Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
loh sweet lady
dah ni shetani tu
ila nimesharudisha
sitorudia tena
ila kweli unafaidi loh?
Ungemwomba msamaha kwa PM angefrahi sana
loh sweet lady
dah ni shetani tu
ila nimesharudisha
sitorudia tena
ila kweli unafaidi loh?
Umenishtua! Hebu waambie memba kuwa ulichoandika ni utani, vinginevyo unaemzungumzia hapa sio SL mimi! Sijawahi kutofautiana na wewe, sijaelewa unaomba msamaha kwa kosa gani.
Aisee! Kweli bebii kaniharibia siku ghafla. Sijawahi kutofautiana nae hata kwa bahati mbaya. Amenishangaza mno...na labda sasa ndo aje aniombe msamaha kwa hii sredi aloiweka hapa coz imeniharibia siku vibaya sio siri.SWEETLADY msamehe bebii jaman shetan alimptia
hatorudia tena...
samehe 7 mara 80...(THOU SJAJUA CHANZO CHA MTAFARUKU..bt stl m standing on peace making and conflict resolution.... by using chapter 6 of UN CHARTER..... msamehen jaman...bye.
nawewe upunguze ugomv bn uchokoz...uchokodhi sio mdhuri...rafik ananuna au kulia...rafiki akinuna au kulia ni mkosi mkubwa...POLE
Aisee! Amenichosha huezi amini...Naona bebii anatafuta umaarufu kwa mgongo wako sweet
Msamehe tu akikua ataacha
haya mama ila nimemkosea roho inaniuma
Kama sijui potezea mpendwa.sio utani sl sema hujui tu nimekukosea dah heri umekuja
Kama sijui potezea mpendwa.
Aisee! Kweli bebii kaniharibia siku ghafla. Sijawahi kutofautiana nae hata kwa bahati mbaya. Amenishangaza mno...na labda sasa ndo aje aniombe msamaha kwa hii sredi aloiweka hapa coz imeniharibia siku vibaya sio siri.
umaarufu gani?
dah babu maombi hadi sadaka kwanza loh sh ngapi?
Aisee! Kweli bebii kaniharibia siku ghafla. Sijawahi kutofautiana nae hata kwa bahati mbaya. Amenishangaza mno...na labda sasa ndo aje aniombe msamaha kwa hii sredi aloiweka hapa coz imeniharibia siku vibaya sio siri.
iyo ya kuteketezwa ndo ipi?