Ex Spy JF-Expert Member Joined Jan 15, 2007 Posts 333 Reaction score 2,838 Dec 8, 2025 #1 Nilitarajia chama hiki cha MAPINDUZI kutokuwa na mashaka na Mapinduzi kwani ndiyo asili ya chama hiki. Inakuwaje panic mode imekuwa activated kwa kiwango kikubwa namna hii? Mna povu sana kwa sasa, what went wrong with this “revolutionary” party?
Nilitarajia chama hiki cha MAPINDUZI kutokuwa na mashaka na Mapinduzi kwani ndiyo asili ya chama hiki. Inakuwaje panic mode imekuwa activated kwa kiwango kikubwa namna hii? Mna povu sana kwa sasa, what went wrong with this “revolutionary” party?
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 25,937 Reaction score 41,151 Dec 8, 2025 #2 Kilimpindua nani Tanganyika, tuanzie hapo.