Nimecheka kwa nguvu aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awamu hìi ukionekana umevaa jezi ya CCM jiandae kuitwa mwizi
Chama kimeshakufa....Mkuu yaani kuna kakikundi kana fanya hila il
Mama akose kiti 2025.
Awamu gani ungeitwa jina tofauti na hilo?Awamu hìi ukionekana umevaa jezi ya CCM jiandae kuitwa mwizi
Walikuibia kipi kilichopo mwilini mwako ?!!!ccm ni chama cha wezi acha wabebane