RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Ni kwamba jeshi la polisi mkoani mbeya linawashikilia aliyekuwa balozi wa tanzania nchini Sweeden Dr. slaa na mwenzake Buberwa kwa kosa la kufanya mikusanyiko isiyo halali. wengine ni Mwabuksi pamoja na kijana maarufu aitwaye MDUDE NYANGALI
Kutokana na taarifa ya jeshi la polisi mkoani mbeya kupitia barua yao ,mwabuksi na wenzake inatakiwa waripoti ofisi ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa mbeya mda wa saa nane mchana leo tarehe 09/10/2023 .kwa mahojiano zaidi.
Kutokana na taarifa ya jeshi la polisi mkoani mbeya kupitia barua yao ,mwabuksi na wenzake inatakiwa waripoti ofisi ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa mbeya mda wa saa nane mchana leo tarehe 09/10/2023 .kwa mahojiano zaidi.