Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Khaaaaa!Si bora wewe 'akuchekesha' mimi 'anshangaza'....wenye wivu wajinyonge, wasubirie mualiko wa kitchen party....
Khaaaaa!Si bora wewe 'akuchekesha' mimi 'anshangaza'....wenye wivu wajinyonge, wasubirie mualiko wa kitchen party....
Mods hii ni nini. Mbona watu wanageuza JF kama kijiwe cha kupiga stori zao za kipuuzi?
Muulize yupo jukwaa gani?...story za kipuuzi afu kazisoma! Inahuu?..acha kuigeuza JF kama jeshi bana, acha watu wachat kwa raha zao! Kama vp hamia hukoo kwenye thread ngumu ngumu, samtaim unabadir upepo bana!
Shikamoo babu yangu mpenzi....hivi leo tunatakiana sikukuu njema au maombolezo mema? Sielewi.Khaaaaa!
Wassup Gee....naona mistari bado yaendelea.....dunia ina fisadi, walimwengu tambuweni
hima wanajitahidi, kunipokonya mwandani
kwa hasira na inadi, na chuki za hadharani
wale walonikamia, nawambia wazi wazi
nyumba uloizowea, kuihama ina kazi
wassup ppl .......:]
Subiri nakutumia sasahivi.Mmmh!! naombeni samari ya hii uzi, make natumia cmu, siwezi kubrauzi.