Suzy, maneno yako yanaweza kabisa kumtoa nyoka pangoni!R.I.P, sisi wana JF hatuwezi kukupa faraja ya kuondokewa na mpenzi mkeo, ni maombi yangu Mungu mwenyewe aliyempenda zaidi akupe faraja yake, kwamaana Biblia inasema yy ni mfariji wa kweli.
Twakupenda sana!!
ukiacha mfiwa, Jf ilikuwa imewakilishwa na memeberz 8 ambao ni:
derimto,
lilyflower
crashwise
mzee wa rula
preta
pakajimmy
msindima na
saharavoice.