Amnyonga mkewe kisha kukimbia na 300k

Amnyonga mkewe kisha kukimbia na 300k

dronedrake

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
24,808
Reaction score
61,671
Nimeitoa FB

============================================================================

R.I.P uyo mwanamke ndiye marehemu na huyo wapembeni ndiye alikua akiishi nae kama mume hivyo alichukua jukumu la kumuua mke wake mchana waleo akiwa shambani hivyo alipo fanya tukio alichukua simu ya marehemu na kutuma sms kwa watoto wake ambao wao walikua nyumbani "sms ikisema (BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)

Hivyo jama alipofka nyumbani akawaambia watoto mmeona sms ya mama yenu watoto walisema ndiyo, kisha wakampatia hela huyo baba kiasi cha tsh 300,000/= uyo baba wa kambo akaondoka,

lkn muda ulizidi kwenda, Mama yao wakaona haludi nyumbani, wakapatwa na mashaka walichukua jukumu la kwenda kumtafuta shambani maeneo YALUGONGA na kukuta Uyo mama kauwawa kwa kunyongwa lkn huyo jamaa yeye alichukua boda na kuelekea BAHI akiwa tayari amechukua mizigo yake,

TUKIO ILI LIMETOKEA SAA NANE MCHANA LEO TAREHE 20~07~2026, MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI,

mpaka sasa saa 20:39 mwili upo shambani wanasubiliwa polic
============================================================================
reeet.jpg
 
Kwake laki ni nyingi ndio, lakini kuna haja gani akamtoa mtu uhai jamani hata kama na huyo mwanamme alikuwa ameolewa na huyo mwanamke si bora tu angemteka huko ila amuachie uhai?
 
Hapo ishu siyo pesa bali usaliti wa huyo mwanamke, kugawa hela za mwanaume anayeishi naye kwenda kwa mzazi mwenzie.. ngumu sana hii kwa mwanaume kamili kuvumilia
 
Polee zao
Inasikitisha kuona maisha yakipotea kizembe kwa namna hii. Ikiwa taarifa hizi zitathibitishwa na vyombo vya uchunguzi, ni muhimu sheria ichukue mkondo wake na haki itendeke. Pole kwa familia, watoto na wote walioguswa na msiba huu. Tuache mamlaka husika zikamilishe uchunguzi ili ukweli wote ujulikane.
 
Back
Top Bottom