhongo is stale news-kiporo haswa!!
You are flogging a dead horse, kisiasa Muhongo is no more , jaribu tena.
 
Kwa sifa yake ya kukumbatia mabeberu na kutuona sisi wazawa(SETH EXCLUSIVE) kama hatuna akili wala hatuhitajiki kumiliki njia kuu za uchumi wa taifa letu wenyewe,aende huko ikiwezekana achukue uraia kabisa.Hatuhijaji mtu mwenye kiburi na majivuno kama yeye,wakati mababu zetu akina chifu Mkwawa,mangi sina,kinjeketile na wengineo wakipoteza maisha kupigania nchi yeye anatafuta mabeberu wazidi kutunyonya,NO WAY,LET HIM GO!!!!!tunavyo vichwa kibao vyenye uchungu na nchi hii sio yeye.PAMBAF!!!
 
Msitupotezee muda, wapo wengi kama yeye ndani na nje ya nchi, hawatumii muda wao kupata watu kama wewe kupewa maelekezo yakutuletea humu. wacha watu wamuelewe prof Muhongo wanavyo mfahamu.

Sasa ni kama prof Muhongo anajidhalilisha au ana dhalilishwa na hao wanao fikiri wanamjenga. aendelee kutambuliwa duniani kwa utaalam wake, atabaki kutambuliwa ni Mtanzania tu, lakini kwa hapa nyumbani ameambiwa na prof mwenzake atupishe hatoshi.

hajapumzishwa, kajipumzisha we kilaza, anawasoma tu, subirini ujio wake ambao wewe na vibaraka wenzio wote lazima mkimbie nchi
 
You are wsting your time, Muhongo is stale news-kiporo haswa!!
You are flogging a dead horse, kisiasa Muhongo is no more , jaribu tena.
umesema kisiasa??????? hahahhaha jipe moyo JEMBE hili linarudi, kivingine na lazima umpigie saluti we pimbi
 
So what? Kuwa msomi FISADI, KUWADI wa Rasilimali zetu, Mwenye kutumika na mataifa ya Magharibi kutatunufaisha vipi Watanzania? ... Jitambue! Hata Mobutu kuna wakati alitumiwa sana na hao hao.. Ukiona Mataifa nyang'anyi wanakusifia jiangalie sana ....
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;

na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.

Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.

Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).

(Source AL-HUDA)
 
Kwa sifa yake ya kukumbatia mabeberu na kutuona sisi wazawa(SETH EXCLUSIVE) kama hatuna akili wala hatuhitajiki kumiliki njia kuu za uchumi wa taifa letu wenyewe,aende huko ikiwezekana achukue uraia kabisa.Hatuhijaji mtu mwenye kiburi na majivuno kama yeye,wakati mababu zetu akina chifu Mkwawa,mangi sina,kinjeketile na wengineo wakipoteza maisha kupigania nchi yeye anatafuta mabeberu wazidi kutunyonya,NO WAY,LET HIM GO!!!!!tunavyo vichwa kibao vyenye uchungu na nchi hii sio yeye.PAMBAF!!!

umelishwa unga wa ndere wewe! hakuna mtu mzalendo kama Muhongo, wewe na wanadi vitalu wenzako ndio mnaopandikiza huo uongo kwa watu ili mbinu zenu chafu zifanikiwe, ila mtaisoma namba mwaka huuu hahahahhahahahahahhahahah (In John Komba's voice)
 
Hata tukiisoma namba,MUHONGO is no longer,find another figure
umelishwa unga wa ndere wewe! hakuna mtu mzalendo kama Muhongo, wewe na wanadi vitalu wenzako ndio mnaopandikiza huo uongo kwa watu ili mbinu zenu chafu zifanikiwe, ila mtaisoma namba mwaka huuu hahahahhahahahahahhahahah (In John Komba's voice)
 
Msitupotezee muda, wapo wengi kama yeye ndani na nje ya nchi, hawatumii muda wao kupata watu kama wewe kupewa maelekezo yakutuletea humu. wacha watu wamuelewe prof Muhongo wanavyo mfahamu.

Sasa ni kama prof Muhongo anajidhalilisha au ana dhalilishwa na hao wanao fikiri wanamjenga. aendelee kutambuliwa duniani kwa utaalam wake, atabaki kutambuliwa ni Mtanzania tu, lakini kwa hapa nyumbani ameambiwa na prof mwenzake atupishe hatoshi.

Punguza jazba wewe! Si kosa la Prof. Muhongo wewe kuwa hivyo ulivyo. Huoni kuwa wewe ndo unajidhalilisha kwa chuki zako za waziwazi?! Kama wewe humkubali, wapo wanaomkubali na kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake. Huyo fisadi papa Mengi ndo unadai anatambulika ndani na nje ya nchi? Kwa lipi? Wizi, wivu na chuki kwa wapenda maendeleo?
 
So what? Kuwa msomi FISADI, KUWADI wa Rasilimali zetu, Mwenye kutumika na mataifa ya Magharibi kutatunufaisha vipi Watanzania? ... Jitambue! Hata Mobutu kuna wakati alitumiwa sana na hao hao.. Ukiona Mataifa nyang'anyi wanakusifia jiangalie sana ....

hehehehehehhehe kweli nyani haoni kundule! mbona nyie safari za ujerumani kila siku, mwatafuta nini kule, au nanyi mwatumiwa!''' yeye anatambuliwa kwa akili zake matata sio nyie mnaojipendekeza
 
Back
Top Bottom