Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,185
- 8,453
Kamanda mguu wa al shabab alisema juzi tanzania tunajeshi dhaifa
Umeona eh... sehemu ya utekelezaji wa maazimio ya Bunge la Ulaya.
Je kuna mtu yeyote ana jukumu la kukulindia haki hizo?Haki ya kuishi
Haki ya kumchagua ninae mtaka
Haki ya kuishi bila hofu
Haki ya kushiriki siasa
Vikundi vyote vya kigaidi ni attention seekers, hao dawa yao ni kuwakamata mmoja mmoja bila kuwapiga mkwara. Ukipiga mkwara tu wanapata Air time kwenye media, lengo lao linatimia.Kamanda Sirro & Amiri Jeshi Mkuu wa sasa (Raisi Magufuli) wajitahidi wawatokomeza hao magaidi, wasipowamaliza huko mbeleni (future) watarudi/au kusogea/au kuingia Tanzania
Boko Haram walianzaga hivyo hivyo, walikuwa Nigeria pekee, lakini leo hii wame-expand na kuwa katika nchi kama 3 (Nigeria, Chad, & Cameroon)
Wanaweza wakwaitwa Mtwara then waka expand kuelekea wilaya za Tunduru & Namtumbo, pia wakawa wana expand kuelekea mkoa wa Lindi, then mkoa wa Pwani (wilaya za Rufiji, Kibiti, & Mkuranga)
msumbiji wamekodisha mpaka askari kutoka ufaransa lakini imeshindikanakatika hili niko pamoja na sirro
ukweli ni kwamba hili janga la msumbiji ni tishio pia kwa tanzania.Msumbiji waruhusu vikosi vya Tanzania to operate ndani ya msumbiji ili kuwaondoa hao magaidi kama ilivyokuwa KIBITI.....
Hata kwa kuchangishana hela tuwe tayari kuhakikisha vikosi vyetu vinakuwa well equipped
Pia Military intelligence ni muhimu sana ikiwa usalama wa Taifa umeshindwa kutoa data za uhakika na sisi wanainchi yatupasa kutoa taarifa ya kila mwenendo tunaoutilia shaka.
Ni kweli tuna vikosi vizuri ila bila sisi wanainchi tunayoyapita hayo mapori kila wakati kusaidia kutoa taarifa kazi itakuwa ngumu sana